CHADEMA: Maandamano yako palepale – Mwanahalisi Online

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, kimesisitiza kuwa hakijafuta maandamano yake iliyoyaitisha 23 Septemba, kupinga kushamiri kwa vitendo vya utekaji, utesaji na mauaji nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu,Dar es Salaam … (endelea). “Maandamano yetu yako palepale. Hatujayafuta na hatutayafuta,” ameeleza Tundu Lissu, makamu mwenyekiti wa chama hicho na kuongeza, “tutaweza kuyafuta, ikiwa tu, matakwa yetu yametimizwa.”…

Read More

Ukamataji unavyozua hofu ya utekaji

Dar es Salaam. Ukiukaji wa utaratibu wa ukamataji unaofanywa na vyombo vya dola, umezua hofu miongoni mwa wananchi, ambao wanauhusisha na matukio ya utekaji. Katika siku za hivi karibuni kumeibuka matukio ya watu kukamatwa yakihusishwa na utekaji, huku mengine yakihusisha watendaji wa vyombo hivyo. Tukio la hivi karibuni ni la dereva ambaye kwa sasa anashikiliwa…

Read More

Kumekuchaa! Kisa Dabi viongozi Yanga waitwa TPLB

WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa juu wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB). Taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inaeleza TPLB imewaita viongozi hao mezani, kuzungumza nao kwani Yanga ndiyo timu mwenyeji wa mchezo huo. Kwenye kikao hicho,…

Read More

Manula apewa ‘Thank You’ | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kipa namba moja wa Simba, Ashi Manula ametemwa kwenye kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao wa 2024/25 baada ya timu hiyo kutambulisha makipa wanne huku jina lake likiondolewa. Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally ndiye alikuwa anataja majina ya mastaa wa kikosi hicho msimu ujao katika tamasha la Simba Day linalofanyika Uwanja wa…

Read More

Tshabalala: Tumepambana  tatizo refa | Mwanaspoti

NAHODHA wa timu ya Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, amesema licha ya juhudi kubwa walizoweka uwanjani kuhakikisha wanatwaa Kombe la Shirikisho Afrika, ndoto hiyo ilizimwa na maamuzi tata ya refa Dahane Beida kutoka Mauritania. Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mechi ya pili ya fainali dhidi ya RS Berkane, Tshabalala alisema wachezaji wa Simba walipambana kwa…

Read More

Hii hapa mikakati ya mwenyekiti mpya wa Tamwa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), Dk Kaanaeli Kaale ameahidi kuwa katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu miongoni mwa mambo yatakayopewa kipaumbele   jitihada za kuwainua wanawake kiuchumi. Amesema kazi kubwa imeendelea kufanyika katika ukombozi wa wanawake na kuwafanya wawe na sauti, lakini hiyo haitakuwa na maana kama wataendelea…

Read More

“Itachukua miaka kusaidia watu kukabiliana na matokeo yasiyoonekana ya vita" – Masuala ya Ulimwenguni

“Ninatiwa moyo kila wakati na nguvu na ujasiri wa watu wa Ukrain. Nikiwa nimesafiri hadi Kharkiv, Kherson, Mykolaiv, Sumy, Zaporizhzhia, na hivi majuzi zaidi hadi Kramatorsk na Lyman, nimejionea jinsi usumbufu wa huduma muhimu kama vile umeme, maji na joto unavyoathiri watu. Nimezungumza na watu ambao wapendwa wao waliuawa na ambao nyumba zao ziliharibiwa wakati…

Read More