Dk Biteko azindua bodi ya Tanesco akiagiza mambo sita

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amezindua rasmi Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), huku akitoa maelekezo sita. Miongoni mwa maelekezo hayo ni kuendeleza na kusimamia miradi ya kimkakati ya uzalishaji na usambazaji wa umeme ili kuhakikisha huduma ya umeme inaimarika na kuwafikia Watanzania wengi…

Read More

Simba yafanya umafia Kenya | Mwanaspoti

SIMBA wameonyesha ukubwa wao kwa mara nyingine. Kuna jambo ambalo wamefanya kwenye kambi ya timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars ambalo limemtibua Kocha Benni McCarthy. Ni jinsi walivyoufanya kibabe usajili wa mshambuliaji wao mpya, Mohammed Bajaber na kuumaliza kwa haraka bila kumpa hata nafasi ya kumeza mate. Simba imeendelea kuboresha kikosi chake kwa kusajili…

Read More

Aziz KI balaa! Aibuka na jambo lingine Yanga

SAHAU ishu ya ndoa yake na Hamisa Mobetto. Achana na kitendo cha kusamehe fungate la ndoa na kukipiga katika mechi za Ligi Kuu kama hana chochote alichofanya. Pia jaribu kupotezea umahiri alionao wa kufunga na kuasisti, ila ukweli ni kwamba kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI ameshindikana hata kwenye ufungaji wa hat trick. Ndio!…

Read More

Ahukumiwa miaka 10 jela kwa kuua bila kukusudia

Arusha. Mahakama Kuu ya Tanzania, Masijala ndogo ya Bukoba iliyoketi Karagwe, imemhukumu kifungo cha miaka 10 jela, Edson Aron baada ya kumkuta na hatia ya kumuua bila kukusudia Philemon Thadeo, kwa kumkata na panga kichwani na mkononi.  Edson alimuua Thadeo baada ya kutokea  kutokuelewana katika mazungumzo yao na kusababisha mapigano kati yao. Imeelezwa kuwa, Thadeo…

Read More

Njombe kuwatangaza hadharani wauaji, wabakaji

Njombe. Serikali ya Mkoa wa Njombe imesema haitafumbia macho matukio ya mauaji na ukatili wa kijinsia yanayofanyika mkoani humo ambapo pamoja na hatua za kisheria, majina ya wahusika wa matukio hayo yatatangazwa hadharani ili jamii iwafahamu. Hayo yamebainishwa leo Desemba 20, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka kwenye mkutano maalumu wa kujadili…

Read More

CRDB yashinda tuzo tatu kimataifa

London / Dar es Salaam. Benki ya CRDB imeshinda tuzo tatu za kimataifa na kutajwa na jarida la kifedha la kimataifa la Euromoney kama Benki Bora Tanzania. Hafla ya utoaji wa tuzo hizo, iliyohudhuriwa na wabobezi wa huduma za kibenki zaidi ya 500, ilifanyika Julai 17, 2025, jijini London, Uingereza, na CRDB kuibuka kidedea katika…

Read More

Kagame kurejea madarakani? – DW – 11.07.2024

Paul Kagame ambaye kimsingi yeyote angeweza kusema ndiye amekuwa kiongozi wa Rwanda tangu kukoma kwa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994, anapambana na upinzani kutoka kwa kiongozi wa chama cha Kijani Frank Habineza. Habineza ndiye mgombea pekee wa chama cha upinzani  aliyeidhinishwa kugombea mwaka huu. Mgombea mwingine ni Philipe Mpayimana anayewania nafasi ya Urais kama…

Read More