JKT wababe, Tausi wanapiga hao

BAADA ya JKT kuifunga Vijana ‘City Bulls’ kwa pointi 70-55, kocha wa timu hiyo, Chris Weba amesema pointi 25-13 walizopata katika robo ya tatu, ndizo zilizowapa ushindi. Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa na mashabiki wengi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam, ulipigwa kwenye Uwanja wa Donbosco Oster bay. Akiuzungumzia mchezo huo, alisema ulikuwa…

Read More

Wazee wa mila wachukua hatua zaidi kuhifadhi mazingira

Dodoma. Serikali imehimizwa kutumia wazee wa mila katika juhudi za kulinda mazingira, kwani bila ushirikiano wao hali inaweza kuwa mbaya zaidi na migogoro kuongezeka. Ushauri huo umetolewa leo Jumatano Julai 23, 2024, na Mzee wa mila (Laigwanani) Lameck Kampu kutoka jamii ya wafugaji Kata ya Patimbo, Wilaya ya Kiteto. Ameeleza kuwa migogoro mingi hutokea kila…

Read More

Takriban watu 15 wakiwemo watoto 7 wafariki na wengine 113 hawajulikani walipo Uganda

Juhudi za uokoaji zinaendelea mashariki mwa Uganda kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyozika nyumba katika zaidi ya vijiji 6 wakati nyumba 45 zimezikwa kabisa. Takriban watu 15 wakiwemo watoto 7 walifariki na wengine 113 hawajulikani walipo. “Serikali sasa inanunua ardhi nyingine lakini unaona nini kimetokea, kwa hiyo, iwe hivyo sijui nitumie neno gani, lakini watu waondolewe…

Read More

WADAU WA MALEZI NA MAKUZI WAKUTANA MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa kushirikiana na Shirika la kuhudumia Watoto ulimwenguni UNICEF imewakutanisha Wadau wa Malezi na Makuzi nchini kwa ajili ya kujadili na kutoa maoni juu ya michoro na makadirio ya gharama za ujenzi wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana. Akifungua kikao kazi hicho kilichofanyika mkoani Morogoro…

Read More

Askofu Bagonza: Demokrasia iwe fursa ya kufufua matumaini ya haki

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amewataka Watanzania kuhakikisha mwaka 2025, wanatumia fursa za kidemokrasia kufufua matumaini ya kujenga nchi ya haki na kutetea wanyonge. Fursa ya kidemokrasia inayozungumziwa na Askofu Bagonza katika mwaka 2025 ni Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, ukihusisha kupatikana…

Read More