Safari ya wanafunzi zaidi ya 100 kundi la pili kwenda kusoma nje ya nchi yapata baraka na nasaha
Na Mwandishi Wetu KUNDI la pili la wanafunzi 100 wanatarajia kuondoka wiki hii kusoma kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchi za nje mwaka huu wa masomo kupitia Wakala wa Vyuo Vikuu Nje ya nchi Global Education Link (GEL). Wanafunzi hao waliagwa katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ofisi za GEL jijini Dar es Salaam ambapo…