
Kilichowang’oa vigogo wa taasisi Wizara ya Habari
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa wenyeviti na watendaji wakuu wa taasisi tatu zilizo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, inadaiwa huenda wameponzwa na salamu za shukurani zilizotolewa. Julai 21, 2024 Rais Samia Suluhu Hassan alipotengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa wizara hiyo,…