SHIRIKA LA POSTA LAADHIMISHA SIKU YA POSTA KIVINGINE
Meneja wa Shirika la Posta Mkoa wa Dar es salaam Paul Mshanga akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam leo wakati wa madhimisho ya siku ya Umoja wa Posta Duniani ambayo huadhimishwa kila Oktoba 9 ya kila mwaka.Msimamizi wa Biashara Shirika la Posta Mkoa wa Dar es salaam Hamisi Swedi akizungumza na wanahabari jijini Dar…