Mwanafunzi wa chuo kikuu afariki chumbani Morogoro

Morogoro. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM), Hussein Rashid Omary (23) amekutwa amefariki dunia ndani ya chumba chake katika tukio lililoibua taharuki miongoni mwa wakazi wa eneo ambalo akiishi Kihonda Maghorofani. Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 20.2026 , Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama amesema mwanafunzi huyo alikuwa akisoma…

Read More

Daraja dogo la mbao chakavu lawatesa wanakijiji Hai

Hai. Wananchi wa Kijiji cha Kyuu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kujenga daraja dogo katika eneo la Mto Kishenge, Kitongoji cha Maiputa, ili kuwawezesha kuendelea na shughuli mbalimbali za kijamii na kimaendeleo bila vikwazo. Ombi hilo limetolewa wakati wa ziara ya Ofisa Tarafa wa Masama, Nswajigwa Ndagile, alipotembelea eneo…

Read More

Tembo Warriors kupaa  kuifuata CECAAF

KOCHA wa timu ya taifa ya Walemavu, Tembo Warriors, Ivo Mapunda amesema timu hiyo itaondoka nchini kesho kwenda Bujumbura, Burundi kushiriki mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya Soka kwa Watu wenye Ulemavu (CECAAF). Mashindano hayo yatakayofanyika kwa siku saba kuanzia Septemba 8-14, yamegawanywa katika makundi mawili. Tembo Warriors ikipangwa Kundi B pamoja na Kenya…

Read More

Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia

Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu. Karibuni katika ujumbe wa neno la Mungu tuliopewa unaosema ‘Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia’. Ni matumaini yangu ujumbe wa leo utabadilisha maisha yako, hutawaza kama mwanzo, hautateseka na mambo yanayoonekana yanakulete hofu katika maisha. Mungu akubariki na uweze kuelewa na kuchukua hatua. Katika maisha haya…

Read More

Je Unajua Meridianbet Kukupatia Mkwanja Leo?

MECHI kibao za mtoani wa Carabao Cup Uingereza (EFL) hatua ya mtoano zinaendelea huku wewe mteja wa Meridianbet ukiwa na nafasi ya kuibuka na mkwanja wa maana. Je pesa yako unaiweka kwa nani na nani wakupe ushindi leo? Unaweza ukabashiri mechi hii ya Reading FC dhidi ya AFC Wimbledon ambao hawa waote wanacheza ligi daraja…

Read More

Udhibiti dawa za kulevya Tanga wapunguza waraibu

Tanga. Upatikanaji wa dawa ya kulevya aina ya heroini umeelezwa kuwa mgumu katika Jiji la Tanga, hali inayotajwa kuwa matokeo ya kuimarika kwa udhibiti dhidi ya uingizwaji na usambazaji wa dawa hizo. Daktari wa afya ya akili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo, Wallace Karata, amesema kupungua kwa upatikanaji wa heroini ni…

Read More

Sababu walimu wa diploma kufundisha shule za msingi

Dar es Salaam. Katika hatua inayotarajiwa kubadili mwelekeo wa ubora wa elimu nchini, Serikali inatarajia kuanza kuwapanga walimu wapya kulingana na viwango vyao vya elimu huku walimu wanaohitimu stashahada (diploma) wakielekezwa moja kwa moja kufundisha katika shule za msingi. Mpango huo ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Elimu ya mwaka 2014, toleo la mwaka…

Read More

Sowah achimba mkwara! Malengo yake balaa

MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah usiku wa leo Jumamosi atakuwa bize uwanjani na kikosi cha timu hiyo katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana, huku akitema cheche mapema kwa msimu huu wa 2025-2026. Nyota huyo wa zamani wa Mediama ya Ghana na Singida Black Stars, amejiwekea malengo…

Read More

TMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSHIRIKISHA WADAU ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA HALI YA HEWA

…………….. Dodoma; Tarehe 8, Septemba, 2025. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa nchini.  Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa Bodi ya TMA, Mhe. Jaji Mshibe Ali Bakari alisema hayo wakati akifungua mkutano wa 24 wa wadau katika kujadili…

Read More