BILIONI 11.8 KUENDELEA KUTOKOMEZA MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE

Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema hadi kufikia sasa Tanzania imepokea Shilingi Bilioni 11.8 kutoka Serikali ya Uingereza ikiwa ni mchango mkubwa wa kuisaidia Tanzania kukabiliana na magonjwa Yasiyopewa Kipaumbele ikiwepo Matende, Mabusha, Uono afifu, Usubi na Kichocho tangu mwaka 1998. Waziri Mhagama amesema hayo leo Septemba 17, 2024 baada ya kikao cha majadiliano…

Read More

Tunisia yajiandaa kwa uchaguzi – DW – 04.10.2024

Uchaguzi wa rais wa Oktoba 6 katika taifa hilo la Kaskazini mwa Afrika ni wa tatu tangu maandamano yaliyosababisha kung’olewa madarakani kwa Rais Zine El Abidine Ben Ali mwaka 2011, mbabe wa kwanza aliyepinduliwa katika ghasia za vuguvugu la kiarabu ambalo pia liilisababisha mapinduzi kwa viongozi wa Misri, Libya na Yemen. Waangalizi wa kimataifa walisifu…

Read More

Watoto wawili kati ya 100 huzaliwa na tatizo la moyo nchini

Dodoma. Watoto wawili kati ya 100 huzaliwa na tatizo la moyo nchini kila mwaka, huku wataalamu wakibainisha kuwa wengi hawagunduliki mapema na hufariki wakitibiwa magonjwa mengine ikiwemo kukosa pumzi, kifua kikuu na nimonia. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kupitia wataalamu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI kupitia huduma mkoba katika mikoa 20, walibaini…

Read More

Kikwete ajenga ukumbi wa mikutano Bukombe

Geita. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amejenga ukumbi wa mkutano wa kisasa katika Shule ya Sekondari Bulangwa, wilayani Bukombe Mkoa wa Geita, kwa ufadhili wa Kampuni ya MM Steel. Ukumbi huo una uwezo wa kubeba watu kati ya 3,500 na 4,000. Akiweka jiwe la msingi la ukumbi huo leo Februari 8, 2025, Kikwete amesema kujengwa kwa…

Read More

Zakaria amtibulia Kennedy Juma singida

UONGOZI wa Singida Black Stars una mpango wa kumtoa kwa mkopo nahodha wa timu hiyo, Kennedy Juma kwenda Mashujaa ambako umemng’oa Abdulmalik Zakaria. Zakaria anayecheza beki wa kati tayari ameshaanza kazi akiitumikia timu hiyo katika michuno ya Kombe la Mapinduzi 2026 akiwa sambamba na Abdallah Kheri ‘Sebo’ waliojiunga na timu hiyo dirisha dogo la usajili…

Read More