Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula

Waziri Mkuu wa Tanzania Mh KASSIM MAJALIWA amesema uwepo wa kiwanda cha kutengeneza virutubishi vya vyakula hapa nchini utasaidia kuimarisha afya za watoto na kupunguza vichwa vikubwa huku serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya vyakula vyenye virutubishi. Waziri Mkuu ameyasema hayo wakati akifungua kiwanda kipya na cha pili barani Afrika cha kuzalisha virutubishi vya vyakula pamoja…

Read More

Mkurugenzi wa Benki ya DCB, Sabasaba Moshingi aongoza wafanyakazi wa benki hiyo kujitolea damu wakiadhimisha Siku ya Wachangia damu Duniani

BENKI ya Biashara ya DCB imesema itaendelea kufanya jitihada tofauti katika kusaidia afya za watanzania wenye uhitaji wa kupata damu kutokana na kukabiliwa na changamoto mbalimbali imeelezwa jijini Dar es Salaam leo. Akizungumza katika zoezi la kujitolea damu kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani, jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Imani ya Simba imebaki Kwa Mkapa 

Tukutane kwa Mkapa ndicho mashabiki wa Simba wanaweza kusema kutokana na hesabu zilivyo kwa timu yao baada ya kupoteza jana, Jumapili kwa mabao 2-1 huko Algeria dhidi ya CS Constantine kwenye mechi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika katika hatua ya makundi. Katika mchezo huo ambao ulichezwa kwenye Uwanja wa Mohamed Hamlaoui mjini Constantine,…

Read More

Wabunge waliosimama na Gachagua hawa hapa

Dar es Salaam. Wabunge 58 wa Bunge la Kitaifa la Kenya hawakutia saini hoja ya kumtimua Naibu Rais, Rigathi Gachagua iliyowasilishwa rasmi katika Bunge hilo, Jumanne Oktoba Mosi, 2024. Haijabainika iwapo baadhi ya wabunge hao walikataa kutia saini hoja hiyo kwa sababu ya kutokuwemo ndani ya Bunge kwa sababu moja au nyingine au wanapinga kumrudisha…

Read More

Umati wafurika Mkutano wa Rais Samia Ifakara

Maelfu ya Wananchi wa Kilombero Mkoani Morogoro leo wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa CCM Ifakara kwenye Mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan kumshukuru kwa Miradi mingi ya Maendeleo wakati Ziara ya Kikazi Mkoani humo leo August 05,2024. #RaisSamiaZiaraMoro . . . . . . . . ….

Read More

Rais Mwinyi: Zanzibar ipo tayari kwa mashindano ya Chan 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amelihakikishia Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘Caf’ kuwa Zanzibar ipo tayari na inajiandaa vema kufanikisha Mashindano ya ‘Chan’ yanayotarajiwa kufanyika Februari mwakani. Rais Dk.Mwinyi aliyasema hayo alipozungumza na Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe aliefika Ikulu Zanzibar jana 19…

Read More

Mchengerwa awataka wakuu wa mikoa kusimamia sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amewaagiza wakuu wa mikoa kote nchini kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusimamia sheria, kanuni, na taratibu za uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Baadhi ya Watumishi…

Read More

Wanafunzi wafunuliwa faida za uwekezaji mitaji

Mwanza. Zaidi ya wanafunzi 400 wa shule za sekondari mkoani Mwanza wameelimishwa kuhusu faida za uwekezaji kwenye masoko ya mitaji, kuwa ni pamoja na kujiwekea akiba kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Pia, wamefundishwa kwamba uwekezaji huo ni kwa mtu yoyote aliyefikisha umri wa miaka 18 na kiasi kinachotakiwa ni kuanzia Sh10,000 na kuendelea, na…

Read More