VODACOM YAZINDUA OFISI MPYA KANDA YA KASKAZINI JIJINI ARUSHA

Mkuu wa kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania PLC Bw. George Venanty akizungumza wakati wa uzinduzi wa ofisi mpya ya Kanda ya Kaskazini jijini Arusha. Tukio hilo lilihudhuriwa na Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC Philip Besiimire, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya Vodacom Tanzania Plc David Tarimo na Wafanyakazi wengine wa Vodacom Tanzania…

Read More

NMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora

Benki ya NMB imefanya kongamano maalum na wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, likilenga kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo. Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara wa NMB, Dickson Richard, akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, amesema benki imejipanga kuendelea kushiri. kiana kwa karibu na wafanyabiashara…

Read More

Mpina hajapoa, awaburuza kortini Msajili, AG

Dodoma. Kuna usemi usemao haijaisha mpaka iishe, ndio unaweza kuutumia kuelezea harakati za Luhaga Mpina kuendelea kupigania haki yake ya kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kuwania urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo. Kinachoendelea kwa sasa baina ya Mpina na INEC ni kama filamu ambayo kila mdau wa siasa na wananchi kwa…

Read More

Georges Bussungu wa Tadea na U-tano za ukombozi Tanzania

Februari 5, 1967, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere akiwa mkoani Arusha, alilitangaza rasmi Azimio la Arusha. Watanzania mikoa yote walijitokea kuunga mkono kwa namna mbalimbali. Sehemu nyingi njia iliyotumika ilikuwa ya matembezi ya mshikamano. Umbali kutoka Kijiji cha Mwanhala hadi Nzega Mjini (wilayani) ni kilometa 24. Wanakijiji wa Mwanhala walitembea wakiwa kundi kubwa hadi…

Read More

TRA Geita yavuka lengo la makusanyo, ikiwageukia wafanyabiashara wasio rasmi

Geita/Dodoma. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Geita imekusanya Sh69.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/25, sawa na asilimia 113 ya lengo la Sh61.7 bilioni ililopaswa kukusanya. Sambamba na mafanikio hayo, mamlaka hiyo imetangaza mkakati mpya wa kuwashirikisha wafanyabiashara wadogo na wale wa sekta isiyo rasmi kupitia dawati maalumu la uwezeshaji biashara, ili kuwawezesha kurasimisha…

Read More