Madakari bingwa 49 watua Mbeya

Mbeya. Serikali mkoani Mbeya imepokea kambi ya madaktari bingwa bobezi 49 kwa ajili ya   kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa kwa wananchi katika halmashauri saba. Ujio wa madaktari hao umetajwa kuleta suluhisho kwa wananchi wenye changamoto za magonjwa ukiwepo mfumo wa njia ya mkojo. Kambi hiyo imepokewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma…

Read More

RC Kunenge aipongeza JKT Ruvu kwa juhudi za kiuchumi**

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi Cha Ruvu kwa juhudi za kuchangia maendeleo ya sekta ya uchumi. Kunenge ametoa pongezi hizo Sept.04 aliposhiriki sherehe za kuhitimu mafunzo ya vijana Oparesheni miaka 60 ya Muungano kikosi Cha Ruvu , ambazo zilifanyika katika viwanja vya kambi hiyo wilayani Kibaha,…

Read More

UJENZI BARABARA YA AMANIMAKOLO-RUANDA KWA KIWANGO CHA LAMI WAENDELEA,TANROADS YAWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU UBORA WA BARABARA

Na Mwandishi Maalum,Mbinga WAKALA wa Barabara Tanzania(TANROADS)Mkoa wa Ruvuma,umeanza ujenzi wa awamu ya pili ya sehemu ya barabara ya Amanimakolo-Ruanda hadi Bandari ya Ndumbi yenye urefu wa kilometa 95 kwa kiwango cha lami. Meneja wa TANROADS Mkaoni Ruvuma Saleh Juma amesema,ujenzi wa barabara hiyo unafanyika kwa awamu tatu,awamu ya kwanza imehusisha kipande cha barabara kutoka…

Read More

Vodacom M-Pesa Yazindua Huduma ya Malipo ya Kimataifa – Global Publishers

Itabadilisha mwelekeo wa biashara na urahisi wa huduma za fedha kwa wafanyabiashara na wateja nchini.27 Novemba 2025 – Dar es Salaam, Tanzania: Vodacom Tanzania, kampuni inayoongoza katika huduma za mawasiliano nchini, imezindua rasmi huduma ya malipo ya kimataifa (M-Pesa Global Payments), hatua itakayoleta mageuzi ya kibiashara nje ya mipaka ya Tanzania na kuongeza ujumuiswaji wa…

Read More

Nani Bingwa wa LALIGA 2025/26? – Global Publishers

Last updated Aug 11, 2025 Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa leo hii unaweza ukabashiri nani anaweza kuwa bingwa wa Laliga. Kila timu imepewa ODDS nzuri inayoweza kukupatia pesa za maana. Jiunge sasa na Meridianbet uanze safari yako ya ushindi hapa. Manuel Pellegrin Real Betis Seville na vijana wake wamewekwa nafasi ya 6 kuwania…

Read More

Wanawake waoneshwa njia kushika nyadhifa za juu viwandani

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, kujiamini, kujitambua na ushirikiano kwa wanawake ni mongoni mwa mambo yatakayochochea kundi hilo kufikia maendeleo mbalimbali ikiwamo ya uongozi mahiri sehemu za kazi hasa katika sekta ya uzalishaji viwandani. Kuhamasisha wanawake kiuongozi, pia ni sehemu ya juhudi za kimataifa  kama vile Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs),…

Read More

Biteko: Tudumishe Muungano | Mwananchi

Arumeru. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka wananchi kuendelea kudumisha na kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha mshikamano na amani kwa maslahi mapana ya Taifa ili kuendelea kutekeleza malengo ya waasisi wa Muungano. Dk Biteko ameyasema hayo leo ikiwa ni siku ya tatu ya ziara yake mkoani Arusha,…

Read More