Kilimanjaro Marathon yaongeza muda wa kuchukua nambari za ushiriki
WAANDAJI wa Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2025 wametangaza kuongeza muda wa washiriki kuchukua nambari zao za ushiriki pamoja na T-shirts za ushiriki, zoezi linalotarajiwa kuanza katika kipindi cha wiki mbili zijazo Jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo linatarajiwa kuanza rasmi baada ya kufungwa kwa zoezi la kujiandilisha ili kushiriki mbio…