Maumivu ya bei yaja, usafirishaji kwenye meli juu

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na malalamiko ya kupanda kwa bei za bidhaa za chakula kutokana na kupaa kwa mafuta ya dizeli na petroli, huenda kilio hicho kikaongezeka baada ya ongezeko kubwa la gharama za usafirishaji wa mizigo kwa meli. Sababu ya ongezeko hilo inaelezwa ni ukosefu wa usalama katika safari za meli zinazotoka Ulaya…

Read More

RT kuwabana waandaaji mbio | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limepanga kuweka sheria mpya itakayowalazimisha waandaaji wa mashindano ya mchezo huo kuhakikisha wanajumuisha pia mbio za watoto katika kila tukio litakaloandaliwa. Hatua hiyo inalenga kujenga msingi imara wa vipaji na kuwekeza mapema kwenye maendeleo ya riadha nchini. Rais mpya wa RT, Rogath John Stephen Akhwari alisema mpango huo utahusisha kuandaa…

Read More

Wanaodaiwa kuiba mafuta ya Tipper kuendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Washtakiwa  wa kesi ya wizi wa mafuta katika visima  vya kampuni ya Kimataifa ya Kuhifadhi Mafuta, Tiper Tanzania Ltd (Tiper), wataendelea kusota rumande kwa siku nyingine 14, kabla ya kurejeshwa mahakamani kujua hatima ya upelelezi wa kesi inayowakabili. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa kesi yao kutokakamilika. Washtakiwa hao ni aliyekuwa dereva…

Read More

Mbeya yaingilia kati Prisons na Ken Gold

WAKATI Tanzania Prisons na Ken Gold zikiendelea kuchechemea kwenye Ligi Kuu, chama cha soka mkoani Mbeya (Mrefa) kimezitaka timu hizo kutekeleza ushauri wa kamati ya mashindano ili kukwepa aibu ya kushuka daraja. Timu hizo pekee mkoani Mbeya kwenye Ligi Kuu, hazijawa na matokeo mazuri na kuweka presha kwa mashabiki na wadau wa soka katika vita…

Read More

Simba yaipeleka Stellenbosch Zenji | Mwanaspoti

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya CAF, Simba imeamua kuwapeleka wapinzani wao wa mechi za nusu fainali, Stellenbosch ya Afrika visiwani Zanzibar. Simba itavaana na timu hiyo ya Afrika Kusini Jumapili ya wikiendi hii kwenye Uwanja wa Amaan Complex, baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa kwa muda kupisha ukarakati na mabosi wa Msimbazi…

Read More

Sichone aumaliza msimu mapema | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Trident FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Zambia, Mourice Sichone amesema kwa asilimia kubwa malengo aliyojiwekea msimu huu yametimia. Kinda huyo (17) ukiwa msimu wake wa kwanza kukitumikia kikosi hicho amecheza mechi 18 akifunga mabao sita na kutoa asisti nane. Akizungumza na Mwanaspoti, Sichone alisema ingawa Ligi hiyo haijatamatika lakini anahesabu amemaliza…

Read More

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YASAINI MIKATABA MIWILI MIZITO YA BIL 9.4 RC MAKONDA AONYA WANAOINGILIA MICHAKATO!

Na Joseph Ngilisho- ARUSHA  HALMASHAURI ya jiji la Arusha imesaini MAKUBALIANO na wakandarasi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi miwili yenye thamani ya sh,bilioni 9.4 ambayo ni ujenzi wa barabara ya lami ya ESSO hadi Longdong yenye urefu wa Kilometa 1.8 pamoja na ujenzi wa ukumbi wa kisasa wa mikutano . Mikataba hiyo imesainiwa mwishoni…

Read More

DKT BITEKO AKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI

*Ataja Mikakati ya Serikali Kuimarisha Sekta ya Nishati, Tanzania Inavyojiandaa Kuuza Umeme nchi Jirani na Uwepo wa Soko la Uhakika Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Singapore Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inawakaribisha wawekezaji katika sekta ya nishati ili kuongeza kasi ya usambazaji,…

Read More