
Cadena, Simba ni suala la muda tu
KLABU ya Simba iko mbioni kuachana na kocha wa makipa wa timu hiyo, Dani Cadena baada ya mkataba wake kumalizika mwisho wa msimu huu. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti kwamba, Cadena hana mpango wa kuongeza mkataba mwingine licha ya viongozi wa Simba kupambana kumuongezea mwaka mmoja zaidi. “Alisaini mkataba wa mwaka mmoja…