CCM yateua mgombea Kwahani, mrithi wa Jokate

Unguja. Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemteua Khamis Yusuph Mussa kupeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang’anyiro cha ubunge wa  Kwahani visiwani Zanzibar. Hatua hiyo imetokana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kutangaza uchaguzi mdogo katika jimbo la hilo, baada ya aliyekuwa mbunge wake (CCM), Ahmada Yahya Shaa kufarini dunia Aprili…

Read More

Lukuba: Outsiders tulizingua wenyewe | Mwanaspoti

MWEKAHAZINA wa  UDSM Outsiders, Rama Lukuba ameshindwa kujizuia na kusema kilichoiua timu hiyo na kushindwa kubeba ubingwa wa ligi ya kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) mwaka huu, ni wao tu. Akiongea  na Mwanasposti katika viwanja vya Donbosco Upanga,  Lukuba alisema nafasi waliyopata mwaka huu haiwezi ikajirudia tena. Alisema timu hiyo ilikuwa na kikosi…

Read More

Badru: Kachwele ni Samatta mtupu

KOCHA mpya wa Songea United, Mohammed Badru amempigia chapuo kijana aliyemnoa katika timu za vijana pale Azam, Cyprian Kachwele ambaye kwa sasa anaichezea Vancouver Whitecaps ya Canada kuwa anaweza kuvaa viatu vya nyota wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta katika kikosi cha Taifa Stars. Kachwele ni miongoni mwa washambuliaji wanne wa kati akiwemo Wazir Junior…

Read More

UN Secretary-General: Tanzania is a ‘Reference Point for Peace’, Calls for Meaningful National Dialogue Post-Election

“Tanzania continues to stand as a reference point for peace and social cohesion in Africa and the world.” These were the words of the United Nations Secretary-General, H.E. António Guterres, today upon receiving a Special Envoy carrying a message from the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan. The message…

Read More

Sungusungu wadaiwa kumvunja mwanakijiji mguu kwa kipigo

Kahama. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia sungusungu wawili kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mkazi wa Kijiji cha Mbika Wilayani Kahama, John Julius (34) kwa madai ya kuiba mlango wa mwajiri wake. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Februari 23, 2024 kamanda wa polisi mkoani humo, Janeth Magomi amewataja wanaoshikiliwa ni Bundala Dalali na…

Read More