Agizo la Rais Samia latekelezwa, treni mwendokasi yaanza majaribio Dar – Dodoma

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Katika kutekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza majaribio ya treni ya mwendokasi inayotumia umeme kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kuelekea hatua ya kuanza rasmi ifikapo mwishoni mwa Julai. Wakati akihutubia Taifa Desemba 31,2023 Rais Samia aliliekeleza TRC kuhakikisha linaanza rasmi safari za…

Read More

JAJI MKUU AIPONGEZA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)

• Ahidi Kuitetea Kupata Bajeti Wezeshi Kutekeleza Majukumu Yake. Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Prof. Ibrahim Hamis Juma ameipongeza Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) kwa kuendelea kuboresha na kusogeza huduma zake karibu na wananchi. Pongezi hizo amezitoa alipotembelea banda jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na taasisi zake katika maonesho ya sabasaba yanayoendelea…

Read More

Mbowe, Semu wachaguliwa kuiongoza TCD

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD). Sambamba na Mbowe, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa kituo hicho. Mbowe anashika nafasi hiyo akimrithi, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba…

Read More

MRADI WA EACOP WAFIKIA ASILIMIA 60 YA UTEKELEZAJI

::::::: Na Janeth Mesomapya Utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP), unaojumuisha ujenzi wa bomba la urefu wa kilomita 1,443 kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga – Tanzania, umefikia asilimia 60 ya utekelezaji. Taarifa hiyo ilitolewa tarehe 2 Juni 2025, wakati Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma…

Read More

Kada ya wanadiplomasia yanukia, Serikali yatoa neno

Arusha. Katika utekelezaji wa mkakati wa diplomasia ya uchumi, Serikali inatarajia kuanzisha mpango wa kujenga kada ya wanadiplomasia wenye uwezo mkubwa nchini. Imesema mpango huo unalenga kusaidia nchi kuwa na rasilimali watu mahiri na wenye ujuzi, maarifa na weledi wenye kuweza kushindana na wanadiplomasia kutoka katika mataifa mengine katika maswala ya kiuchumi. Hayo yameelezwa jana…

Read More

Kesi jengo lililoporomoka Kariakoo kutajwa leo

Dar es Salaam. Kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wamiliki watatu wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, itatajwa leo Desemba 12, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Washtakiwa katika kesi hiyo, ambao wote ni wakazi wa Dar es Salaam ni Leondela Mdete (49) mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam…

Read More

MATI SUPER BRANDS LTD YAIBUKA KINARA MAONYESHO YA TANZANITE MANYARA TRADE FAIR 2024

Mwandishi Wetu ,Manyara . Kampuni ya kuzalisha Vinywaji changamshi ya Mati Super Brands Limited imeibuka kinara katika maonyesho ya Biashara ,Viwanda na Kilimo ya Tanzanite Manyara Trade Fair 2024 baada ya kushinda Tuzo ya wazalishaji bora wa vinywaji changamshi miongoni mwa makampuni yaliyoshiriki kwenye maonyesho hayo kutokana na ubora wa bidhaa wanazozilisha kukidhi viwango vya…

Read More