Bilioni 3 zatinga mfukoni madawa

  MFUKO wa Serikali ya Zanzibar umenufaika kwa kupata kiasi cha Sh. 3 bilioni zikiwa ni thamani ya mali mbalimbali zilizotaifishwa kwa kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Anaripoti Jabir Idrissa, Zanzibar … (endelea). Kamishna wa Mamlaka ya Kupambana na Madawa ya Kuelvya Zanzibar, Kanali Burhan Zubeir Nassor anasema mali zilizotaifishwa ni pamoja na…

Read More

Simba, KVZ zaanza kufukuzia mil 50

WAKATI KVZ ikiialika Simba katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Muungano leo kuanzia saa 2:15 usiku katika Uwanja wa Amaan, timu zinazoshiriki zimetangaziwa zawadi ya Sh50 milioni kwa itakayobeba ubingwa. Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Mipango ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Awadh Maulid Mwita alisema jana kuwa bingwa wa mashindano…

Read More