Kadhi Mkuu Kenya Athibitisha Kuonekana kwa Mwezi, sikukuu ya Eid-ul-Fitr leo
Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Waislamu wa Afrika Mashariki wanatarajiwa kuadhimisha sikukuu ya Eid-ul-Fitr siku ya leo Ijumaa Machi 20, 2026 kufuatia kuonekana kwa mwezi mpevu jioni ya Alhamisi, tukio linaloashiria kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Nchini Kenya, Kaimu Kadhi Mkuu Sukyan Hassan alithibitisha kuwa mwezi huo umeonekana katika maeneo mbalimbali, huku…