Hongera Simba Queens kwa kujivua gamba usajili

KATIKA dirisha linaloendelea la usajili, Simba Queens imejilipua hasa kwa kuacha majina mengi makubwa ambayo mengine hayakutegemewa kama yangeweza kupigwa chini. Mfungaji Bora wa kikosi hicho kwa msimu uliopita, Jentrix Shikangwa ni miongoni mwa mastaa ambao wamepewa mkono wa kwaheri na Simba Queens ambayo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu ya…

Read More

Prisons Queens waisikilizia TFF | Mwanaspoti

BAADA ya kukabidhiwa majukumu kuiongoza Prisons Queens, Kocha Mkuu Shaban Mtupa amesema anahitaji kuweka historia kwa timu hiyo kucheza Ligi Kuu misimu miwili ijayo, huku akilisikilizia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Prisons Queens ambayo ilianzishwa mapema mwaka huu ndio bingwa wa Ligi ya Wanawake Mkoa wa Mbeya, ambapo ilishiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa kwa…

Read More

Kibonde: Kila Mtanzania atapanda ndege

Dar es Salaam. Kupanda ndege imekuwa ni ndoto ya kila mtoto. Hata hivyo, baadhi yao wanakuwa watu wazima bila kupanda usafiri huo kutokana na changamoto za kipato kitakachowawezesha kusafiri kutoka eneo moja kwenda jingine kwa haraka. Mgombea urais wa Demokrasia Makini (Makini), Coaster Kibonde ameahidi kutimiza ndoto ya Watanzania wengi kwa kufanya usafiri wa ndege…

Read More

Viongozi wa dini wasisitiza nguvu mpya 2025

Dar/mikoani. Tunasonga mbele, ndiyo ujumbe unaobeba nasaha za jumla za viongozi wa kiroho katika ibada za mkesha wa mwaka mpya 2025 na kusahau mabaya yaliyopita. Kwa mujibu wa viongozi hao wa dini, wananchi hawapaswi kuuanza mwaka 2025 kwa kukumbuka changamoto, mabaya na madhila yaliyowatokea mwaka jana, wanapaswa kuganga yajayo kwa kuruhusu faraja ya mwaka mpya….

Read More

NHIF YATUMIA MAONYESHO YA 11 YA BIASHARA NA UTALII KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU VIFURUSHI VYAO

Na Oscar Assenga, TANGA MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania (NHIF) Mkoani umeshirikia maonyesho ya 11 ya Biashara na Utalii yanayoendelea kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara ili kutoa elimu kuhusu huduma wanazotoa ikiwemo vifurushi wanavyovitoa. Banda la Mfuko huo limekuwa lililopo kwenye maonyesho hayo limekuwa ni kivutio kwa wananchi ambao wamefika…

Read More

Kutoka mipango, mauaji hadi askari kunyongwa-1

Dar es Salaam. “Kesi hii inaonesha hali ya kusikitisha na ya kushangaza, askari polisi ambao waliapa kulinda sheria na usalama wa maisha na mali za raia, sasa wameshtakiwa kwa kosa kubwa la kutisha la mauaji linaloweza kuharibu kabisa uaminifu wa kipekee uliowekwa kwao, badala ya kuwa kimbilio kwa watu wenye hofu, uwepo wao sasa unasababisha…

Read More

TANZANIA KUSHUHUDIA KUPATWA KWA MWEZI KIKAMILIFU LEO

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza kuwa, Septemba 7,2025 kunatarajiwa kuwepo kwa tukio la kupatwa kwa Mwezi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Septemba 6,2025 na TMA imefafanua kuwa,hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa Mwezi….

Read More