Baba’ke Kamwe ndani kwa Mkapa Simba Day

BABA mzazi wa Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe yupo kwa Mkapa akishuhudia kilele cha wiki ya Simba Day. Mzee Shaaban Kamwe ambaye amekuwa akitangaza kuwa ni shabiki wa Simba ameingia uwanjani akikaa jukwaa la VIP. Mzazi huyo wa msemaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara ameingia uwanjani tangu saa 10:00 jioni akiwa na mtoto…

Read More

MAKAMU WA RAIS AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Igunga wakati akianza Ziara ya Kikazi mkoani Tabora leo tarehe 08 Oktoba 2024. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Chacha…

Read More

Rais Samia akemea siasa kuchochea uvamizi wa hifadhi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya uanzishwaji wa vijiji vipya unaofanywa kwa masilahi ya kisiasa, akisema ndiyo inayochochea uvamizi wa maeneo ya hifadhi. Sambamba na hilo, ameitaka Wizara ya Maliasili na Utalii isisubiri wananchi wavamie na kuyaendeleza maeneo ya hifadhi ndiyo ishtuke, badala yake inapaswa kuyalinda mapema. Rais Samia ametoa maelekezo…

Read More

MTATURU AITAKA RUWASA KUKAMILISHA MRADI MAPEMA

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akizungumza kwenye ziara katika Kata ya Kikio kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti 2024/2025,kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji 2024 na kusikiliza kero za wananchi. ……. MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amefanya ziara katika Kata ya Kikio na kukagua mradi wa maji wa…

Read More

Rais Samia, Dk Mpango wasimamisha utambulisho 

WAKATI utambulisho wa wachezaji ukiendelea, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango wasitisha zoezi hilo na kuzungumza na wananchi. Hayo yalitokea baada ya tukio la utambusho kusitishwa na kumkaribisha Makamu wa Rais ili aweze kusema neno ambapo alimpigia simu Mh. Rais Samia ili aweze kutoa…

Read More

Takukuru yabaini kasoro mifumo ya sekta ya afya

Geita/Songwe. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Geita imebaini kasoro katika uchambuzi wa mifumo ya sekta ya afya, huku baadhi ya watumishi wakihusishwa na masuala ya rushwa. Miongoni mwa kasoro hizo ni maabara za binadamu kutoa huduma bila kusajiliwa, wajawazito kutakiwa kubeba glavu na mipira ya kitandani. Mkuu wa Takukuru Mkoa…

Read More