Hiki ndicho anachokipeleka Baleke Yanga

HII sasa sifa. Hizi huenda zikawa taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube aliyekuwa Azam, sasa imemshusha kikosini, Jean Baleke aliyewahi kuwika na Wekundu wa Msimbazi miezi sita tu iliyopita,  lakini hiki ndicho anachokwenda nacho Jangwani. Ndio, hivi unavyosoma Mwanaspoti ni kwamba…

Read More

Mifuko ya pamoja uwekezaji inavyofanya kazi, faida zake

Fikiria wewe na majirani zako mnataka kununua kipande cha ardhi kwa ajili ya kilimo, lakini hakuna mmoja wenu mwenye pesa za kutosha kufanya hivyo peke yake. Hivyo, mnaamua kuchangishana ili kununua shamba, mnaajiri mtaalamu wa kilimo kusimamia shamba, na baadaye, faida inayopatikana kutoka kwenye mauzo ya mavuno inagawanywa kulingana na kile kila mmoja alichochangia. Mfano…

Read More

CHELSEA YACHUKUA UBINGWA WA DUNIA KWA VILABU 2025

 :::::: Chelsea imetwaa Kombe la Dunia la Vilabu (WCW) baada ya kuichapa PSG mabao 3-0 katika Uwanja wa MetLife, Marekani. Mabao mawili ya Cole Palmer na Joao Pedro yametosha kuipa Chelsea ubingwa huo kwa mara ya pili katika historia yake.  Licha ya matokeo kuwa mazuri kwa upande wa Chelsea waliutawala mchezo huo vipindi vyote viwili…

Read More

Mtaalamu bingwa wa nyonga na magoti wa Uingereza atua Dar

  MTAALAMU bingwa wa upasuaji wa nyonga na magoti kutoka hospitali ya Qeen Elizabeth ya Uingereza Profesa Mamoun AbdelGadir, amewasili jijini Dar es Salaam kwaajili ya kambi ya matibabu ya siku tano kwa watanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Daktari huyo kwa kushirikiana na wataalamu wa ndani atafanya upasuaji huo kwenye kambi…

Read More

TIC yatoa semina ya Uwekezaji Mwanza

Ikiwa ni mwendekezo wa Kampeni ya Kitaifa Kuhamasisha Uwekezaji wa Ndani imeendesha semina juu ya masuala ya mbalimbali ya Uwekezaji leo 19 Julai, 2024 katika Ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida amepongeza jitihada zilizofanywa na Mkoa wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said…

Read More