Dhibiti hivi kisukari unapougua malaria
Wagonjwa wa kisukari wanakumbana na changamoto mbalimbali katika kudhibiti afya zao, na hali huwa ngumu zaidi pale wanapougua magonjwa mengine kama vile malaria. Malaria ni ugonjwa unaoambatana na homa kali, kutetemeka, maumivu ya mwili na kichefuchefu, dalili ambazo pia zinaweza kufanana na zile za kupanda kwa sukari. Kwa hali hiyo, ni muhimu sana kuelewa jinsi…