Kumrithi Kinana CCM, wanne watajwa

Dar es Salaam. Nani mrithi wa nafasi ya makamu mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara? Hili ndilo swali linaloulizwa na wengi baada ya aliyekuwa na wadhifa huo, Abdulrahman Kinana kujiuzulu. Taarifa ya kujiuzulu kwa Kinana ilitolewa juzi na CCM, ikinukuu sehemu ya barua ya Rais Samia Suluhu Hassan, mwenyekiti wa chama hicho, akijibu “kukubali…

Read More

Aliyeua mwizi wa ng’ombe ahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Iringa, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Elias Ngaile, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua Luka Mang’wata kwa kumkata na panga akimtuhumu kumuibia ng’ombe. Tukio hilo lilitokea Mei 21, 2024 katika Kijiji cha Lundamatwe, Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa ambapo siku ya tukio, Elias akiwa na wenzake walienda…

Read More

TANESCO : HUDUMA YA UMEME IMEIMARIKA NCHINI

Akizungumza wakati wa kikao hicho, CP Hamduni ameipongeza TANESCO Mkoa wa Shinyanga kwa kazi nzuri inayoifanya ya kuwasambazia wananchi umeme ambapo mpaka sasa jumla ya wateja 98,716 wameshaunganishiwa umeme, kati ya hao wateja wakubwa ni 110.Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni. “Sote tunatambua TANESCO Mkoa wa Shinyanga imeendelea kuimarisha huduma za umeme vijijini…

Read More

Mtazamo tofauti ushindi wa Profesa Lipumba CUF

Dar es Salaam. Ingawa ushindi wa Profesa Ibrahim Lipumba katika nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa ni furaha kwake na baadhi ya makada, wanazuoni wanauona kama ni kaburi la chama hicho. Wasiwasi wa wanazuoni hao kuhusu kupotea zaidi kwa chama hicho kilichowahi kuwa kikuu cha upinzani Tanzania, unatokana na wanachoeleza kuwa hakutakuwa…

Read More

Huu ndio ugonjwa uliosababisha kifo cha Mafuru

Dar es Salaam. Saratani ya damu ndio ugonjwa uliokatisha maisha ya aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Tanzania, Lawrence Mafuru (52). Mtaalamu huyo wa fedha na uchumi maarufu chini humo, alifariki dunia Novemba 9, 2024 akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Apollo nchini India. Mwili wa Mafuru unaagwa leo Alhamisi, Novemba 14, 2024 katika viwanja…

Read More

MWAROBAINI WA MAWAKILI VISHOKA HUU HAPA

  Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Pindi Chana akizungumza na wananchi kwenye banda la kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia kwenye maonesho ya nanenane viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Na Mwandishi Wetu, DODOMA WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Pindi Chana ametaja mikakati mbalimbali ya kufikisha huduma za kisheria kupitia…

Read More

Wananchi Kimara Wapongeza Ujio wa Mabasi Mapya ya Mwendokasi

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BAADA ya wananchi kulalamika huduma zisizoridhisha katika usafiri wa Mwendokasi hasa kwa wasafiri wa njia ya Kimara, leo Oktoba 2,2025 Serikali imeongeza mabasi mapya na wananchi wameshukuru ujio wa mabasi hayo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, baadhi ya abiria wa Kivukoni wameipongeza Serikali kwa kuweza kusikia kilio Chao na kuruhusu mabasi…

Read More