Risasi yaivua ubingwa Kahama Sixers

Timu ya mpira wa kikapu ya Risasi iliifunga Kahama Sixers kwa pointi 64-61, katika fainali ya Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Shinyanga iliyofanyika kwenye Uwanja wa  Pope Leone XV uliopo Kahama. Ushindi umeifanya timu hiyo itwae ubingwa kwa matokeo ya jumla ya michezo 2-1, ambapo katika fainali ya kwanza Kahama Sixers ilishinda kwa pointi…

Read More

DTB yawapongeza wafanyakazi wanawake kwa mchango wao

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani 2026 yenye kauli mbiu ya “Give to Gain”, Diamond Trust Bank Tanzania (DTB) imetoa zawadi maalum kwa wafanyakazi wake wanawake kama ishara ya kutambua mchango wao muhimu katika mafanikio ya taasisi hiyo ya kifedha. Hatua hiyo inalenga kuhamasisha usawa wa kijinsia na kuendelea kujenga mazingira jumuishi…

Read More

Migogoro ya ardhi yatikisa ziara ya Kihongosi

Mwanza. Migogoro ya ardhi imekuwa fupa gumu kwenye Jiji la Mwanza huku wilaya za Ilemela na Nyamagana zikidaiwa Sh14 bilioni za fidia na wananchi. Hayo yamebainika kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi katika ziara yake ya kichama mkoani humo. Katika mkutano huo uliofanyika…

Read More

Chan 2024 kazi ipo huku sasa

MECHI mbili za robo fainali za michuano ya CHAN 2024 zimepigwa jana Ijumaa na leo zinapigwa nyingine za mwisho ili kujua timu zitakazoumana katika nusu fainali, lakini kuna kazi inaendelea kwenye michuano hiyo wakati wachezaji wa timu shiriki wakipambana kuwania tuzo za msimu huu. Kabla ya mechi za jana tayari mabao 74 kutoka kwa wachezaji…

Read More

TOZO MPYA ZA BANDARI ZIFUTWE KABISA-TACAS

……… Wafanyabiashara na wadau wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wameiomba Serikali kuondoa kabisa tozo mpya za maboresho ya miundombinu ya bandari zilizotangazwa hivi , wakidai kuwa zinaweza kuongeza gharama za biashara na hatimaye kuumiza walaji wa mwisho. Wadau hao wameeleza kuwa licha ya uamuzi wa mamlaka ya Bandari kusitisha kwa muda tozo hizo hadi…

Read More

Toldo ameibeba Madagascar mabegani | Mwanaspoti

KIPA mkongwe wa Madagascar, Ramandimbisoa Lalain’arijaka Michel ‘Toldo’, amekuwa sehemu ya mafanikio ya taifa hilo baada ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024. Toldo, mwenye umri wa miaka 39 na anayekipiga klabu ya Elgeco Plus, mabingwa wa Ligi Kuu ya Madagascar na Kombe la…

Read More