Mechi mbili zijazo ni moto kwa Maximo

MZEE wetu Marcio Maximo aliingia kwa matumaini makubwa ndani ya timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) kama kocha mkuu kwa ajili ya msimu huu. Kwa kumbukumbu za hapa kijiweni, huu ni ujio wa tatu kwa Maximo nchini kwani mara ya kwanza alikuja kuinoa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kisha mara ya pili alikuja…

Read More

SMART DARASA YAWAFUNGULIA MILANGO WADAU WAPYA WA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO KATIKA ELIMU

WADAU wa Elimu nchini waaswa kutumia ubunifu mbalimbali kuhakikisha wanaongeza ufaulu na Kurahisisha nyezo za Watoto Mashuleni Kujifunza kwa Kutumia mifumo ya Teknolojia. Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi wa Utafiti Habari katika Machapisho ya Elimu Nchini(TIE) Kwangu Zabron mara baada ya Kutambulishwa kwa program mpya Kusaidia Matumizi ya Teknolojia,Mawasiliano na Habari katika Elimu (SMART DARASA) amesema…

Read More

Madereva bodaboda, bajaji wafundwa kupambana na rushwa

Mwanza. Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza, Crispin Francis amewataka wasafirishaji abiria wakiwemo madereva pikipiki (bodaboda) na bajaji kushiriki katika mapambano dhidi ya rushwa. Crispin ametoa wito huo leo Oktoba 23, 2025 jijini Mwanza wakati akizindua machapisho ya sera ya taasisi hiyo kupitia kampeni ya ‘Takukuru tupo site’ yenye…

Read More

Meridianbet Virtuals Na Msimu Mpya Wa Ushindi Wa Haraka

WAKATI sekta ya michezo ya kubashiri ikiendelea kubadilika kwa kasi, na kampuni inayoongoza nchini, Meridianbet, imezidi kuthibitisha ubora wake kwa kuanzisha ulimwengu mpya wa kubashiri kupitia Meridianbet Virtuals, burudani ya papo kwa papo yenye matokeo ya haraka na malipo ya moja kwa moja. Tofauti na michezo ya kawaida inayohitaji ratiba maalum au msimu maalum, Meridianbet…

Read More

Wingi wa madaktari wasio na ajira rasmi washtua

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na changamoto za uhaba wa wataalamu wa afya katika vituo vya kutolea huduma nchini, takwimu zinazoonyesha idadi kubwa ya madaktari wako mtaani zimewashtua wadau. Uhaba huo umekuwa ukisababisha adha kwa wagonjwa, kuwalazimu kusota kwa muda kwenye vituo vya kutolea huduma na wengine wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na kadhia hiyo. Hali…

Read More

Wimbo Mpya : MAP MASTAR MKM Ft. NOBE

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Map Mastar MKM wakishirikiana na Nobe wametambulisha rasmi wimbo wao mpya uitwao “Kiongozi Bora”, audio rasmi ikiwa imewekwa kupitia mtandao wa YouTube chini ya Misalaba Media.  Wimbo huu unakuja ukiwa na ujumbe mzito wa kijamii unaogusa nafasi na wajibu wa viongozi bora katika maendeleo ya taifa, ambapo wasanii hao…

Read More

Simba Queens, Yanga Princess dabi ya nafasi

BAADA ya Karikoo Dabi ya wanaume iliyopigwa Oktoba 19 mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar na Yanga kushinda bao 1-0 dhidi ya Simba, hatimaye leo inashuhudiwa ya upande wa wanawake kuanzia saa 10:00 jioni. Msimu huu timu hizo zimekutana mara moja, Oktoba 2 kwenye nusu fainali ya Ngao ya Jamii na Yanga Princess ilishinda…

Read More