Kuporomoka kwa jengo Kariakoo, fundi atoboa siri

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikieleza kuwa inaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha kuporomoka kwa jengo la Kariakoo, fundi aliyekuwa akifanya ubomoaji ameeleza sababu na hali ilivyokuwa. Jengo hilo liliporomoka mapema leo Jumamosi Novemba 16, 2024. Taarifa za awali kutoka kwa mashuhuda, zinaeleza ndani ya jengo hilo la kibiashara, kulikuwa na watu kadhaa waliokuwa wakifanya…

Read More

Wawili kizimbani wakidaiwa kukwepa kodi ya TRA

Dar es Salaam. Wakazi wawili jijini hapa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakishtakiwa kwa makosa tisa yakiwamo ya kughushi nyaraka za kiwanja, kukwepa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kutakatisha Sh54 milioni. Washtakiwa hao ni Mohamed Awadhi (49) na Kassim Simba (56) wanaodaiwa kukwepa kodi ya TRA kwa kulipa Sh54 milioni…

Read More

Wasanii wa vichekesho watawala Kwa Mkapa

IKIWA imesalia saa Moja kabla ya kuanza kwa mchezo wa Kombe la shirikisho kati ya Simba dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola, wasanii mbalimbali wa vichekesho tayari wameshawasili uwanjani hapa. Wasanii hao ambao baadhi wamevalia jezi za Simba ni pamoja na Asma Majeed, Mwaisa, Oka Martin na Carpoza. Mbali ya hao pia yupo muigizaji…

Read More

TASAC yafanya ukaguzi Meli ya Azam.

  Na Chalila Kibuda ,Michuzi Tv Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limesema kuwa linaendelea na ukaguzi vyombo vya usafirishaji  majini kutokana na baadhi vyombo hivyo kuzidisha abiria au mizigo katika Siku kuu za mwisho wa mwaka. Akizungumza katika ukaguzi wa Meli ya Azam Afisa Mkaguzi Mkuu wa Shirika hilo Rashid Katonga uliofanyika Bandarini…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Twalib Kadege Spidi Mperampera hadi Ikulu

Miaka 10 iliyopita, Taifa lilipokuwa linauelekea  uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliibuka na kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” iliyobeba tafsiri ya maono yake ya kuwafanya Watanzania wafanye kazi bila lelemama. Mwaka 2020, mgombea urais wa Chama cha The United People’s Democratic Party(UPDP), Twalib Ibrahim…

Read More

Watanzania kushirikishwa mageuzi ya teknolojia

Dar es Salaam. Ili kuendana na mageuzi ya teknolojia hasa ya vifaa vya kisasa vya kielektroniki wadau sekta hiyo wamewahakikishia Watanzania kwa kutoa bidhaa salama, zenye ubora wa hali ya juu na ubunifu wa kisasa. Katika kuhakikisha hilo kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme wa majumbani ya Hisense imezindua rasmi luninga ya kisasa yenye…

Read More

Jaji Mkuu awaondolea mapumziko majaji, mahakimu Zanzibar

Unguja. Kutokana na mchakato wa wagombea urais na uwakilishi kutakiwa kula viapo mahakamani, Jaji Mkuu wa Zanzibar, Khamis Ramadhan Abdalla ameagiza watendaji wote wa mahakama kuwa kazini hata siku za sikukuu na mapumziko ya mwishoni mwa juma. Hatua hiyo inalenga kuwapatia fursa wagombea wanaosaka nafasi hizo kufika mahakamani kula viapo mbele ya majaji na mahakimu….

Read More