Mambo matano ndani ya Agenda 2030 ya NMB

Dar es Salaam. Benki ya NMB imezindua mpango mkakati wa miaka mitano kuanzia 2026 hadi 2030, unaojulikana kama Agenda 2030, ambao umeweka mkazo katika maeneo matano makuu, ikiwemo kuboresha huduma kwa wateja, kuimarisha mabadiliko ya kidijitali, matumizi ya kimkakati ya data na kufadhili sekta muhimu za uchumi. Uzinduzi wa Agenda 2030 umefanyika leo Januari 28,…

Read More

‘Tangu Mapinduzi, Waajiri wa Kiwanda Wamezidi Kufanya Kazi na Wanajeshi Kuzuia Kuandaa na Kunyamazisha Wafanyakazi’ — Global Issues

na CIVICUS Jumatano, Januari 28, 2026 Inter Press Service CIVICUS inazungumza na Kituo cha Biashara na Haki za Kibinadamu (BHRC) kuhusu ukiukwaji wa haki za wafanyikazi katika tasnia ya nguo ya Myanmar tangu mapinduzi ya kijeshi ya 2021. Sekta ya nguo ya Myanmar, ambayo inaajiri mamia ya maelfu ya wafanyakazi, iko katika mgogoro mkubwa. Tangu…

Read More

Mwingine afariki ajali ya basi na lori Tinde 

Shinyanga. Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga (Mwawaza), Dk Jonathan Chikomele, amethibitisha kifo cha mtu mwingine mmoja aliyejeruhiwa katika ajali ya basi na lori iliyotokea katika eneo la Mnada wa Tinde. Akizungumza na mwandishi wa habari kwa njia ya simu leo Januari 28, 2026, Dk Chikomele amesema marehemu ametambuliwa kwa…

Read More

Wagomea mwekezaji kupewa heka 850 za ardhi  

Pwani. Wakazi wa Kitongoji cha Lupunga, Kata ya Kikongo, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati mgogoro wa ardhi kati yao na mwekezaji aliyepewa heka 850 katika eneo hilo. Wanadai utaratibu wa kisheria haukufuatwa, ikiwamo kushindwa kuitishwa vikao vya makubaliano kabla ya kupatiwa eneo hilo. Notisi ya kuondoka ilitolewa Januari…

Read More

ATCL yafungua anga kati ya Tanzania na Afrika Magharibi

Dar es Salaam. Katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafiri wa anga barani Afrika, Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi safari za moja kwa moja kwenda Accra, Ghana kupitia Lagos, Nigeria ikilenga kukuza utalii, kuimarisha uchumi na kurahisisha usafiri kati ya Afrika Mashariki na Magharibi. Safari za Accra zitakuwa mara tatu…

Read More

Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tatu

KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1, 2026. Kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amesema wameenda kuandika historia nyingine kumataifa kwa kupata pointi tatu wakiwa ugenini. Singida Black Stars inauendea mchezo…

Read More

Kipigo cha Yanga bado  kinamtesa Mayanga

KIPIGO cha mabao 6-0 dhidi ya Yanga ugenini, bado kinaendelea kulitesa benchi la ufundi la Mashujaa FC baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga kufichua kwamba walifanya makosa ambayo bado yanamsumbua kuyatatua kabla ya kukutana na mpinzani mwingine. Januari 19, 2026, timu hiyo kutoka Kigoma iliambulia kipigo cha mabao 6-0 kutoka kwa Yanga…

Read More

Ushindi wa Museveni wapingwa mahakamani | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika hatua mpya ya mgogoro wa kisiasa ulioibuka tangu uchaguzi wa urais wa Uganda uliofanyika Januari 15, 2026, ushindi wa Rais Yoweri Museveni umeanza kutafunwa kisheria mbele ya Mahakama Kuu ya Uganda. Hii imejiri tangu Januari 17, 2026, baada ya mgombea wa Urais Robert Kasibante, aliyeshika nafasi ya sita katika matokeo yaliyotangazwa…

Read More