DKT. NCHEMBA ATETA NA BALOZI WA HUNGARY

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Hungary nchini, mwenye makazi yake Jijini Nairobi nchini Kenya, Mhe. Zsolt Mészáros, baada ya kukutana na kufanya mazungumzo katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha Jijini Dar es Salaam, ambapo Dkt. Nchemba ametoa wito kwa wawekezaji kutoka…

Read More

MUHAS KUTOA ELIMU NA WATAALAMU WA KUKABILI USONJI

Mkurugenzi wa Magonjwa yasiyoambukiza, Afya na Akili wa Wizara ya Afya, Dk Omary Ubugoyu akizungumza jambo katika Kongamano la Kitafiti linalozungumzia ugonjwa wa usonji lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) leo April 9, 2025, Dar es Salaam .………….. Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimesema  kimejipanga kuendelea…

Read More

Ditram Nchimbi ajipa muda Biashara United

MSHAMBULIAJI wa Biashara United, Ditram Nchimbi amesema bado ni mapema kuikatia tamaa timu hiyo kwenye mbio za kupanda Ligi Kuu Bara huku akijipa muda katika kufunga mabao na kutwaa kiatu cha ufungaji bora kwenye Ligi ya Championship. Nchimbi aliyejiunga na Biashara ya Mara msimu huu baada ya kupumzika kucheza soka kwa msimu mmoja, ameshafunga bao…

Read More

VIFAA TIBA SAHIHI MANUSURA KWA MAGONJWA YA VIDONDA MGANDAMIZO NA UFUPISHO WA MISULI

TAASISI,Makampuni na Mashirika yanayowezesha Vifaa tiba Kwa Watu Wenye Ulemavu Wameshauriwa Kufanya Uchunguzi wa Vifaa tiba Sahihi vya Kuwapatia Walemavu ili Kuwanusuru na changamoto mbalimbali ikiwemo Magonjwa ya Vidonda mgandamizo. Akizungumza wakati wa Semina ya Vifaa tiba sahihi Kwa Walemavu iliyoandaliwa na Taasisi ya Kubuni na Kutengeneza Vifaa saidizi Kyaro Assesive Tech Mkurugenzi wa Taasisi…

Read More

MWENYEKITI WA CCM TANGA ACHUKIZWA NA UBABE WA WATENDAJI

Raisa Said,Handeni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajab Abdulrahman ameendelea kusisitiza viongozi kutekeleza agizo la Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alilolitoa hivi karibuni kuwataka viongozi na watendaji wote kuacha kutumia mabavu kwa wananchi wanaowaongoza. Kali hiyo ameitoa wilayani Handeni katika ziara yake alipofika kukagua ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Kibaya kata ya Misima…

Read More

Yepi matarajio kwa rais mpya wa Iran – DW – 09.07.2024

Raia wa Irani walimchagua Jumamosi, Masoud Pezeshkian, mgombea mwenye msimamo wa wastani kuwa rais wao ajaye katika kura ya marudio iliyomshindanisha na Saeed Jalili, mhafidhina mwenye msimamo mkali na msuluhishi wa zamani wa nyuklia anaepinga vikali mataifa ya Magharibi. Pezeshkian, daktari wa upasuaji wa moyo,amekuwa mbunge wa Bunge la Iran tangu 2008. Alihudumu kama waziri…

Read More

Nippon Paint Yazindua Kampuni Tanzu Afrika Mashariki, Ikilenga Kutoa Bidhaa na Huduma Zenye Ushindani Katika Soko Hili Linalokua.

Nippon Paint, kampuni ya nne inayozalisha rangi kwa ukubwa duniani kwa mapato, imepiga hatua kubwa katika soko la Afrika Mashariki baada ya kuzinduliwa Nairobi Ijumaa, Julai 5. Kampuni tanzu inayomilikiwa, “NIPSEA Paint,” itatambulisha teknolojia ya hali ya juu ya Kijapani ili kuboresha huduma kwa wateja katika urekebishaji wa magari, utunzaji wa gari, upakaji rangi mbao…

Read More