Dk Mwinyi agoma kuongezewa muda wa Urais

Dar es Salaam. Ikulu ya Zanzibar kupitia kwa Mkurungenzi wa Mawasiliano, Charles Hilary imepinga suala la Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi kuongezewa muda wa kukaa madarakani, huku ikisisitiza maoni hayo sio yake. Taarifa hiyo iliyotolewa leo Jumatatu Juni 24, 2024 imeeleza; “Hivi karibuni kumetolewa maoni yanayopendekaza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…

Read More

GMGI yaendelea kupanua huduma kwa kujiimarisha Marekani

Golden Matrix Group (GMGI) kupitia Expanse Studios, imefanikiwa kufungua rasmi huduma zake kwenye soko la Marekani. Hatua hii ni sehemu ya mpango wa muda mrefu wa kampuni wa kupanua uwepo wake kimataifa. Soko la social casino nchini Marekani lina thamani kubwa, na Expanse Studios inalenga kufanikisha malengo yake kwa kuleta michezo ya kiwango cha juu…

Read More

Kocha Kagera apata matumaini mapya

BAADA ya kikosi chake kupata nafasi ya kupachika bao moja kwenye sare ya 1-1 dhidi ya Geita Gold, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata ameuona mwanga kwenye safu ya ushambuliaji kabla ya kuikabili Tabora United. Kesho Jumatano, Kagera Sugar itakuwa ugenini kuikabili Tabora United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na kumbukumbu ya…

Read More

Mwambusi ana deni Coastal Union

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema kazi imebaki kwake na wachezaji kuhakikisha kupambana ili kufikia malengo ya kucheza tena Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya uongozi kufanyia kazi usajili dirisha dogo. Coastal Union ambayo ipo nafasi ya 11 baada ya kukusanya pointi 18 kwenye mechi 16 ilizocheza imeongeza wachezaji tisa dirisha dogo…

Read More

Ushindi Mkubwa Upo Mechi ya Seattle Sounders vs PSG

NI Jumatatu nzuri kabisa ya mwezi Juni ambayo wewe kama mteja wa Meridianbet hauna haja ya kujiuliza utapiga pesa wapi. Sehemu ni moja tuu napo ni Meridianbet ndani ya promosheni yao inayoendelea ya kubashiri na GG&3+ na kushinda mara mbili. Bado mashindano ya Kombe la Dunia ngazi ya vilabu yanaendelea huko Marekani ambapo tayari timu…

Read More

Wosia wa Jaji Mkuu Zanzibar kwa mawakili wapya

Unguja. Jaji Mkuu wa Zanzibar, Khamis Ramadhan Abdalla amewataka mawakili wapya waliopatiwa vyeti vya uwakili kuzingatia uadilifu na weledi kama inavyotaka sheria namba moja ya mwaka 2020 ili kuimarisha imani ya wananchi katika mfumo wa haki. Pia, amewataka kutumia busara katika kutoza fedha wateja wao, kwa kuwa, kumekuwa na vilio vingi vinayotokana na wananchi wanyonge…

Read More

WASAJILI WASAIDIZI MIKOA, HALMASHAURI WAPATA MAFUNZO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amefungua mafunzo ya siku mbili kuwajengea uwezo Wasajili Wasaidizi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikari kwa ngazi ya Mikoa na Halmashauri zote Tanzania bara Septemba 4, 2024 jijini Dodoma. Akifungua mafunzo hayo, yaliyoandaliwa na Wizara kupitia Ofisi ya Msajili wa NGOs…

Read More