KUAMBIANA INVESTMENT WAALIKA WATEJA WAO KWENYE BONANZA

KAMPUNI ya Kuambiana Investment yandaa Bonanza Kwa ajili ya Kuwakutanisha karibu wateja wao na kuweka Sawa Miili yao Kwa Michezo mbalimbali . Akizungumza na Wanahabari Makao Makuu ya ofisi ya Kuambiana Sinza Jijini Dar es Salaam Meneja wa Kampuni hiyo Anna Minja amesema Wanatambua mchango mkubwa kutoka kwa Wateja wao ambao wamekuwa wakishirikiana nao kwa…

Read More

Absa Bank Tanzania yakabidhi Subaru Forester ya kwanza, huku ikichezesha droo ya mshindi wa pili ya Kampeni ya ‘Spend & Win’

  Mshindi wa kwanza wa kampeni ya Tumia na Ushinde ‘Spend & Win’ ya Benki ya Absa Tanzania, Bw. Rashidi Saidi (kulia) akionesha ufunguo wa gari jipya aina ya Subaru Forester 2024, muda mfupi baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bw. Obedi Laiser (katikati), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo….

Read More

Walioiba chaja ya baiskeli, wahukumiwa kifungo cha nje

Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemuhukumu Naufali Ramadhani (22) na Abubakari Chiputa, kifungo cha nje cha miezi sita kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa chaja ya baiskeli na extension cable. Pia, Mahakama hiyo imeamuru chaja hiyo pamoja na extension cable arudishiwe mlalamikaji, ambaye ni Idriss Mustafa. Uamuzi huo umetolewa…

Read More

TET YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) inashiriki kikamilifu katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Julai 2, 2025 kwenye Maonesho hayo, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano TET,…

Read More