Vyanzo vinane kuchangia bima kwa wote VVU/Ukimwi

Dar es Salaam. Serikali katika mwaka 2025/2026 imependekeza kuanzisha vyanzo vya mapato vinane kwa ajili ya kudhibiti maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na kugharimia bima ya afya kwa wote. Hatua hiyo inatarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa Sh586 bilioni. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Juni 12, 2025 na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alipowasilisha…

Read More

Othman: Tumechoka kuuwana kwa kisingizio cha uchaguzi

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kime wataka baadhi ya viongozi kuacha tabia ya kuwagombanisha Wazanzibar na kusababisha kuuana kwa kisingizio cha Uchaguzi. Kimewataka viongozi hao kuacha mara moja kutekeleza nia zao ovu kupitia mwamvuli huo. Hayo yamesemwa leo Alhamis Aprili 10, 2025 na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Othman Masoud Othman alipofanya mazungumzo na viongozi wa…

Read More

Kocha mpya Simba apitishwa, Matola aguswa

WAKATI wowote kuanzia leo Simba itamtangaza kocha mpya wa kigeni, atakayekuja kuchukua mikoba ya Dimitar Pantev aliyeachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande hizo mbili, huku akiachiwa msala wa kufanya usajili dirisha dogo baada ya kukisoma kikosi kilivyo. Simba imekuwa ikisimamiwa na Seleman Matola anayekaimu ukocha mkuu kwa sasa tangu aondoke Pantev aliyetambulishwa kama…

Read More

Kuanguka kwa mapigano na udhibiti wa serikali huzuia Msaada wa Mtetemeko wa Myanmar – Maswala ya Ulimwenguni

Mtawa na wahasiriwa wengine wa tetemeko la Machi 28 wanatibiwa chini ya malazi nje ya Hospitali kuu ya Mandalay. Mikopo: IPS Na Guy Dinmore, waandishi wa IPS (Mandalay, Yangon, London) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari MALALAY, Yangon, London, Aprili 11 (IPS) – Wiki mbili baada ya tetemeko la ardhi lililoharibika kugonga…

Read More

TBS HAKIKISHENI SOKO LA TANZANIA LINAKUWA NA BIDHAA BORA

:::::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Shirika la Viwango Tanzania kutokuwa na huruma na bidhaa zisizokuwa na ubora kwani Serikali inataka soko la Tanzania liwe na bidhaa bora, salama na zenye kuleta tija kwa mlaji na kwa uchumi. Amewataka wazalishaji wa bidhaa na huduma, wahakikishe wanazingatia taratibu za vipimo, uthibitishaji wa ubora, na…

Read More

Burundi yarekodi visa vya kwanza vya mpox – DW – 26.07.2024

Mpox, zamani monkeypox, ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na virusi vinavyohamishwa kwa binadamu kutoka wanyama walioambukizwa na ambavyo vinaweza kuambukiza miongoni mwa wanadamu kupitia kugusana kimwili. Mlipuko wa kimataifa miaka miwili iliyopita ulipelekea shirika la afya duniani, WHO, kuitangaza mpox kuwa janga la dharura la kiafya linalozusha wasiwasi kimataifa, ambayo ni tahadhari kubwa zaidi linaloweza…

Read More