Dhibiti hivi kisukari unapougua malaria

Wagonjwa wa kisukari wanakumbana na changamoto mbalimbali katika kudhibiti afya zao, na hali huwa ngumu zaidi pale wanapougua magonjwa mengine kama vile malaria. Malaria ni ugonjwa unaoambatana na homa kali, kutetemeka, maumivu ya mwili na kichefuchefu, dalili ambazo pia zinaweza kufanana na zile za kupanda kwa sukari. Kwa hali hiyo, ni muhimu sana kuelewa jinsi…

Read More

Zelensky aomba washirika wa Ulaya kuwasaidia kwa umoja – DW – 19.12.2024

Kiongozi huyo wa Ukraine alikuwa katika makazi rasmi ya Katibu Mkuu wa NATO Mark Rutte kwa ajili ya mkutano wa kujadili mustakabali wa Ukraine, wakati Donald Trump anakaribia kurejea madarakani. Kwenye mkutano huo ulioandaliwa na Rutte, walijadiliana pia kuhusu dhamana ya usalama nchini Ukraine, ikiwa kutafikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano, vyanzo vimeliambia shirika la habari…

Read More

Hamahama ya vigogo Chadema yaibua maswali

Dar/Moshi. Kujivua uanachama kwa waliokuwa viongozi katika sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakati wa uongozi wa Freeman Mbowe, kumeibua maswali kuhusu uhai wa chama hicho kikuu cha upinzani. Viongozi watano waliokuwa katika sekretarieti hiyo ya Chadema wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu (Bara), Benson Kigaila na Naibu Katibu Mkuu – Zanzibar, Salum…

Read More

Matarajio ya Watanzania bajeti ya Serikali

Dar/mikoani. Wakati wiki hii Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2025/26 itasomwa bungeni jijini Dodoma, wadau wa kada mbalimbali wameonyesha matarajio yao huku wengi wakitabiri itajikita zaidi kwenye kugharimia uchaguzi. Sambamba na masuala ya uchaguzi, kutokana na mwaka huu kuwa wa Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais, baadhi ya wadau na wananchi wamependekeza uwekezaji…

Read More

RC MACHA AIPONGEZA TANROADS KUWEKA BANGO LA KISWAHILI MRADI UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – KAKOLA

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha akizungumza wakati akizindua Bango la Kwanza lililoandikwa kwa Lugha ya Kiswahili linaloelezea utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa barabara ya Kahama – Bulyanhulu JCT- Kakola Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha (aliyevaa miwani)akizindua Bango la Kwanza lililoandikwa kwa Lugha ya Kiswahili linaloelezea utekelezaji wa Mradi…

Read More

Watu 12,000 wahofiwa kuugua ugonjwa wa himofilia nchini.

Alisema Mwaka 2020 Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na Taasisi ya himofilia ya novo nordisk ilianzisha mradi wa kuongeza kasi ya upatikanaji wa huduma kwa watu wenye magonjwa ya damu lengo kuu ikiwa ni kuunga mkono serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya afya katika kupunguza madhara ya vifo vinavyotokana na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo…

Read More

FISI WAHARIBIFU WAZIDI KUDHIBITIWA, SIMIYU NA KONGWA.

Na Sixmund Begashe – Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuongeza jitihada zaidi za kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu hususani Fisi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuishi kwa amani na usalama. Akizungumzia jitihada hizo Jijini Dodoma, Mkurugenzi Kitengo cha Uratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC) Fidelis…

Read More