Mgunda: Tupo tayari kwa vita ya KMC

KAIMU kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema hana wasiwasi kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, kwani tayari ameshaliandaa jeshi alililonalo kushuka Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini hapa ili kuzisaka pointi tatu mbele ya wapinzani wao hao waliotoka nao sare ya 2-2 katika mechi ya kwanza. Mchezo huo utakaopigwa kesho unatazamiwa…

Read More

TBS wazindua mashindano ya Insha vyuo vikuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limezindua shindano la uandishi wa insha kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea maadhimisho ya Siku ya Viwango Barani Afrika, yenye lengo la kukuza uelewa na ushiriki wa vijana katika masuala ya ubora wa viwango. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Vikundi zaidi ya 400 havijarejesha mikopo ya asilimia kumi waliyopewa na Halimashauri ya Jiji la Dodoma

Na Mwandishi wetu – Dodoma Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya jiji la Dodoma Joseph amesema vikundi 467 vinatafutwa na halmashauri hiyo kwa ajili ya kurejesha mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu hapa Nchini. Fungo ameyabainisha hayo leo jijini Dodoma katika semina ya mafunzo yaliyoandaliwa.na Benki ya…

Read More

Rais Samia ateua wenyeviti wa bodi sita

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan jana Jumatano Septemba 25, 2024 amefanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi sita. Taarifa za uteuzi huo zimetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Moses Kusiluka, walioteuliwa ni kama ifuatavyo: i. David Chimbi ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL); ii. Balozi Aziz Mlima…

Read More

TANZANIA, MFANO WA KUENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO

  Na Wizara ya Madini    Sekta ya Madini ni moja ya nguzo muhimu za uchumi wa Tanzania. Pamoja na mchango mkubwa unaotolewa na Migodi mikubwa inayomilikiwa na Kampuni za ndani na nje ya Taifa sambamba na zile za ubia baina ya Serikali na kampuni za kigeni. Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini bado ni tija…

Read More

Kenya yatupwa nje CHAN 2024

TIMU ya Taifa la Madagsacar imeweka rekodi kwa kuwa ya kwanza kutinga nusu fainali ya michuano ya CHAN 2024 baada ya kuifunga Kenya ‘Harambee Stars’ kwa mikwaju ya penalti 4-3 baada ya kutoka sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 120 kwenye Uwanja wa Kimataifa wa michezo wa Moi, Nairobi. Kenya ilianza mechi hiyo kwa…

Read More

RAIS DKT. SAMIA AWASILI MAPUTO NCHINI MSUMBIJI, KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA JAMHURI YA MSUMBIJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Jamhuri ya Msumbiji Balozi Maria Manuela Dos Santos Lucas mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo tarehe 24 Juni, 2025 Maputo, Jamhuri ya Msumbiji ambapo anatarajia kuwa Mgeni…

Read More

KIMARO AGUSWA HARAMBEE YA CCM,ACHANGIA MILIONI 20.

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfanyabiashara maarufu jijini Arusha,Ndugu Nathan Kimaro ametoa kiasi cha shilingi milioni 20 kama sehemu ya mchango wake wa kusaidia kampeni za uchaguzi wa wagombea wa Urais wa chama hicho Oktoba,2025. Kimaro mbali ya kuchangia lakini pia alikuwepo ukumbini hapo jana Agosti 12,2025, kushuhudia ‘LIVE’ hafla hiyo ya Harambee…

Read More