Mbunge ataka sheria kulazimisha watoto kutunza wazazi

Dodoma. Mbunge wa Kinondoni (CCM), Tarimba Abbas amesema Serikali haioni haja ya kuweka sharti la kisheria la watoto wakubwa kuwatunza wazazi wao wasiojiweza. Hii ni mara ya pili hoja hiyo kuibuka bungeni , kwani katika Bunge la 12, hoja kama hiyo iliibuliwa na aliyekuwa Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ambaye alitaka itungwe sheria…

Read More

Hivi ndivyo unavyoweza kununua mke, mume sokoni China

Inaweza kuwashtua wengi, lakini nchini China yapo masoko ya ndoa halisi ambako wazazi na wakati mwingine watu binafsi hukusanyika kutafuta waume au wake kwa watoto wao. Katika miji mikubwa kama Shanghai, Beijing na Guangzhou, masoko hayo hufanyika kwenye bustani za umma, hususan mwishoni mwa wiki. Wasichana wakisoma matangazo ya uchumba yaliyobandikwa kwenye kamba…

Read More

FYATU MFYATUZI: Afariki kuliko kufa kila kitu, mafyatu huishi ‘kiafariki’!

Kuna bara linaitwa Afariki aka Fyatuland. Ajabu, imejiliwa utajiri na umaskini wa kutengenezwa kadhalika! Sizungushi. Nafyatua mshononi tena bila huruma. Nataka tufikiri pamoja juu ya maajabu haya tena bila aibu wala woga. Munene anasafiri kwa mindinga mia tena mtaani. Mafyatu awazugao ni waajiri wake wanafyatuana kwenye ngwarangwara na misongamano! Ajabu, pamoja na dhuluma hii, kunakuwa…

Read More

Dunia inavyorejea kwenye utawala wa mtu mmoja

Kwa muda mrefu, dunia imekuwa ikiyumba kati ya nguvu za watawala binafsi wenye nguvu za kijeshi, kiuchumi na kisiasa, na juhudi za kujenga mifumo ya sheria za kimataifa inayolenga kutoa mwelekeo wa pamoja wa dunia. Kabla ya karne ya 20, nguvu za kijeshi, kiuchumi au ushawishi wa kisiasa ziliwezesha mataifa au watu wachache wenye nguvu…

Read More

Mbunge wa Momba Aishinikiza Serikali Kupunguza Gharama za Intaneti – Video

Mbunge wa Momba (CCM), Condester Sichalwe kwa mara nyingine ameibua suala la gharama kubwa za mabando na intaneti, zinazosababisha ugumu kwa wafanyabiashara wa kidigitali na kuiomba serikali kuangalia namna ya kupunguza gharama hizo. Condester ameelekeza swali lake kwa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambapo naibu waziri wa wizara hiyo, Switbert Mkama amejibu swali…

Read More