Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula
Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula hapa nchini utasaidia kuimarisha afya za watoto na kupunguza vichwa vikubwa huku serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya vyakula vyenye virutubishi. Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati akifungua kiwanda kipya na cha pili barani Afrika cha kuzalisha virutubishi vya vyakula pamoja…