SERIKALI YAWEKA MIKAKATI YA KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA FOLENI KIBAHA

:::::::::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amebainisha mikakati ya muda mfupi inayotekelezwa na Serikali ili kupunguza changamoto ya foleni katika barabara ya Kibaha–Chalinze hadi Morogoro. Ulega amesema hayo leo tarehe 28, Januari 2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Pwani Mhe. Hawa Mchafu aliyehoji hatua zilizofikiwa katika ujenzi…

Read More

Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tat

KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1, 2026. Kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amesema wameenda kuandika historia nyingine kumataifa kwa kupata pointi tatu wakiwa ugenini. Singida Black Stars inauendea mchezo…

Read More

JKT Tanzania wana jambo lao Ligi Kuu

JKT Tanzania imesema bado inahitaji kuongeza kasi na kujituma kusaka pointi tatu kila mechi ili kumaliza nafasi nne za juu katika Ligi Kuu Bara msimu huu. Timu hiyo imeonekana kuwa moto msimu huu ikiwa imekaa kileleni mara kadhaa kwenye msimamo wa Ligi Kuu ambapo kabla ya jana Yanga kucheza dhidi ya Dodoma Jiji, ilishika nafasi…

Read More

Kocha KMC FC akiri mambo magumu Ligi Kuu

BAADA ya sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Coastal Union, kocha Mkuu wa KMC, Mohammed Abdallah ‘Bares’ amesema kikosi chake bado kina hali ngumu, hivyo kinaendelea kupambana kujiondoa mkiani huku akikiri ana kazi kubwa ya kufanya. Bares ameambulia pointi moja ya kwanza tangu amekabidhiwa kikosi hicho akichukua mikoba ya Mbrazili, Marcio Maximo, ambapo alianza…

Read More

Ushindi wa Museveni watua mahakamani | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika hatua mpya ya mgogoro wa kisiasa ulioibuka tangu uchaguzi wa urais wa Uganda uliofanyika Januari 15, 2026, ushindi wa Rais Yoweri Museveni umeanza kutafunwa kisheria mbele ya Mahakama Kuu ya Uganda. Hii imejiri tangu Januari 17, 2026, baada ya mgombea wa Urais Robert Kasibante, aliyeshika nafasi ya sita katika matokeo yaliyotangazwa…

Read More

ALAF YAZINDUA TUZO YA 10 YA KISWAHILI YA SAFAL 2025

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya ALAF Tanzania imezindua rasmi Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka wa 2025, ambapo wanaotarajiwa kushiriki shindano hilo wametakiwa kuwasilisha kazi zao kwa ajili ya kupitiwa na majaji. Hiyo ni tuzo ya 10 tangu kuanzishwa kwake 2015 na inafadhiliwa na kampuni ya ALAF Limited ya Tanzania…

Read More

‘Vishandu’ waibua hofu Tanga, polisi wakamata watuhumiwa 55

Tanga. Vijana wanaohofiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu maarufu kama vishandu wameendelea kuwa tishio kwa usalama wa wakazi wa Jiji la Tanga, wakihusishwa na uporaji wa simu, kuvunja biashara na wizi wa vyombo vya usafiri, huku wakitumia silaha za jadi zikiwemo mapanga na nondo. Uchunguzi wa Mwananchi uliofanywa katika mitaa mbalimbali katikati ya jiji umebainisha…

Read More

MBUNGE WA KIBAMBA ATEMBELEA VIVUKO, AGHARAMIA UJENZI NA ATOA AHADI YA SULUHISHO LA KUDUMU

Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Mheshimiwa Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, ametembelea Kivuko cha Mabrouk na Kivuko cha Matembezi vilivyopo Mtaa wa Kibamba, Kata ya Kibamba, kwa lengo la kujionea hali halisi ya miundombinu ya vivuko hivyo na kubaini changamoto zinazowakabili wananchi wanaovitumia katika shughuli zao za kila siku. Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Kairuki amesema amechukua…

Read More

‘Hakuna ubaguzi utoaji mikopo elimu ya juu’

Dodoma. Serikali imeeleza haina mpango wa kubagua wanafunzi wanaotoka shule binafsi katika utoaji wa mikopo ya elimu ya juu, bali inaongozwa na vigezo vya kisheria vinavyolenga kuwabaini wanafunzi wenye uhitaji halisi bila kujali walikotoka kielimu. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatano, Januari 28, 2026 na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Amir Hafidh…

Read More