Sura mbili ndoa za wenza kuishi mbalimbali

Mwanza. Katika zama hizi za kasi ya maendeleo ya teknolojia na uchumi, wanandoa kuishi miji tofauti kwa muda mrefu si jambo la kushangaza. Ni kawaida kwa mfano,  kusikia mume ameajiriwa katika kampuni jijini Mwanza, huku mke akibaki Dar es Salaam kwa sababu za kazi, biashara au malezi ya watoto. Wengine wanaishi mbali kwa sababu ya…

Read More

ASKARI WANAWAKE CHALINZE WAZURU GEREZA LA KIGONGONI

  Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze 5, Disemba,2024 Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chalinze, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Sophia Lydenge, ameongoza askari wa kike wa wilaya hiyo kutoa msaada kwa wafungwa wanawake wanaotumikia adhabu ya kifungo kwa makosa mbalimbali katika Gereza la Kilimo Kigongoni, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Akizungumza wakati wa tukio…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More

TRA YAVUNJA REKODI YA MAKUSANYO KWA MIEZI 9 MFULULIZO

 ******* * YAKUSANYA TRILIONI 24.05 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imefanikiwa kukusanya Sh. Trilioni 7.53 katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2024/25, sawa na ufanisi wa asilimia 101.32 ya lengo la kukusanya Shilingi Trilioni 7.43. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda imeeleza kuwa…

Read More

Mwakinyo mambo magumu, msimamizi WBO atoa masharti haya

Hali bado si shwari kwa bondia Hassan Mwakinyo, kutokana na tukio la kushindwa kupanda ulingoni jana usiku kuzipiga na  Mghana, Patrick Allotey kutetea ubingwa wa WBO Afrika. Mwanaspoti linalofuatilia kikao cha kujadili mipangto ya pambano hilo kurudiwa baada ya kukwama jana jiji Dar es Salaam kilikuwa hakijatoa muafaka hadi muda huu, kwani bado kuna mvutano…

Read More

TANZANIA NA INDIA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUENDELEZA TIBA ASILI, WHO YAPONGEZA

Na John Mapepele – New Delhi Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kuhusu ushirikiano kwenye Sekta ya Afya katika kuendeleza tiba asilia (Ayurveda), huku Tanzania ikiwakaribisha wawekezaji kutoka sehemu duniani kuja kuwekeza na kuwahakikishia kuwapatia mazingira mazuri ya uwekezaji. Utiwaji saini huo kwa upande wa Serikali ya Tanzania umefanywa na Waziri…

Read More

Waziri Bashungwa ataka Wahandisi kulinda thamani yao

  Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Waziri wa Ujenzi,Innocent Bashungwa amewataka Wahandisi kuwajibika katika majukumu pale wanapopatiwa mradi ili kulinda thamani yao.  Akizungumza katika Jukwaa la Wahandisi katika ukumbi wa Mlimani City Waziri Bashungwa  amesema Wahandisi ni muhimu katika maendeleo kushindwa kuwajibika  katika majukumu yao wanarudisha jitihada zinazofanywa na serikali. Amesema kuwa Serikali ya awamu ya…

Read More