
LISU AGOMA KUSOMEWA MASHTAKA YA AWAKI KWA NJIA YA MTANDAO,MAPYA YAIBUKA MAHAKAMANI
By Ngilisho Tv-Dar Es Salaam Mwenyikiti wa CHADEMA taifa, Tundu Lissu amekataa kesi yake ya kuchapisha taarifa za uongo kwa njia ya mtandao wa Youtube kusikilizwa kwa njia ya video na kutaka kesi hiyo isikilizwe kwa njia ya uwazi. Taarifa hiyo na askari magereza mwenye nyota tatu, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa mara ya…