Njia mbadala, salama za kujenga mwili

Dar es Salaam. Katika jamii ya sasa, hasa miongoni mwa vijana, kujenga mwili limekuwa jambo linalotiliwa mkazo. Watu wengi wanapenda kuwa na miili yenye misuli imara, kifua kipana, mikono minene, na tumbo lililojaa ‘six pack’. Sura ya nje imekuwa kipimo cha kuvutia, kujiamini na hata mafanikio kijamii. Hata hivyo, katika harakati hizi, baadhi ya vijana…

Read More

Xmas Drop, zawadi kubwa zinazungumziwa!

Xmas Drop inaleta msisimko wa msimu wa sikukuu kwa wachezaji wote wa Meridianbet! Kwa jumla ya zawadi za TZS 16,000,000,000, promosheni hii inalenga kuleta furaha na ushindi wa kipekee. Masanduku ya siri 4,000 yanakusubiri, yakiwa na zawadi za pesa taslimu hadi €500. Shiriki kuanzia Novemba 29 hadi Desemba 29 kwa kuweka dau lolote linalokubalika kwenye…

Read More

Cheche amrithi Kijuso Cosmopolitan | Mwanaspoti

MABINGWA wa zamani wa soka nchini, Cosmopolitan imefikia uamuzi wa kumpa mkataba wa miezi sita aliyekuwa kocha wa Azam FC, Idd Nassor ‘Cheche’, ikiwa ni wiki moja tu tangu wamtimue Mohamed Kijuso kutokana na mwenendo mbaya ambao timu hiyo imekuwa nao msimu huu. Cosmo iliwahi kutwaa ubingwa wa Ligi ya Bara mwaka 1967 na inapambana…

Read More

Sh3.1 trilioni zatumika kuagiza bidhaa za sekta ya madini

Arusha. Kampuni zinazoendesha migodi ya madini hapa nchini zimefanya ununuzi wa zaidi ya Sh3.1 trilioni mwaka uliopita baada ya kuagiza nje ya nchi bidhaa mbalimbali. Kutokana na ununuzi huo, Waziri wa Madini, Antony Mavunde ameagiza Tume ya Madini nchini kumpelekea orodha ya bidhaa zinazoagizwa kutoka nje ya nchi. Mavunde ametoa maagizo hayo leo Jumatano Mei…

Read More

Mbinu za kulinda mtaji wa biashara

Mtaji ni kitu cha thamani sana kwa biashara yoyote. Ni msingi ambao biashara husimama na kukua, hivyo kulindwa kwake ni jambo la lazima. Mtaji unaweza kupatikana kwa njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mkopo. Hata hivyo, mtaji unaweza kupungua au kupoteza. Ikiwa umekopa na mtaji ukapotea, unaweza kupoteza dhamana na imani ya kukopesheka tena, hali…

Read More

Wydad yamganda Lakred, ishu nzima ipo hivi

TIMU ya Wydad Casablanca imeonyesha nia ya kumsajili kipa wa Simba, Ayoub Lakred kwa ajili ya msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti kwamba nyota huyo raia wa Morocco anataka kuondoka msimu ukiisha baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja kumalizika jambo linalowatia wasiwasi mabosi wa Simba wanaomtaka abaki. Lakred aliyejiunga na…

Read More

Ukosefu chombo cha usuluhishi wachochea migogoro kazini

Unguja. Utafiti uliofanywa na Shirika la Kazi Duniani (ILO) umebainisha sekta ya umma hakuna chombo cha majadiliano kitakachosaidia kuleta uhusiano mwema kati ya wafanyakazi na mwajiri serikalini. Hayo yamebainika leo Jumanne, Novemba 5, 2024 wakati wa kuthibitisha ripoti ya uhusiano kazini katika sekta za umma Unguja na kuwashirikisha wadau mbalimbali. Mtaalamu elekezi  aliyehusika katika utafiti huo,…

Read More

Bajana ataja yatakayoibeba JKT Tanzania

KIUNGO wa JKT Tanzania, Sospeter Bajana amesema kikosi hicho kitafanya vyema msimu huu, kwa sababu kuu mbili, falsafa ya Kocha Ahmad Ally na ubora wa mastaa. Bajana ambaye ameitumikia Azam kwa kipindi cha miaka 15, huu unakuwa msimu wake wa kwanza JKT Tanzania, akiwa amesaini mkataba wa miaka miwili. JKT Tanzania iliyoanza vyema Ligi Kuu…

Read More