Sababu upatikanaji wa dola sasa kutosumbua

Dar es Salaam. Hali ya upatikanaji wa dola nchini imeimarika kwa kiasi kikubwa katika wiki chache zilizopita wakati nchi ikiongeza mapato ya fedha za kigeni kutokana na kuongezeka kwa mapato kutoka kwenye utalii, dhahabu na mauzo ya nje. Hali imekuwa nzuri kiasi kwamba Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI), Paul Makanza Β  wakati wa…

Read More

Watatu mbaroni wakidaiwa kumuua dereva bodaboda Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva bodadoda, Meijo Lemokolo (23), mkazi wa Kijiji cha Orbomba, Wilaya ya Longido mkoani Arusha. Watuhumiwa waliokamatwa ni Omary Jumanne (31) ambaye ni mfugaji, Mohamed Ally (25) na Chricensia Haule (25) ambao ni wakulima wakazi wa Kijiji cha Shimbi wilayani…

Read More

MHE. MCHENGERWA NI ‘ASSET’ YA RUFIJI NA TAIFA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt. Festo Dugange amewaambia wananchi wa Jimbo la Rufiji kuwa Mhe. Mohamed Mchengerwa ni β€˜Asset’ ya Jimbo la Rufiji na Tanzania kwa ujumla kutokana na utendaji kazi wake unaogusa kila sekta muhimu kwa watanzania. Mhe. Dugange ameyasema hayo wakati akitoa salaam zake…

Read More

Wizaya ya Maji na DAWASA wakabidhi JKCI hundi ya milioni 20

Β  Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Maji imeikabidhi Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), hundi laΒ  shilingi milioni 20 kwaajili ya matibabu kwa watoto wenye changamoto mbalimbaliΒ  za magonjwa ya moyo. Hundi ya fedha hizo ilikabidhiwa mwishoni mwa wiki na Katibu Mkuu Wizara hiyo,Β  Mhandisi Mwajuma WaziriΒ  kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Dk…

Read More

JENERALI MKUNDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA NAIBU KATIBU MKUU WA UN ANAYESHUGHULIKIA OPERESHENI ZA ULINZI NA AMANI

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda leo amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Operesheni za Ulinzi wa Amani ( UN Under Secretary General for Peace Operations) Bw. Jean Pierre Lacroix ofisini kwa Mkuu wa Majeshi, Upanga, Jijini Dar es salaam. Katika mazungumzo yao, Bw. Jean…

Read More

OCD aliyefariki ajalini alivyoagwa Dar

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chanika jijini Dar es Salaam, SP Awadh Chico umeagwa leo Machi 18, 2025 na askari wenzake pamoja na ndugu jijini Dar es Salaam. Tukio hilo limeongozwa na Naibu Kamishina wa Jeshi la Polisi (DCP), Lucas Mkondya ambaye ametoa salamu za rambirambi kwa familia…

Read More

Liverpool Yathibitisha Ofa ya Mkataba kwa Adrian.

Katika tukio la hivi majuzi, Klabu ya Soka ya Liverpool imethibitisha rasmi kwamba wametoa ofa ya mkataba kwa mlinda mlango wao, Adrian San Miguel del Castillo, anayejulikana kwa jina la Adrian. Klabu hiyo inatafuta kuhifadhi huduma za Adrian na imeanzisha mazungumzo ya kuongeza muda wake wa kukaa Anfield. Adrian alijiunga na Liverpool mnamo Agosti 2019…

Read More