Prisons yasaka wawili kumaliza uhaba wa mabao

TANZANIA Prisons imesema licha ya matokeo kuwa magumu, lakini inaridhishwa na kiwango bora cha wachezaji na namna wanavyojituma uwanjani, huku benchi la ufundi likianza kusaka nyota wawili wa kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji kumaliza tatizo la mabao. Prisons haijawa na matokeo mazuri sana kutokana na pointi saba ilizokusanya katika mechi saba, huku ikiruhusu mabao matano…

Read More

Gamondi atoa msimamo Yanga | Mwanaspoti

KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa msimamo wake kwa kusema hataki kurudia makosa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, akipania kuinoa safu ya ushambuliaji kutumia kila nafasi watakazopata ili kufika mbali zaidi, huku akisistiza kwamba hakuna aliyejihakikishia namba eneo hilo. Gamondi amefunguka hayo muda mfupi baada ya kushuhudia timu ya taifa…

Read More

ROBERT PREVOST PAPA MPYA KANISA KATOLIKI

Robert Kardinali Prevost ni mzaliwa wa Chicago nchini Marekani, na hadi kuchaguliwa kwake alikuwa akihudumu kama mkuu wa Dicastery wa kanisa kwa Maaskofu. Papa Leo XIV mwenye umri wa miaka 69 ametumia muda wake mwingi akitumikia nchini Peru, na ana uraia wa Marekani na Peru. Kabla ya kutangazwa, majina kadhaa yalikuwa yanatajwa kumrithi Papa Francis…

Read More

GBT kudhibiti madubwi haramu | Mwanaspoti

KAMA wewe ni mcheza au mchezeshaji mchezo wa dubwi (Slot) mtaani na unafanya kinyume cha sheria, jiandae tu kwa sasa, kwani Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT) imeanza msako ikiwatumia wenyeviti wa Serikali za Mitaa. Mkurugenzi Mkuu wa GBT, James Mbalwe alisema jana wamepokea malalamiko ya baadhi ya watu kuendesha mchezo wa Sloti (dubwi)…

Read More

TEA, UNICEF NA MAPINDUZI YA SAYANSI MASHULENI – SONGWE.

Na Mwandishi Wetu, Songwe Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) wameendelea kufanya mapinduzi makubwa katika kuinua ubora wa elimu nchini, hususan katika masomo ya sayansi. Hatua hii ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano maalum yaliyosainiwa kati ya pande hizo mbili, yakilenga kuboresha miundombinu ya…

Read More

Wanafunzi Tengeru wang’ara mashindano ya ubunifu ya Afrinnovate Youth Challenge

Arusha. Wanafunzi kutoka Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) kupitia kikundi chao cha Skyverse Solution, wameibuka washindi wa mashindano ya ujasiriamali na ubunifu ya Afrinnovate Youth Challenge baada ya kubuni mashine ya kubangua karanga. Ubunifu huo umetajwa kuwa mkombozi kwa wakulima wadogo wa karanga, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakitumia nguvu na muda mwingi…

Read More