ATCL yafungua anga kati ya Tanzania na Afrika Magharibi

Dar es Salaam. Katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafiri wa anga barani Afrika, Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi safari za moja kwa moja kwenda Accra, Ghana kupitia Lagos, Nigeria ikilenga kukuza utalii, kuimarisha uchumi na kurahisisha usafiri kati ya Afrika Mashariki na Magharibi. Safari za Accra zitakuwa mara tatu…

Read More

Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tatu

KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1, 2026. Kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amesema wameenda kuandika historia nyingine kumataifa kwa kupata pointi tatu wakiwa ugenini. Singida Black Stars inauendea mchezo…

Read More

Kipigo cha Yanga bado  kinamtesa Mayanga

KIPIGO cha mabao 6-0 dhidi ya Yanga ugenini, bado kinaendelea kulitesa benchi la ufundi la Mashujaa FC baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga kufichua kwamba walifanya makosa ambayo bado yanamsumbua kuyatatua kabla ya kukutana na mpinzani mwingine. Januari 19, 2026, timu hiyo kutoka Kigoma iliambulia kipigo cha mabao 6-0 kutoka kwa Yanga…

Read More

Ushindi wa Museveni wapingwa mahakamani | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika hatua mpya ya mgogoro wa kisiasa ulioibuka tangu uchaguzi wa urais wa Uganda uliofanyika Januari 15, 2026, ushindi wa Rais Yoweri Museveni umeanza kutafunwa kisheria mbele ya Mahakama Kuu ya Uganda. Hii imejiri tangu Januari 17, 2026, baada ya mgombea wa Urais Robert Kasibante, aliyeshika nafasi ya sita katika matokeo yaliyotangazwa…

Read More

SERIKALI YAWEKA MIKAKATI YA KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA FOLENI KIBAHA

:::::::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amebainisha mikakati ya muda mfupi inayotekelezwa na Serikali ili kupunguza changamoto ya foleni katika barabara ya Kibaha–Chalinze hadi Morogoro. Ulega amesema hayo leo tarehe 28, Januari 2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Pwani Mhe. Hawa Mchafu aliyehoji hatua zilizofikiwa katika ujenzi…

Read More

Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tat

KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1, 2026. Kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amesema wameenda kuandika historia nyingine kumataifa kwa kupata pointi tatu wakiwa ugenini. Singida Black Stars inauendea mchezo…

Read More

JKT Tanzania wana jambo lao Ligi Kuu

JKT Tanzania imesema bado inahitaji kuongeza kasi na kujituma kusaka pointi tatu kila mechi ili kumaliza nafasi nne za juu katika Ligi Kuu Bara msimu huu. Timu hiyo imeonekana kuwa moto msimu huu ikiwa imekaa kileleni mara kadhaa kwenye msimamo wa Ligi Kuu ambapo kabla ya jana Yanga kucheza dhidi ya Dodoma Jiji, ilishika nafasi…

Read More