AG Johari:  Wanasheria endeleeni kujifunza bila kikomo

Kibaha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema taifa linahitaji wanasheria wenye moyo wa kujifunza daima, akibainisha kuwa elimu haiishii chuoni bali ni safari endelevu ya kukuza weledi na uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali. Johari ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Septemba 18, 2025, wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanasheria wa Serikali kutoka Ofisi…

Read More

AG Johari:  Wanasheria endelea kujifunza bila kikomo

Kibaha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema taifa linahitaji wanasheria wenye moyo wa kujifunza daima, akibainisha kuwa elimu haiishii chuoni bali ni safari endelevu ya kukuza weledi na uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali. Johari ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Septemba 18, 2025, wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanasheria wa Serikali kutoka Ofisi…

Read More

Wasira: Mtuamini tuendelee kuwaletea maendeleo

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi.Aidha, amesisitiza wananchi waendelee kukiamini na kukipa nafasi kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka.Wasira ameeleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM kutoka Jimbo la Mbeya, akiwa…

Read More

Uchaguzi wa Malawi: Chakwera, Mutharika wajitangazia Ushindi

Lilongwe. Vyama viwili vikuu vya siasa nchini Malawi, Democratic Progressive Party (DPP) na Malawi Congress Party (MCP), vimejitangazia ushindi licha ya matokeo rasmi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) yakiendelea kusubiriwa. MCP, ambacho ni chama tawala, mgombea wake wa urais ni Rais Dk Lazarus Chakwera, anayetetea kiti hicho kwa muhula wa pili, na mgombea…

Read More

Tume ya haki za binadamu yachunguza vurugu kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kushambuliwa wanachama wake na Polisi wakiwa Mahakama Kuu walipokwenda kuhudhuria kesi ya uhaini ya Mwenyekiti wao, Tundu Lissu, yameisukuma Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kuanzisha uchunguzi. Chadema, katika taarifa yake ya Septemba 15, 2025, imelaani kitendo cha Jeshi la Polisi…

Read More

TBS kudhibiti wauza vipodozi, bidhaa mtandaoni

Dar es Salaam. Wakati wimbi la wafanyabiashara mtandaoni wakiwamo wa vipodozi likizidi kuongezeka, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema linaendekea na maboresho ili kuangalia namna gani wanaweza kuzidhibiti ubora wa bidhaa mtandaoni. Hilo limesemwa wakati ambao mitandaoni kumeibuka wimbi la wafanyabiashara hasa wa vipodozi ambao wamekuwa wakiandaa bidhaa kwa kuchanganya vitu mbalimbali na kuuza kwa…

Read More

Rukwa yazindua dawati maalumu uwezeshaji biashara

Rukwa. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro amesema uzinduzi wa dawati maalumu la uwezeshaji biashara ni hatua muhimu itakayowawezesha wafanyabiashara kuendesha shughuli zao kwa weledi na kuchangia ustawi wa Taifa. Akizungumza leo Alhamisi Septemba 18, 2025, katika viwanja vya ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Rukwa wakati wa uzinduzi wa dawati…

Read More