Polisi wazingira makazi ya Lissu
NYUMBA ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Marndeleo (Chadema), Tundu Lissu, inadaiwa kuzimgirwa na Polisi. Anaripiti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea). Taarifa kutoka mitandao ya kijamii ya Chadema zinaonyesha picha na video zinazodaiwa kupigwa nyumbani kwa kiongozi huyo, wakionekana maofisa wa Polisi waliovalia sare waliwa wamezingira nyumba yake. MwanaHALISI Online limeshindwa…