Tahadhari za kimaadili, kiafya huduma za sauna na spa

Dar es Salaam. Wakati uanzishwaji wa maeneo kwa ajili ya utunzaji wa mwili, afya na mapumziko (sauna na spa) ukiongezeka, angalizo limetolewa kuhusu huduma hizo ikielezwa baadhi hutweza utu, hususani kwa wanawake. Sauna ni chumba maalumu chenye joto kali (kwa kawaida kati ya nyuzijoto sentigredi 70 hadi 100) kinachotumika kwa ajili ya kutoa jasho ili…

Read More

Waziri Jerry Silaa Aagiza Bodi ya TTCL Ilete Mabadiliko, Shirika Lijiendeshe Kibiashara

WAZIRI wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa ameiagiza Bodi ya Shirika La Mawasiliano Tanzania (TTCL)  kuhakikisha linasimamia vyema shirika  hilo na kuhakikisha liendeshwa kibiashara. Maagizo hayo ameyatoa leo Desemba 16, 2024 Jijini Dar es Salaam, wakati akizindua Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Mhe. Silaa amemtaka Mwenyekiti wa Bodi hiyo David …

Read More

BALOZI DK.NCHIMBI AMWAKILISHA RAIS SAMIA KUMUAGA HAYATI SONGAMBELE MKOANI RUVUMA

Na Mwandishi Wetu,Songea  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika shughuli ya kuaga mwili wa Hayati Alhaj Mustafa Mohamed Songambele iliyofanyika nyumbani kwa marehemu eneo la Mahenge, mjini Songea mkoani Ruvuma. Akizungumza katika shughuli hiyo, Dkt. Nchimbi amemuelezea…

Read More

Mbowe akerwa na kodi kwa masikini

Mwanga. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kukerwa na utitiri wa kodi wanazotozwa wananchi bila kuzingatia uhalisia wa vipato vyao, akisema kinachofanyika ni kuwakandamiza zaidi. Kwa mujibu wa Mbowe, kanuni sahihi ya utozaji kodi ni kuhakikisha anayelipa ni yule mwenye kipato cha ziada na sio wananchi wote. Mbowe ameyasema hayo leo, Jumapili Julai 7, 2024…

Read More

Vipaumbele vitano vya wananchi miaka 25 ijayo vyatajwa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitarajia kuzindua Rasimu ya kwanza ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 Desemba 11, 2024, matamanio na matarajio ya wananchi na wadau yamelala katika maeneo makubwa matano na sekta tano  za kufanyiwe kazi ipasavyo. Maeneo ambayo wanataka yafanyiwe kazi ni kujenga uchumi imara unaostawi na unaoboresha maisha yao, huduma bora…

Read More

Makalla atua mpaka wa Namanga, atoa maelekezo

Longido. Katibu wa Itikadi, Uenezi na  Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema mpaka wa Namanga ni eneo muhimu la kukuza biashara na ushirikiano kati ya Tanzania na Kenya akiwataka watendaji wanaohumudu eneo hilo kutekeleza majukumu yao vyema. Makalla ameeleza hayo leo Alhamisi Agosti 5, 2024 alipofanya ziara ya ghafla katika mpaka huo…

Read More