Kilichowang’oa vigogo wa taasisi Wizara ya Habari

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa wenyeviti na watendaji wakuu wa taasisi tatu zilizo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, inadaiwa huenda wameponzwa na salamu za shukurani zilizotolewa. Julai 21, 2024 Rais Samia Suluhu Hassan alipotengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa wizara hiyo,…

Read More

Israel-Lebanon Sitisho la Mapigano Halina uhakika Huku Kukiwa na Ukiukaji Unaorudiwa – Masuala ya Ulimwenguni

Watoto wawili wa Lebanon wanaoishi katika shule iliyogeuzwa makazi huko Beirut kufuatia kuongezeka kwa uhasama nchini Lebanon. Credit: UNICEF/Fouad Choufany na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumatano, Desemba 04, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Des 04 (IPS) – Tarehe 27 Novemba, Israel, Lebanon, na mataifa mengi ya upatanishi yalikubaliana juu ya makubaliano ya…

Read More

Kocha African Sports ala kiapo

LICHA ya African Sports ‘Wanakimanumanu’ kuandamwa na ukata, kocha wa timu hiyo, Kessy Abdallah amesema siyo sababu ya yeye kushindwa kukibakisha kikosi hicho katika Ligi ya Championship msimu ujao, huku akiomba wadau kuwasapoti zaidi. Akizungumza na Mwanaspoti, Kessy alisema kwa wiki kadhaa sasa wamekuwa wakipitia hali hiyo ingawa jambo wanaloshukuru ni kwenda kwa wakati katika…

Read More

$ 53.2 bilioni zinazohitajika kwa uokoaji wa Palestina, UN inalaani uvamizi wa shule za UNRWA, mvutano wa Lebanon-Israel unaendelea-Maswala ya Ulimwenguni

“Wapalestina watahitaji hatua za pamoja kushughulikia changamoto kubwa za kupona na ujenzi ulio mbele. Mchakato endelevu wa kupona lazima urejeshe tumaini, hadhi, na maisha kwa watu milioni mbili huko Gaza, “alisema Muhannad Hadi, Mratibu wa UN na Mratibu wa Kibinadamu katika eneo lililochukuliwa la Palestina. Tathmini inakadiria kuwa $ 29.9 bilioni inahitajika kukarabati miundombinu ya…

Read More

BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA TANZANIA MRADI WA SGR

  Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Benki ya Dunia imeshangazwa na hatua kubwa iliyofikiwa na Serikali katika kutekeleza Mradi wa Kimkakati wa Reli ya Kisasa wa SGR, na kuahidi kuwa itaweka mkono wake kusaidia ujenzi wa Reli hiyo muhimu kwa kukuza biashara na ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es…

Read More

Wazanzibar watarajia makubwa kutoka NMB Pesa Akaunti

Wateja wapya wa Benki ya NMB wa Zanzibar wanatarajia neema kubwa kimaisha baada ya kujumuishwa katika mfumo rasmi wa fedha na taasisi hiyo kupitia kampeni yake ya “NMB Pesa Haachwi Mtu”. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Matumaini hayo kwanza yanatokana na kuweza kufungua akaunti ya NMB Pesa kidijitali kigezo kikubwa kikiwa ni ada ya Sh1000 tu na…

Read More

Mohamed Saleh mwenyekiti mpya TEFA

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa Wilaya ya Temeke, Hashim Mziray amemtangaza Mohamed Saleh Mohamed kuwa ndiye Mwenyekiti wa chama cha soka wilayani humo (TEFA) baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika hii leo jijini Dar es Salaam. Mohamed amepata kura 28 akiwapiku Alexander Luambano aliyepata kura 16 wakati Moalim Milonhea akipata kura 2 katika uchaguzi huo….

Read More

Benki ya Access yakidhi vigezo ununuzi wa BancABC Tanzania

Dar es Salaam. Iliyokuwa Access Bank PLC imekamilisha mchakato na kukidhi vigezo vya kisheria na kikanuni vya ununuzi wa African Banking Corporation Tanzania Limited (BancABC Tanzania) huku ikiahidi hatua hiyo itaongeza ufanisi zaidi. Ununuzi wa benki hiyo unaifanya sasa taasisi hiyo kuitwa Access Bank Tanzania Limited. Mkurugenzi Mtendaji wa matawi ya Access Bank barani Africa,…

Read More