Mfanyabiashara akata rufaa mfanyakazi wa CRDB kuachiwa huru

MFANYABIASHARA Deogratus Minja amewasilisha kusudio la kukata rufaa kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam ya kumuachia huru mfanyakazi wa Benki ya CRDB, Ibrahim Masahi (40) ambae anatuhumiwa kumjeruhi na nyundo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Inadaiwa kuwa Masahi alimpiga na nyundo jirani yake Minja na kumsababishia…

Read More

Fainali FA Zazibar, Mzize, Sopu kazi ipo

ILE vita iliyokuwapo katika Ligi Kuu Bara iliyomalizika mapema wiki hii katika mbio za Mfungaji Bora inajirudia tena Zanzibar katika fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Katika Ligi Kuu Bara kulikuwa na vita ya nyota wa Yanga na Azam, Stephane Aziz KI (Yanga) na Feisal Salum ‘Fei Toto’ (Azam FC) kila mmoja akitokwa jasho na…

Read More

Chuya haikosi kwenye pishi ya mchele

Mara nyingi tumeona wakulima wadanganyifu wakiloweka mtama kabla ya kuupeleka kwenye mzani. Wengine wamekuwa wakitia mchanga kwenye mazao ionekane kama vile mchanga uliingia bahati mbaya wakati wa kuvuna. Lakini lengo lao ni kuongeza uzani na kupata faida kubwa kutoka kwa mnunuzi. Huu ni wizi kama wizi mwingine, na mhusika anafaa kuchukuliwa hatua anazochukuliwa mwizi. …

Read More

Zanzibar Heroes mabingwa Mapinduzi Cup 2025

TIMU ya Taifa ya Zanzibar Heroes, imefanikiwa kubeba ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025 baada ya kuifunga Burkina Faso mabao 2-1. Katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Januari 13, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba, Zanzibar Heroes ilikuwa ya kwanza kufunga bao dakika ya 41 kupitia mshambuliaji Ibrahim Hamad Hilika. Hilika alifunga bao hilo kiufundi…

Read More

APR yamvutia waya winga Yanga SC

KLABU ya APR ya Rwanda imevutiwa na huduma ya nyota wa Yanga, Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ na tayari imefanya mazungumzo naye ili aweze kwenda kuiongezea nguvu timu hiyo kwa msimu ujao wa mashindano nchini humo na anga la kimataifa. Skudu aliyejiunga na Yanga mwaka jana akitokea Marumo Gallants ya Afrika Kusini baada ya kuvutiwa naye zilipokutana…

Read More