Mambo matano ndani ya Agenda 2030 ya NMB
Dar es Salaam. Benki ya NMB imezindua mpango mkakati wa miaka mitano kuanzia 2026 hadi 2030, unaojulikana kama Agenda 2030, ambao umeweka mkazo katika maeneo matano makuu, ikiwemo kuboresha huduma kwa wateja, kuimarisha mabadiliko ya kidijitali, matumizi ya kimkakati ya data na kufadhili sekta muhimu za uchumi. Uzinduzi wa Agenda 2030 umefanyika leo Januari 28,…