Hali bado tete Mashariki ya Kati, mashambulizi yakiingia siku ya tatu
Mvutano wa kijeshi unaoendelea Mashariki ya Kati umechukua sura mpya leo baada ya Israel kuendeleza mashambulizi dhidi ya kundi la Hezbollah huku hali ya taharuki ikiongezeka katika nchi kadhaa za eneo hilo na hata kuathiri masoko ya dunia. Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz ametangaza hadharani kuwa Katibu Mkuu wa Hezbollah, Naim Qassem, sasa…