Iran Yamjibu Trump: Hatuna Mazungumzo na Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wazi kuwa hajawasiliana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff katika siku za hivi karibuni wala kuomba kufanyika kwa mazungumzo yoyote na Washington. Akizungumza na vyombo vya habari vya serikali, Araghchi alikanusha madai yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump, akisisitiza kuwa…

Read More

Fursa wananchi kuwekeza kampuni hizi Afrika Mashariki 

Dar es Salaam. Katika kuchochea uchumi wa mtu mmojammoja na Taifa kupitia uwekezaji, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imehimiza wananchi kuwekeza kupitia ununuzi wa hisa katika kampuni kubwa zilizopo Afrika Mashariki. Miongoni mwa kampuni hizo 14, ni KCB, Safaricom, CRDB, NMB, Bank of Kigali, Vodacom, Tanga Cement, Twiga Cement, MTN Uganda ambazo…

Read More

Mambo matatu yaliyombeba Profesa Mukandala kupewa tuzo

Dar es Salaam. Chama cha Lugha na Fasihi ya Kiswahili (Chalufakita) kimempa tuzo Profesa Rwekaza Mukandala, mhadhiri na aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kwa mchango wake mkubwa katika kukuza na kuimarisha matumizi ya lugha ya Kiswahili. Tuzo hiyo imetolewa leo Januari 28, 2025 jijini Dar es Salaam, ikiwa ni…

Read More

Mambo matano ndani ya Agenda 2030 ya NMB

Dar es Salaam. Benki ya NMB imezindua mpango mkakati wa miaka mitano kuanzia 2026 hadi 2030, unaojulikana kama Agenda 2030, ambao umeweka mkazo katika maeneo matano makuu, ikiwemo kuboresha huduma kwa wateja, kuimarisha mabadiliko ya kidijitali, matumizi ya kimkakati ya data na kufadhili sekta muhimu za uchumi. Uzinduzi wa Agenda 2030 umefanyika leo Januari 28,…

Read More

‘Tangu Mapinduzi, Waajiri wa Kiwanda Wamezidi Kufanya Kazi na Wanajeshi Kuzuia Kuandaa na Kunyamazisha Wafanyakazi’ — Global Issues

na CIVICUS Jumatano, Januari 28, 2026 Inter Press Service CIVICUS inazungumza na Kituo cha Biashara na Haki za Kibinadamu (BHRC) kuhusu ukiukwaji wa haki za wafanyikazi katika tasnia ya nguo ya Myanmar tangu mapinduzi ya kijeshi ya 2021. Sekta ya nguo ya Myanmar, ambayo inaajiri mamia ya maelfu ya wafanyakazi, iko katika mgogoro mkubwa. Tangu…

Read More

Mwingine afariki ajali ya basi na lori Tinde 

Shinyanga. Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga (Mwawaza), Dk Jonathan Chikomele, amethibitisha kifo cha mtu mwingine mmoja aliyejeruhiwa katika ajali ya basi na lori iliyotokea katika eneo la Mnada wa Tinde. Akizungumza na mwandishi wa habari kwa njia ya simu leo Januari 28, 2026, Dk Chikomele amesema marehemu ametambuliwa kwa…

Read More

Wagomea mwekezaji kupewa heka 850 za ardhi  

Pwani. Wakazi wa Kitongoji cha Lupunga, Kata ya Kikongo, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati mgogoro wa ardhi kati yao na mwekezaji aliyepewa heka 850 katika eneo hilo. Wanadai utaratibu wa kisheria haukufuatwa, ikiwamo kushindwa kuitishwa vikao vya makubaliano kabla ya kupatiwa eneo hilo. Notisi ya kuondoka ilitolewa Januari…

Read More