Waliosota gerezani siku 399 waachiwa huru, wamo askari watatu

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru watu watano wakiwemo waliokuwa askari Polisi, waliyokuwa wanakabiliwa na shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha na kujipatia Sh90 milioni, baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yao. Uamuzi huo umetolewa jana Jumatano, Desemba 4, 2024 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Franco…

Read More

Zainab ni zaidi ya mwalimu kwa watoto shuleni

Dodoma. Umewahi kusikia maneno; ualimu ni wito? Ni msemo wa miaka mingi japo mabadiliko ya kimaisha yamewavaa baadhi ya watu wanaomini msemo huo hauna maana tena katika dunia ya sasa. Kwao ualimu ni ajira, mengine yatafuata. Hata hivyo, kwa baadhi ya walimu akiwamo Zainab Yamlinga, hadithi ni tofauti. Pengine kwake ualimu ni zaidi ya wito….

Read More

Serikali kujenga shule 103 za elimu ya amali

Dodoma. Serikali inatarajia kujenga shule 103 za sekondari za elimu ya amali nchini ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi watakaomaliza darasa la saba na la sita watakaomaliza kwa pamoja mwaka 2028. Mkurugenzi wa Elimu Msingi katika Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Abdul Maulid ameyasema hayo leo Jumatano Februari 26,2025 wakati wa mkutano wa pamoja wa…

Read More

Zingatia mambo haya kipindi cha likizo kwa mwanao

Dar es Salaam. Kalenda ya mwaka wa masomo kwa 2024 imehitimishwa Desemba 6. Kuhitimishwa kwa kalenda ni ishara ya kuanza kwa msimu wa likizo kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari nchini itakayodumu kwa takribani siku 30.  Likizo ni wakati wa kupumzika, kufurahi, na kujifunza mambo mapya, lakini pia ni wakati mzuri wa kuboresha…

Read More

Boban: Simba bado inamuhitaji Kibu

WAKATI za chini ya kapeti zikielezwa nyota wa Simba, Kibu Denis ana asilimia kubwa ya kusaini Yanga kwa ajili ya msimu ujao baada ya mkataba wake kutarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu, aliyekuwa Kiungo wa Wanamsimbazi, Haruna Moshi ‘Boban’ amewataka matajiri wa klabu hiyo, wafanye kitu kwa staa huyo. Boban ambaye aliitumikia Simba kwa takribani…

Read More