
MUHIMBILI MLOGANZILA YAZINDUA KLINIKI MAALUMU, YENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imezindua Kliniki Maalumu (Premier Kliniki) ikiwa ni kuitikia kwa vitendo dhana ya tiba utalii nchini kwa kujenga miundombinu wezeshi kutoa huduma za kimataifa, kwa faragha na ubora unaokidhi viwango vya kimataifa. Akizindua kliniki hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amesema kuanzishwa kwa kliniki hiyo ni…