Naibu Waziri wa Maji Ashiriki Uzinduzi wa Jimbo Katoliki Bariadi
Bakari Mahundu March 19, 2026 0 Comments Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Mhandisi Kundo Andrea Mathew, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bariadi Mjini, ameshiriki katika sherehe za uzinduzi wa Jimbo jipya la Kanisa Katoliki la Bariadi pamoja na usimikaji wa Askofu wa kwanza wa jimbo hilo, Mhashamu Prosper Baltazar Lyimo, zilizofanyika leo Alhamisi,…