Rafiki, majirani wasimulia mauaji ya mtalaamu sauti za filamu
Dar es Salaam. Iliyokuwa hadithi ya mapenzi yenye matumaini na ndoto za pamoja, imegeuka simulizi ya kushtua ya mauaji, kufuatia kifo cha msimamizi wa sauti za filamu, Athuman Nyanza anayedaiwa kuuawa na mpenzi wake na mwili wake kufukiwa shimoni. Tukio hilo limetokea katika Mtaa wa Kimya Kimya, Kata ya Zingiziwa, Chanika jijini Dar es Salaam,…