Arsenal na Benjamin Sesko mambo safi.

Benjamin Sesko ‘amekubali’ uhamisho wa Arsenal msimu huu wa joto huku Gunners wakipanga kumnunua mshambuliaji wa RB Leipzig kwa pauni milioni 45. Mshambulizi wa RB Leipzig Benjamin Sesko anaripotiwa kupendelea kuhamia Arsenal msimu huu wa joto. Kikosi cha Mikel Arteta kina nia ya kuimarika katika safu ya ushambuliaji katika msimu wa mbali huku Gabriel Jesus…

Read More

Bashe alia na zao la chai Tanzania

Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema tangu ateuliwe kuongoza wizara hiyo haridhishwi na maendeleo yaliyopo kwenye zao la chai kutokana na mambo yanayoendelea ikiwamo kushuka kwa mapato yatokanayo na mauzo yake nje ya nchi. Bashe ameeleza hayo leo Aprili 8, 2025 wakati akizindua bodi mpya ya wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania (TBT) kwenye…

Read More

Mgombea uenyekiti Bavicha ajitoa, amuunga mkono Mahinyila

Dar es Salaam. Wakati wagombea wa uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) wakinadi sera zao, mmoja wao, Shija Shibeshi ametangazwa kujitoa na kumuunga mkono Deogratius Mahinyila. Hatua ya Shibeshi kutangaza kujiondoa, inapigia msumari uamuzi wake alioutangaza tangu Januari 11, 2025 katika mdahalo uliowakutanisha wagombea wote wa nafasi hiyo,  ambapo alisema atajiengua lakini mpaka…

Read More

Nchini Kenya, Wakulima Wadogo Wanarudi Nyuma Dhidi ya Udhibiti wa Biashara wa Kilimo – Masuala ya Ulimwenguni

Samuel Ndungu anafanya kazi katika shamba lake huko Githunguri, Kenya. Credit: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (githunguri, kenya) Jumatano, Desemba 24, 2025 Inter Press Service GITHUNGURI, Kenya, Desemba 24 (IPS) – Kwa miaka miwili iliyopita, Samuel Ndungu, mkulima mdogo, amekuwa akilima chakula cha asili na kusambaza katika soko la ndani la Githunguri, nje…

Read More

Rais Samia kuhutubia Taifa kupitia wazee wa Dar kesho

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kesho Jumanne, Desemba 2, 2025, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazungumza na wazee wa mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, ofisini kwake, Chalamila amesema mazungumzo hayo yataanza saa 5 asubuhi katika ukumbi wa mikutano ya Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam….

Read More

Fountain Gate hesabu zipo kwa Wagosi

NI kufa au kupona. Ndivyo unavyoweza kusema wakati Fountain Gate itakapokuwa ugenini kukabiliana na Coastal Union, Juni 18 katika mechi ya Ligi Kuu Bara ikiwa inahitaji ushindi wa ina yoyote ili kuepuka janga la kucheza play-off ya kushuka daraja. Fountain ipo nafasi ya 14 juu ya timu mbili zilizoshuka daraja mapema KenGold na Kagera Sugar…

Read More