Yanga watiwa hasira Ligi Kuu

YANGA inapaa leo kwenda Kigoma ikiwafuata wanajeshi wa Mashujaa, lakini kocha wa timu hiyo, Hamdi Miloud amewajaza upepo washambuliaji Prince Dube na Clement Mzize akiwaambia waamue wao kwani kiatu cha ufungaji bora kipo kwenye miguu yao. Kwenye msimamo wa ufungaji kinara wa mabao ni Mzize amefunga 10 sawa na kiungo wa Simba Jean Charles Ahoua…

Read More

Siri ya uwezo wa Chama, Pacome mtaalamu wao afunguka

SIRI ya viungo wawili Yanga ambao ni Pacome Zouzoua na Clatous Chama imefichuka, baada ya kuonekana kuwa na viwango bora hasa katika michuano ya kimataifa iliyochezwa wikiendi iliyopita dhidi ya Vital’o ya Burundi.  Huu ni msimu wa pili kwa Muivory Coast Pacome aliyetokea Asec Mimosas na wa kwanza kwa Chama ambaye alikuwa akiichezea Simba. Viungo…

Read More

NEMC: Lipeni ada ya tathmini ya mazingira kwa wakati

Dar es Salaam. Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limewataka watathmini mazingira na wawekezaji kulipa Ada za Tathmini ya  Mazingira (EIA) katika wakati uliopangwa ili kutekeleza miradi yao kwa kuzingatia sheria za mazingira. NEMC imesema muda unaotakiwa kulipwa ada na tozo hiyo kisheria ni kuanzia Julai mosi hadi Desemba 31 kila…

Read More

Wakimbizi wa Afghanistan, miongoni mwa wengine, wanahisi athari za kufungia ufadhili wa USAID – maswala ya ulimwengu

na Ashfaq Yusufzai (Peshawar, Pakistan) Jumapili, Februari 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari PESHAWAR, Pakistan, Februari 16 (IPS) – “Nilishtuka nilipoambiwa na mlinzi kwamba kliniki imefungwa. Mimi, pamoja na jamaa zangu, nilikuwa nikitembelea kliniki kwa ukaguzi wa bure, “Jamila Begum, 22, mwanamke wa Afghanistan, aliiambia IPS. Kliniki imeanzishwa na NGO na msaada wa kifedha…

Read More

Utaalamu hafifu kikwazo utambuzi wa mapema wa saratani -4

Dar es Salaam. Utaalamu hafifu kwa watoa huduma za afya ngazi za msingi na uhaba wa vifaatiba kubaini ugonjwa wa saratani mapema, ni sababu ya wengi kuanza tiba kwa kuchelewa. Changamoto nyingine inatajwa ni kutokutolewa rufaa mapema inapotokea mgonjwa ana viashiria vya saratani kukua, kusambaa mwilini au kuugua mara kwa mara. Serikali imekiri kuwapo kwa…

Read More

Wasichana wanaoacha vyuo waongezeka | Mwananchi

Dar es Salaam. Idadi ya wasichana wanaoacha vyuo imeongezeka kwa asilimia 44 kati ya mwaka 2020/21 hadi 2023/24, Ripoti ya wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) 2024 inaeleza. Hali hii inafifisha juhudi za Taifa kufikia usawa wa kijinsia katika elimu, hasa ikizingatiwa elimu ya juu ni nguzo muhimu ya uwezeshaji wa wanawake na maendeleo…

Read More

Dk Mpango awataka vijana kuwatunza, kuwathamini wazazi

Rombo. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka vijana nchini waliobahatika kuwa na wazazi walio hai kujenga utamaduni wa kuwatunza, kuwalea na kuwaonyesha upendo. Amesema mzazi (mama) ni mtu muhimu kwa kuwa ndiye wakili wa Mwenyezi Mungu hapa duniani. Hayo ameyasema leo, Februari 6, 2025 wakati wa ibada ya misa ya mazishi ya  mama mzazi…

Read More