Rais Mwinyi aifungua bandari kavu ya Maruhubi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Mapinduzi makubwa katika sekta ya Miundombinu ya Bandari yanalenga kuifanya Zanzibar kuwa kituo muhimu cha Usafirishaji na kupokea Meli kubwa zinazoleta bidhaa nchini. Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 18 Oktoba 2024 alipoifungua Bandari kavu ya Maruhubi, Mkoa wa Mjini Magharibi. Amefahamisha…

Read More

Hatari ya ongezeko la watoto katika mikono ya sheria

Dar es Salaam. Mara nyingi tukisikia kuhusu watoto wanaovunja sheria, wengi huhusisha na watoto wa mitaani au wale wasio na makazi maalumu. Lakini taarifa zinasema hata watoto walio kwenye familia huangukia kwenye changamoto hii.  Hiyo ni matokeo ya malezi duni yanayochochewa na kukosekana kwa uangalizi wa karibu wa familia, kunakotajwa kuwa sababu ya watoto kuingia…

Read More

Hatima upelelezi kesi ya wizi shehena ya mafuta Desemba 30

Dar es Salaam. Washtakiwa wanane katika kesi ya wizi wa mafuta katika visima kampuni ya kimataifa ya kuhifadhi mafuta, Tiper Tanzania Ltd (Tiper), wataendelea kusubiri hatima ya upelelezi wa kesi yao mpaka Desemba 30, 2024. Washitakiwa hao, aliyekuwa dereva wa Mamlaka ya Bandari (TPA), Tino Ndekela, mfanyabiashara Fikiri Kidevu, Amani Yamba, Mselem Abdallah, Kika Sanguti,…

Read More

Kampuni ya TOL Gases Plc yafanya Mkutano wa 29 wa Mwaka wa Wanahisa 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya TOL Gases PLC, Leo mapema imefanikiwa kufanya Mkutano mkuu wa Wanahisa 2024 uliolenga kutazama mikakati ya kuikuza zaidi kampuni hio ili kufikia ufanisi mkubwa zaidi kwenye Soko lake. Kupitia mkutano huo uliofanyika Mlimani City Conference Centre, mengi yameweza kubainishwa na kujadiliwa kwa kina hadi kupekekea maridhiano yalipatikana kwa mapendekezo kutoka kwa Viongozi wa…

Read More

Ahukumiwa kunyongwa kwa mauaji gesti

Arusha. Elia Wekwe ametiwa hatiani na Mahakama na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua Kulwa James katika nyumba ya kulala wageni. Mauaji hayo yalifanyika Desemba 28, 2023 katika eneo la Unyanyembe, wilayani Maswa, Mkoa wa Simiyu. Kwa mujibu wa ushahidi uliowasilishwa mahakamani, Elia aliwasiliana na Kulwa (marehemu) wakakubaliana kwenda kufanya mapenzi na kwamba atampa Sh50,…

Read More

Mdude: Mbowe amuachie Tundu Lissu uenyekiti Chadema

Mbeya. Mwanaharakati na kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali ameeleza siku 15 za mateso akiwa Polisi, huku akimuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuteua Tume ya kijaji ya kuchunguza vitendo vya utekeji na kupata mwarobaini wake. Pia amesema kutokana na demokrasia ya nchi ilivyo kwa sasa anaona mwenye kuwafikisha Chadema katika nchi…

Read More

Maporomoko ya tope yafunika nyumba 13 Muleba

Muleba. Maporomoko ya matope katika Mlima Kabumbilo Kijiji cha Ilemela wilayani Muleba yamefunika nyumba 13 wananchi wakizuiliwa kufika eneo hilo. Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 29, 2024 Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Dk Abel Nyamahanga amesema nyumba 13 zifunikwa na matope yaliyoporomoka kutoka Mlima Kabumbilo Mlima huo upo kwenye vitongoji vya…

Read More

Tiketi ya CAF yampa presha kocha Azam FC

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema matokeo mabaya iliyopata timu hiyo katika mechi za hivi karibuni za Ligi Kuu Bara ni moja ya sababu za kuwarejesha haraka kambini wachezaji ili kujiandaa na mechi tatu za kufungia msimu zitakazoamua hatma yao ya CAF. Azam, iliyong’olewa mapema katika Ligi ya Mabingwa Afrika iliyoshiriki msimu huu…

Read More