
Mahakama Kuu Kenya yasimamisha mchakato wa kumtoa Gachagua – DW – 18.10.2024
Spika wa bunge la taifa nchini Kenya amelichapisha rasmi jina la naibu wa rais mteule Kithure Kindiki kwenye gazeti rasmi la serikali. Wakati huohuo, mahakama kuu imesitisha kwa muda kuondolewa kwa Rigathi Gachagua kwenye nafasi yake ya unaibu raisi na uteuzi wa mrithi wake hadi Oktoba 24. Rigathi Gachagua aliyelazwa hospitalini baada ya kupata maumivu…