Aliyekataa penalti ya Yanga vs Azam, Singida BS vs Simba wafungiwa

WAAMUZI Hussein Katanga kutoka Tabora na Ally Mnyupe wa Morogoro, wamekumbana na adhabu za kufungiwa kutokana na makosa yaliyotokea kwenye michezo waliyochezesha. Waamuzi hao wawili wamefungiwa kwa mizunguko mitatu kufuatia Kamati ya Usimamizi wa Ligi kuwakuta na hatia kutokana na kushindwa kufanya uamuzi sahihi kwenye matukio mawili tofauti yanahohusisha penalti, yaliyotokea kwenye michezo miwili tofauti….

Read More

Wadau waona fursa mpya utekelezaji mapendekezo ya tume ya kodi

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi kuwasilisha mapendekezo 284 mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan, wadau wamesema kuwa, ikiwa kilichosemwa kitatekelezwa kikamilifu, mageuzi makubwa yatashuhudiwa. Miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa ni mabadiliko katika sekta ya kodi, ikiwamo kubadili jina la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

Read More

MAADHIMISHO YA WIKI YA HAKI ZA MLAJI YAENDELEA KITAIFA

 Mkaguzi wa Bidhaa bandia kutoka FCC Bi.Diana Augustine akitoa elimu kuhusiana madhara ya bidhaa bandia katika shule ya Msingi Bunge ikiwa ni sehemu ya kuelekea Maadhimisho ya Wiki ya Siku ya Haki za Mlaji Duniani. …. TUME ya Ushindani (FCC) leo Machi 19,2026 imetoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunge kuhusu masuala ya kumlinda…

Read More

Simba yabanwa Kirumba, Azam Lake Tanganyika

WAKATI jana mashabiki wa Simba wakifurahia sare ya mchezo wa TRA United dhidi ya Yanga, leo Alhamisi ikawa zamu ya wenzao kushangilia baada ya wekundu hao kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Pamba Jiji kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Simba ilitumia dakika tatu pekee kufurahia bao lake lililofungwa dakika ya 33 na Anicent…

Read More

Askofu mpya Jimbo Katoliki Bariadi asimikwa, viongozi wa dini waonya

Simiyu. Viongozi wa dini wameonywa kutojikita katika kutafuta utukufu wa wanadamu bali kumtukuza Mungu, wakihimizwa kusimama katika ukweli wa Injili bila kuficha maovu. Aidha, wamekumbushwa kuwa kupindisha mafundisho kwa lengo la kuwafurahisha watu kunaweza kulidhoofisha Kanisa. Wito huo umetolewa leo Alhamisi Machi 19, 2026, mkoani Simiyu katika Misa Takatifu ya kumsimika Askofu wa kwanza wa…

Read More

Kipigo chamzindua Nsajigwa Prisons | Mwanaspoti

KIPIGO cha mabao 2-1 ilichokipata Tanzania Prisons dhidi ya Singida Black Stars juzi kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, kimemwibua kocha wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, baada ya kukiri umakini ndiyo sababu ya kukosa ushindi. Mechi hiyo iliyopigwa Kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini, Dodoma, Prisons ilitangulia kupata bao la penalti dakika ya tatu, kupitia…

Read More

Sababu radi kupiga Dar, jinsi ya kujikinga

Dar es Salaam. Katika kipindi hiki cha mvua, ili kujikinga na radi unapaswa kuepuka kukaa chini ya miti. Epuka kukaa katika eneo la wazi kama ufukweni au uwanjani, kwa sababu radi ikipiga huwa inatafuta kitu kirefu; kwa hiyo kama uko uwanjani wewe ndiyo unakuwa mlengwa. Vilevile, kama upo ndani ya nyumba jiepushe kukaa karibu na…

Read More

Maxime: Mbeya City ni suala la muda tu

KOCHA wa Mbeya City, Mecky Maxime amewapa nguvu mashabiki wa timu hiyo huku akiwaambia kwamba bado anaamini kikosi hicho kitarudi kwenye ubora wake licha ya kupoteza mechi iliyopita. Mbeya City ilikutana na Singida Black Stars na kupoteza mechi hiyo kwa kipigo kikali cha mabao 1-4, ikiwa ni mwenyeji na kuchezwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa ulioko…

Read More