Hersi: Umri ulisababisha nisiaminike Yanga

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said, amesema wakati anaanza kuiongoza klabu hiyo, wengi hawakumuamini kutokana na umri wake mdogo. Hersi amesema wakati anaanza kuongoza Yanga watu wengi walipata mashaka kutokana na kwamba alikuwa ndiye kiongozi pekee mwenye umri mdogo huku mwenyewe akikubali wasiwasi wao. “Niliwaelewa wale ambao walikuwa na wasiwasi na umri wangu, nilikuwa kiongozi…

Read More

Othman aahidi elimu itakayojenga ushindani Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema mfumo wa elimu utakaoundwa na serikali ya chama hicho utawezesha wanafunzi wa Zanzibar kushindana na si kuwa wasindikizaji. Amesema ACT-Wazalendo ikishika madaraka katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 imedhamiria kuhakikisha Zanzibar inakuwa Taifa lililoelimika ili kuendana na hali ya…

Read More

Waandishi waeleza mikakati ya kutumia mafunzo ya UTPC

Iringa. Waandishi wa habari kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wameeleza dhamira yao ya kutumia mafunzo waliyopata kupitia Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), kwa kushirikiana na International Media Support (IMS), kuboresha ubora wa kazi zao kwa kuandika habari zenye tija zinazogusa maisha ya wananchi na kuchochea maendeleo ya Taifa. Waandishi…

Read More

Mgogoro wa haki za binadamu za Mexico-maswala ya ulimwengu

Mikopo: Raquel Cunha/Reuters kupitia picha za Gallo Maoni na ines m pousadela (Montevideo, Uruguay) Jumatatu, Aprili 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari MONTEVIDEO, Uruguay, Aprili 28 (IPS) – Walipata viatu, mamia yao, wakatawanyika kwenye sakafu ya uchafu ya kambi ya kuangamiza katika Jimbo la Jalisco. Viatu hivi vilivyoachwa, ambavyo vilikuwa vya mtoto wa mtu,…

Read More

Jangwani hapatoshi, Mbosso aipiga Aviola 

Ni shamrashamra, burudani na furaha ya aina yake katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, ambapo mashabiki kwa maelfu wamefurika kusherehekea kilele cha paredi la mataji matano, ikiwa ni hitimisho la msimu wa mafanikio kwa timu yao. Paredi hiyo ilianza mchana leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam,…

Read More

Dk Mwigulu afichua sababu za kukwama kwa miradi mingine nchini

Mwanza. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema vipaumbele vya dharura na madhara ya mvua za El-nino ambazo ziliathiri bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024 ni miongoni mwa mambo yaliyosababisha kuchelewa kwa miradi ya maji inayotekelezwa wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Mambo hayo siyo tu yameathiri utekelezaji wa miradi ya maji Misungwi, bali athari zake pia…

Read More