Umuhimu wa kuachanisha uzao mmoja na mwingine

Zimebaki  siku chache ili kuadhimisha siku ya Afya Duniani ambayo inaadhimishwa kila mwaka tarehe 7 Aprili chini ya mwamvuli wa Shirika la Afya Duniani (WHO).  Kampeni ya siku hii kwa mwaka huu inaangazia afya ya uzazi na watoto, na kuzitaka serikali na jumuiya ya afya duniani kuimarisha juhudi za kukomesha vifo vinavyoweza kuzuilika vya uzazi…

Read More

Pamba Jiji yarudi Ligi Kuu na gundu

PAMBA Jiji juzi Ijumaa ilicheza kwa mara ya kwanza mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita miaka 23 tangu iliposhuka daraja mwaka 2001 na kuishia kutoka suluhu na Tanzania Prisons, lakini sare hiyo huenda ikaigharimu timu hiyo kwa kupigwa faini au  kunyang’anywa pointi kwa tuhuma za kudaiwa kuchezesha wachezaji wasiokuwa na leseni za uchezaji…

Read More

Suluhu yaziachia maswali Ihefu, JKT Tanzania

MSIMU huu wa 2023/24, hakuna mbabe kati ya Ihefu SC na JKT Tanzania baada ya timu hizo kushindwa kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida huku suluhu hiyo ikiziachia maswali ya kwamba itakuwaje mechi nne zilizosalia? Leo timu hizo zilikutana kwa mara ya pili msimu huu…

Read More

Mnigeria atua Fountain Gate | Mwanaspoti

Fountain Gate imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa kipa wa Tabora United raia wa Nigeria, John Noble kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kipa huyo aliyejiunga na kikosi hicho Julai 31, mwaka jana akitokea Klabu ya Enyimba ya kwao Nigeria, amemaliza mkataba wake na Tabora United huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya na kuifanya Fountain Gate kutumia fursa ya…

Read More