Cadena, Simba ni suala la muda tu

KLABU ya Simba iko mbioni kuachana na kocha wa makipa wa timu hiyo, Dani Cadena baada ya mkataba wake kumalizika mwisho wa msimu huu. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti kwamba, Cadena hana mpango wa kuongeza mkataba mwingine licha ya viongozi wa Simba kupambana kumuongezea mwaka mmoja zaidi. “Alisaini mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Majaliwa: Rais Samia ni tiba ya maendeleo

Maswa. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni tiba ya maendeleo, hivyo Watanzania wanapaswa kwenda naye kwa kuwa ataifikisha nchi kule kunakotarajiwa. Majaliwa ambaye pia ni Waziri Mkuu amesema Rais Samia ni kiongozi anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za Watanzania kwa ustadi wa hali ya…

Read More

Shinda Samsung A25 Kupitia Superheli

MERIDIANBET mwezi huu wa 6 inaendelea na kukuletea promosheni kubwa za Kasino ambazo zitakufanya ujizolee zawadi kabambe ikiwemo Samsung A25. Usisubiri kuhadithiwa tazama vigezo na masharti unafike na promosheni hii. Superheli ni mchezo mojawapo wa Kasino ambao unapatikana Meridianbet ambao una mandhari ya helikopta ambao ukiweka dau lako na kucheza mchezo huu unaweza kupata bonasi…

Read More

WAGOMBEA WA UPINZANI HAWANA ILANI WALA MIPANGO MSIPOTEZE MUDA

 CPA MAKALLA: MSIWACHAGUE  Na Mwandishi Wetu. CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewaomba Watanzania kutopoteza muda wao kwa kuwachagua wagombea wa vyama vya upinzani katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani hawana mipango ,malengo na Ilani wanayoweza kuitumia katika kuleta Maendeleo na badala yake wahakikishie wanachagua wagombea wa CCM. Ombi hilo limetolewa leo na Katibu wa Halmashauri…

Read More

Mji mkuu wa Haiti ‘umepooza na kutengwa’ na vurugu za genge, Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

Tangu Januari, Ofisi ya Jumuishi ya UN huko Haiti (Binuh), iliyorekodiwa zaidi ya watu 4,000 waliuawa kwa makusudi – ongezeko la asilimia 24 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mnamo 2024. “Mji mkuu ulikuwa kwa nia na madhumuni yote yaliyopooza na genge na kutengwa Kwa sababu ya kusimamishwa kwa ndege za kimataifa za kibiashara kuingia kwenye…

Read More

SERIKALI KUDHIBITI TAARIFA ZISIZO SAHIHI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU-NAIBU WAZIRI MAHUNDI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Maryprisca Mahundi akizungumza  na waandishi habari mara baada ya kufungua  Mkutano wa Jukwaa la Afrika kuhusu masuala ya Utawala wa  Mtandao ,jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Miundombinu wa Wizara ya Mawasiliano  na Teknolojia ya Habari Mhandisi Leo Magomba akizungumza juu mikakati ya Serikali kuhusiana na utawala…

Read More

Bima ya afya ya umma yaanza Kenya – DW – 01.10.2024

Akizindua rasmi mpango na bima hiyo mpya ya afya katika Kaunti ya Kakamega, Waziri wa Afya wa Kenya, Debra Barasa, aliutetea mfumo huo aliosema azma yake ni “kuwapa huduma za afya Wakenya wote.” Mapema wiki hii, Kamati ya Afya ya Bunge iliupa ridhaa mpango huo mpya baada ya hoja za kamati hiyo kuhusu utendakazi kujibiwa. Soma zaidi: Kenya yarekodi…

Read More