Kula vyakula hivi kukabiliana na maumivu ya hedhi

Dar es Salaam. Wakati wa hedhi kuna baadhi ya wanawake hupitia changamoto ya kupata maumivu makali hali inayosababisha kushindwa kufanya shughuli zao mbalimbali. Kwa mujibu wa wataalamu, maumivu hayo hutokana na kitendo cha misuli ya uterasi kukaza na ambacho huratibiwa na homoni ya ‘prostaglandins’. Waathirika wa maumivu hayo hutumia njia mbalimbali wanazoamini zitawasaidia kupunguza maumivu…

Read More

Makamu wa Rais akabidhi tuzo za mzalishaji bora,huku Alliance One ikiibuka kidedea

Makamu wa Rais Dk Isidory Mpango, amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye kukabidhi tuzo mzalishaji bora wa bidhaa za viwanda,huku kampuni ya tumbaku Alliance One,ikiibuka kidedea kwenye tuzo za Rais za Mzalishaji Bora(PMAYA) zinazoandaliwa kila mwaka na Shirikisho la viwanda nchini CTI. Kampuni hiyo imekwapua ushindi huo kwenye eneo la wazalishaji wakubwa wa bidhaa za…

Read More

KMKM yaanza mikwara, yawatisha Wadjibouti mapema

KIKOSI cha KMKM kinaendelea kujifua hapa visiwani Zanzibar kujiandaa na mechi ya raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho dhidi ya As Port ya Djibouti, huku kocha mkuu wa timu huyo  Ame Msimu akipiga mkwara mzito. Kocha huyo amesema hana presha kwenda kuivaa AS Port kwa vile walishawahi kuvaana nao, hivyo wanajua namna ya kuwasulubu…

Read More

Kicheko ujenzi wa hosteli uliokwama miaka saba

Serengeti. Jengo la Hosteli katika Shule ya Sekondari Ngoreme wilayani Serengeti lililoshindwa kukamilika kwa takriban miaka saba sasa  limekamlika kwa asilimia 98. Jengo hilo ambalo lilianza kujengwa na umoja wa wanafunzi waliiowahi kusoma shuleni hapo limefikia hatua hiyo baada ya Mkuu wa Mko wa Mara, Evans Mtambi kufanya ziara shuleni hapo Agosti,13 2024 na kutoa…

Read More

Hoza apewa miwili Dodoma Jiji

KIUNGO mkabaji wa Dodoma Jiji, Salmin Hoza ataendelea kusalia kwenye klabu hiyo hadi 2027 baada ya kuongeza mkataba miaka miwili. Kiungo huyo alijiunga na Dodoma Jiji 2020 kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Azam FC hadi sasa ameendelea kuitumikia timu hiyo akiwa mchezaji halali wa klabu hiyo baada ya kumaliza mkataba na waajiri wake wa…

Read More