“Walichukua bahari yetu,” wasemaji wa samaki wa Vizhinjam – maswala ya ulimwengu

Bandari ya Vizhinjam-iliyoandaliwa na Waziri Mkuu Narendra Modi mnamo 2 Mei 2025, kama kitovu cha kwanza cha maji cha India cha ndani-kimekosolewa kwa kuhamisha wavuvi na kuvuruga biodiversity nyeti ya bahari. Mikopo: Aishwarya Bajpai/IPS na Aishwarya Bajpai (Thiruvananthapuram, India) Jumapili, Juni 08, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Thiruvananthapuram, India, Jun 08 (IPS) – Kama…

Read More

Mganga wa kienyeji atuhumiwa kwa mauaji ya watu 10

Dar es Salaam. Mapya yamebainika ikidaiwa mganga wa kienyeji aliyetuhumiwa kwa mauaji mkoani Singida ana mji mwingine wilayani Chemba, Mkoa wa Dodoma ambako yamebainika mashimo sita walimozikwa watu. Jeshi la Polisi limesema limebaini jumla ya miili ya watu 10 waliouawa, ikiwa ni mwendelezo wa uchunguzi na mahojiano yaliyofanywa dhidi ya watatu wanaotuhumiwa kwa mauaji ya…

Read More

Lisu asema hana ubavu kuwania ubunge, Kingu atia neno

Singida. Wakati harakati za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 zikiendelea maeneo mbalimbali nchini, mmoja wa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Hamis Lisu wa Wilaya ha Ikungi mkoani Singida amesema hana nia tena ya kuwania ubunge wa Singida Magharibi. Lisu ambaye mwaka 2020 alikuwa miongoni mwa makada wa chama hicho waliojitosa kwenye kura za maoni,…

Read More

Waziri Mkuu asisitiza matumizi ya mifumo ya kieletroniki katika makusanyo

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka maafisa masuhuli kwenye Halmashauri zote nchini waweke msisitizo wa kutumia mifumo ya kielektroniki katika makusanyo badala la kukusanya kwa fedha taslimu ‘Cash’. Amesema kwa kufanya hivyo kutasaidia kuongeza mapato katika maeneo yao na kuepuka vishawishi vya kutumia vibaya fedha za umma ambazo zinakusanywa kwa ajili…

Read More

Israel yasitisha vita Lebanon na kuendelea kuishambulia Gaza – DW – 27.11.2024

Baada ya mataifa ya Marekani, Ufaransa, Israel, Lebanon, China na Australia kupongeza makubaliano hayo, sasa imekuwa zamu ya nchi kadhaa za kiarabu kuelezea namna walivyopokea vyema makubailiano hayo ya usitishwaji mapigano kati ya Israel na Hezbollah huko Lebanon. Misri na Qatar zimeelezea matumaini yao kwamba hatua hiyo huenda ikawezesha kufikiwa kwa mpango mwingine wa kumaliza…

Read More

Marekani kuongeza nguvu mapambano ya saratani nchini

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Tanzania na Taasisi ya Biden Cancer Moonshot ya nchini Marekani, wamekaa kikao cha pamoja kutathmini maeneo muhimu ya kushirikiana kupambana na  saratani nchini. Tanzania na Marekani wamekubaliana kukabiliana na uhaba wa wataalamu, ukosefu wa miundombinu wezeshi, vifaa tiba hasa vya kutoa huduma za mionzi, takwimu, tafiti na ubunifu ili…

Read More