Nidhamu ni msingi bora wa malezi
Dar es Salaam.Nidhamu ni msingi wa malezi bora na maendeleo ya mtoto, lakini mara nyingi imekuwa ikihusishwa na adhabu kali, vitisho au maneno ya kuumiza. Ingawa njia hizi zinaweza kutoa matokeo ya haraka, tafiti…
Dar es Salaam.Nidhamu ni msingi wa malezi bora na maendeleo ya mtoto, lakini mara nyingi imekuwa ikihusishwa na adhabu kali, vitisho au maneno ya kuumiza. Ingawa njia hizi zinaweza kutoa matokeo ya haraka, tafiti…
MIAMBA ya soka nchini, Yanga na Simba zina historia ndefu kwenye mchezo huu na zaidi ya yote ni tambo zao uwanjani. Hata hivyo, mbali na uwanjani, hata nje ya uwanja zimekuwa zikitambiana kwa mambo mengi na zinashindana hadi kwenye maendeleo yao ya kisoka. Dunia inazidi kubadilika. Maendeleo yanazidi kukua na timu hzi haziko nyuma kwenye…
WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amezindua kiuatilifu hai cha kuangamiza wadudu dhurifu kwenye mazao (THURISAVE – 24) kilichovumbuliwa na kampuni ya Tanzania Biotech Products Limited (TBPL) leo tarehe 4 Oktoba 2024, mkoani Pwani. Kiuatilifu hicho cha Thurisave kinadhibiti wadudu waharibifu wa zao la pamba na kantangaze kwenye nyanya. Kiuatilifu kinachodhibiti mbu ni aina…
Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa Vodacom Tanzania, Happiness Shuma (kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Biashara kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC) Never Daimon, na Mkuu wa Idara ya Mauzo wa Vodacom Business, Rahma Dachi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano na TRC…
Dar es Salaam. Papa Francis Machi 7, 2025 aliunda Jimbo Katoliki la Bagamoyo, nchini Tanzania, akimteua Askofu Stephano Musomba kuwa wa kwanza kuliongoza. Kabla ya uteuzi huo, Musomba alikuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, uteuzi uliofanywa na Papa Francis Julai 7, 2021 na aliwekwa wakfu kuwa askofu Septemba 21, 2021. Padri…
Mbeya. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, imewaachia huru watuhumiwa sita ambao ni wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya waliokuwa wakituhumiwa kwa makosa mawili ya kula njama za kufanya kosa na uhaini. Uamuzi wa kufuta shauri la uchunguzi (P.I) 26722/ 2025 umetolewa leo Novemba 25 na Hakimu wa Mahakama…
:::::: Hadi Aprili, 2025 EWURA ilitoa jumla vibali nane (8) kwa ajili ya ujenzi wa mabomba ya kupeleka gesi asilia kwenye vituo vya CNG. Vibali sita (6) vilitolewa kwa Kampuni ya TPDC ili kuunganisha gesi asilia katika vituo vya: Puma Energy Tanzania Limited (Mbezi Beach); TPDC (Mlimani); TAQA Dalbit (Ubungo Mawasiliano); Energo Tanzania Limited (Mikocheni);…
Dar es Salaam. Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu ya fedha na umuhimu wa kuweka akiba kwa wanafunzi na walimu wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Pugu, iliyopo Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam. Hatua hii inalenga kuwapa wanafunzi ujuzi wa kifedha, kuwawezesha kujiwekea akiba, kubuni mawazo ya biashara na kufahamu jinsi…
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WADAU wa Semina za Jinsia na Maendeleo wamejengewa uelewa kuhusu kanuni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na kuzichambua kwa mtazamo wa kijinsia hasa zile ambazo zinawagusa wananchi moja kwa moja wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Akizungumza katika Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS), Mwasilishaji Deogratius Temba amesema…
Na Rashid Mtagaluka Mwandishi wa habari na mchambuzi wa masuala ya siasa na kijamii nchini, Saleh Mohamed, amesema Tanzania ipo katika njia sahihi ya maendeleo na kwamba miaka mitano ijayo nchi itakuwa imepiga hatua kubwa zaidi chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza Septemba 4, 2025 kupitia mahojiano na Radio Free Afrika jijini…