Tuhalalishe utamaduni wa urais CCM kukata mzizi wa fitina

Ni kweli uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan na Dk Hussein Mwinyi kupeperusha bendera ya CCM uchaguzi mkuu 2025 umeleta maneno ya chini kwa chini, lakini nadhani njia pekee ni kuhalalisha hicho kinachoitwa utamaduni. Ikiwa mwanachama hajaisoma vyema Katiba ya CCM na kuielewa na akauishi utamaduni wa CCM, kichwa kinaweza kumuuma na akadhani  wenye chao…

Read More

JESHI LA ZIMAMOTO TANGA WAJA NA PROGRAMU ZA KUELIMISHA UMMA NAMNA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO

  Na Oscar Assenga,TANGA JESHI la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Tanga wameanzisha program mbalimbali za kuielimisha Umma kuweza kuwa na utambuzi ili majanga ya moto yanapotokea waweze kukabiliana nayo. Hayo yalibainishwa leo na Afisa Operesheni wa Jeshi hilo mkoani Tanga Mrakibu Msaidizi wa Jeshi hilo Yusuf Msuya wakati akizungumza na kuhusu namna walivyojipanga kukabiliana…

Read More

Dakika 47 za Mdee akikomalia bajeti Wizara ya Ujenzi

Dodoma. Dakika 47 zimekuwa moto bungeni baada ya hoja ya kutaka ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa miradi kwa mfumo wa EPC +F iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee kusababisha vuta- nikuvute ya wabunge. Mfumo wa EPC +F ni utaratibu wa utekelezaji wa miradi unaoruhusu kampuni au mkandarasi kuwa jukumu la kusimamia hatua zote kuu…

Read More

TASHICO YAFAFANUA MELI MV SERENGETI KUZAMA ZIWA VICTORIA

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA KAMPUNI ya Meli Tanzania (TASHICO) imefafanua tukio la kuzama kwa meli ya MV Serengeti katika Bandari ya Mwanza Kusini,Ziwa Victoria, baadaa ya kukumbwa na tatizo la kuegemea upande wa nyuma na kutitia chini ndani ya maji. Akizungumza na waandishi wa Habari, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TASHICO, Wakili Alphonce Paul Sebukoto, ameeleza…

Read More

Waziri Ulega amuagiza Msonde kuweka taa za barabarani Dakawa

Morogoro. Waziri wa Ujenzi, Abdalah Ulega, amemuagiza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dk Charles Msonde, kuhakikisha eneo la Dakawa, lililopo wilayani Mvomero, linawekwa taa za barabarani na kujengwa maeneo ya maegesho ya magari ili kuwezesha wananchi kufanya shughuli zao wakati wote. Ulega ametoa agizo hilo leo Jumatatu, Januari 13, 2025 wakati wa ziara…

Read More

Meya Zanzibar awauma sikio madiwani

Unguja. Meya wa Jiji la Zanzibar, Kamal Abdulsatar Haji, amesema mafanikio ya Baraza la Jiji yanategemea zaidi ushirikiano na heshima katika kutekeleza majukumu yake. Amesema bila ya ushirikiano kati ya baraza, kamati na watendaji wake hakutakuwa na utoaji huduma nzuri kwa wananchi. Kamal ametoa kauli hiyo leo Jumanne Desemba 23, 2025 wakati akifungua mafunzo ya madiwani…

Read More

WAZIRI SANGU: MFUMO e-UTATUZI MAFANIKIO MAKUBWA CMA

Na: Ofisi ya Waziri Mkuu – KAM WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, ameipongeza Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) kwa mafanikio makubwa katika utatuzi wa migogoro ya kikazi, baada ya kusuluhisha migogoro 4,339 hadi kufikia Septemba 2025. Waziri Sangu ametoa pongezi hizo Desemba 13, 2025,…

Read More