WAJASIRIAMALI KUWEZESHWA ZAIDI KUPITIA PROGRAMU YA KUENDELEZA BIASHARA YA WAZAWA YA BARRICK

Mkuu wa wilaya ya Nyang’wale Mhe. Grace Kingalame akiongea katika hafla hiyo. *** Wajasiriamali 150 kutoka wilaya za Kahama,Nyang’hwale na Msalala wamehitimu mafunzo ya siku 10 ya biashara kupitia Kupitia Programu ya Kuendeleza Biashara za Wazawa (Local Business Development Program) inayotekelezwa na Mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu, yaliyolenga kuwajengea uwezo na kuwasaidia waweze kunufaika…

Read More

HAWA MCHAFU AJITOSA UBUNGE VITI MAALUMU PWANI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Aliyekuwa Mbubge wa Viti maalum kwa kipindi cha mwaka 2020/2025 kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Mchafu Chakoma amejitosa kuchukua fomu kwa kwa ajili ya kutetea nafasi yake ya Ubunge kwa kipindi cha mwaka 2025/2030. Mchafu ,amechukua fomu hiyo katika ofisi ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania…

Read More

Ngorongoro, Serengeti kivumbi na jasho AFCON 2025

TIMU za Taifa za Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys na ile ya chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, kila moja imepangwa kundi A na mwenyeji kwenye michuano ya AFCON kwa vijana itakayofanyika baadaye mwaka huu. Serengeti Boys iliyofuzu michuano ya AFCON U17 itakayofanyika Morocco kuanzia Machi 30 hadi Aprili 19, 2025 ikishirikisha timu…

Read More

Familia ya mtoto aliyeibwa Kibaha yazidi kumlilia Rais Samia

Kibaha. Siku 10 baada ya mtoto wa miezi saba kuibwa na watu wasiojulikana, familia ya mtoto huyo bado ina matumaini kuwa atapatikana salama. Wakiwa kwenye majonzi, familia hiyo imeendelea kumlilia Rais Samia Suluhu Hassan wakimuomba asaidie kupatikana kwa mtoto huyo.  Mtoto huyo aitwaye Merisiana Sostenes alichukuliwa  Januari 15, 2025, akiwa nyumbani kwao Kibaha kwa Mfipa…

Read More

Bunge lifanye marekebisho haya kabla ya kuvunjwa

Leo naanza kwa kumpongeza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, kwa kutoa kauli ya wazi kuhusu mgawanyo wa madaraka baina ya mihimili mitatu ya dola. Bunge, Serikali na Mahakama. Katika kauli yake, Dk Tulia alieleza dhana muhimu ya mgawanyo wa madaraka na mfumo wa kuwekeana mizani na udhibiti wa…

Read More

PPAA ilivyozuia zabuni 36 kwa kukosa vigezo

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka minne kuanzia Machi 2021/25, Serikali ilizuia utoaji tuzo za zabuni 36 kwa wazabuni wasio na vigezo ikiwemo uwezo wa kifedha pamoja na sifa za kutekeleza miradi husika. Hatua hiyo, kwa mujibu wa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA), imewezesha kukoa utekelezaji usioridhisha wa miradi ya maendeleo…

Read More

REA YATUMIA BILIONI 15 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 105 MKOA WA ARUSHA

MKUU wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda,akizungumza na wananchi wakati mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya mkoa wa Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda,akizungumza na wananchi wakati mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya mkoa wa Arusha SEHEMU…

Read More

SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KUHUSU SUALA LA UHABA WA FEDHA ZA KIGENI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza wakati wa kikao na ujumbe kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini ukiongozwa na Balozi Mpya wa Uingereza Nchini, Mheshimiwa Marrianne Young, ulipofika ofisini kwa Waziri wa Fedha jijini Dodoma kwa ajili ya kujiambulisha, ambapo pamoja na mambo mengine wamejadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano katika kukuza…

Read More