Msisitizo watolewa mashuleni kwa wanafunzi na wazazi

Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wamesisitizwa kuwa na nidhamu shuleni, kuzingatia masomo ili waweze kufanya vizuri kitaluma,kufaulu na kutimiza ndoto zao. Msisitizo huo umetolewa na Katibu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Mungu Tanzania REV-Dismus Mofulu alipokuwa akizungumza katika Maafali Ya Kidato Cha Sita Katika Shule ya Sekondari ALDERZGETI iliyopo Babati Mkoani Manyara Amesema…

Read More

Othman atangaza siasa za mapambano ACT-Wazalendo

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo, Othman Masoud amesema mwekeleo wa sasa wa chama hicho, ni kufanya siasa za mapambano na si laini na nyepesi zisizotoa dira ya demokrasia ya kweli. Othman ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema mapambano hayo, siyo ya kupigana bali kutafuta mageuzi katika mfumo wa siasa…

Read More

Sakata la umri wa kuolewa latua tena bungeni

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema imekamilisha uandaaji wa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ndoa na hivi sasa muswada huo upo katika hatua za ndani za Serikali. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sajini amesema hayo leo Jumatano Mei 22, 2024 wakati akijibu swali la msingi la mbunge wa viti maalumu, Dk Thea Ntara….

Read More

Baraza la Usalama linaongeza UNISS ya UN katika mji muhimu wa bandari huku kukiwa na ugomvi wa bahari nyekundu – maswala ya ulimwengu

Iliyopitishwa kwa makubaliano, azimio linaloongeza utume wa UN kusaidia makubaliano ya Hudaydah (Unmha) hadi 28 Januari 2026, inasisitiza jukumu muhimu la misheni katika kudumisha utulivu dhaifu huku kukiwa na dalili za kuongezeka kwa kijeshi na kuongezeka kwa hitaji la kibinadamu. Azimio – 2786 (2025) – inathibitisha msaada wa baraza kwa Makubaliano ya Stockholm ya 2018pamoja…

Read More

Hii hapa sababu, chimbuko na maana ya Wangoni kugalagala

Songea. Ingawa kugalagala (kugaagaa) chini wengine wanakuhusisha na mitazamo hasi, kwa kabila la Wangoni ni utaratibu unaobeba tafsiri lukuki zinazoashiria heshima na adabu. Mtindo wa kugalagala chini kwa mujibu wa Wangoni, ni tafsiri halisi ya kiwango cha mwisho cha kushukuru, kuomba radhi na kufurahi. Hata hivyo, kitendo cha kugalagala kimeibua mijadala mitandaoni baada ya Waziri…

Read More

Siku ya mkeka wa Meridianbet ni leo

Je unajua kuwa kwa dau lako dogo tuu unaweza ukala mkeka yaani namaanisha kupiga pesa kwenye mechi ambazo umebashiri?. Leo hii mechi nyingi zinacheza kuanzia kule Uingereza na kwingineko. Ingia www.meridianbet.co.tz. Ligi kuu ya Uingereza EPL leo hii kuna mechi mbili ambapo, Ipswich baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo hii atamkaribisha kwake Crystal Palace…

Read More