ATCL yafungua anga kati ya Tanzania na Afrika Magharibi
Dar es Salaam. Katika juhudi za kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafiri wa anga barani Afrika, Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi safari za moja kwa moja kwenda Accra, Ghana kupitia Lagos, Nigeria ikilenga kukuza utalii, kuimarisha uchumi na kurahisisha usafiri kati ya Afrika Mashariki na Magharibi. Safari za Accra zitakuwa mara tatu…