Mjadala wa viboko kwa wanafunzi, suluhu hii hapa

Katika gazeti hili toleo la tarehe 5/3/2025 kulikuwa na kichwa cha habari: “Mwanafunzi afariki dunia kwa kipigo.”  Halafu katika tolea la tarehe 6/3/2025, mhariri akaandika maoni ya gazeti  kwa kichwa cha habari kisemacho: “Viboko hadi kifo vikomeshwe shuleni.”  Nampongeza mhariri kwa maoni hayo mazuri. Na kesho yake tarehe 7/3/2025 tukaona tena habari hii: “Sababu mwili…

Read More

Mwarobaini kupunguza majanga migodini wapatikana

-Zege yapigwa chapuo, magogo kuzuiwa SERIKALI kupitia Wizara ya Madini, Tume ya Madini imepata mwarobaini wa kupunguza majanga kwenye migodi kwa kuwaelimisha wachimbaji wadogo kutumia zege kwenye kingo za miamba badala ya magogo. Akizungumza leo Julai 26, 2024 katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa Tume ya Madini kutoka Idara ya Ukaguzi wa Migodi na…

Read More

Uhimilishaji ng’ombe jike waongeza upatikanaji maziwa Rungwe

Mbeya. Katika jitihada za kuboresha uzalishaji wa maziwa na kuinua sekta ya mifugo, wafugaji katika Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya, wameanza kutumia teknolojia za kisasa za uhimilishaji wa majike ya ng’ombe kwa kutumia mbegu bora. Ofisa Uhimilishaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Haji Ludanga amesema kuwa matumizi ya teknolojia hiyo yameanza kuleta mafanikio makubwa…

Read More

Tanzania ijifunze haya, mdororo wa uchumi Botswana

Kupungua kwa mauzo ya almasi kumetajwa kama moja ya sababu iliyofanya nchi ya Botswana kutangaza hali ya dharura kutokana na kushindwa kumudu baadhi ya mahitaji ikiwamo katika sekta ya afya. Agosti 26, 2025 Botswana ilitangaza hali ya dharura ya afya ya umma kutokana na kukabiliwa kwa uhaba wa dawa muhimu na vifaa vya matibabu. Rais…

Read More

Wawekezaji biashara ya kaboni watakiwa kuwa wawazi

  SERIKALI ya Tanzania imetoa wito kwa kampuni zinazojihusisha na biashara ya kaboni nchini kujenga uwazi na kuhusisha jamii kwenye maeneo ya miradi ili wananchi wawe nba ufahamu wa biashara hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Baku, Azerbaijan … (endelea). Pia, imezitaka kampuni hizo kutimiza ahadi wanazoweka katika biashara ya kaboni ili kuleta manufaa ya kuhifadhi bionuwai…

Read More

ULEGA AWAFARIJI WAATHIRIKA WA MAFURIKO MKURANGA

Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amewatembelea na kuwafariji wananchi waliothiriwa na mafuriko katika Kata za Kisiju na Shungubweni, Wilayani Mkuranga, mkoani Pwani. Akitoa salamu za pole Mei 1, 2024, Mhe. Ulega amesema kuwa Mhe. Rais Samia amemtuma kuwafikishia wananchi hao salamu zake za pole…

Read More