
Bashe agawa trekta 400, pikipiki 1,000 na baiskeri 2,500 kwa wakulima
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wakulima wa zao la Pamba nchini wanatarajia kunufaika na zana za kilimo kufuatia ugawaji wa trekta 400, pikipiki 1,000 na baiskeli 2,500, boza 58 kwa ajili ya viuatilifu vya dawa na mbolea hai lita 3,000. Zana hizo zimekabidhiwa na Mhe. Hussein Bashe (Mb), Waziri wa Kilimo kufuatia ziara yake ya…