‘Jitokezeni kwa wingi kushiriki chaguzi zijazo’

Dar es Salaam. Waumini wa Kiislam na Watanzania kwa ujumla wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki chaguzi zijazo za serikali za mitaa vijiji, vitongoji pamoja na Uchaguzi Mkuu 2025, ili kuwachagua viongozi watakaoletea maendeleo. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Juni 17, 2024 na mwenyekiti mstaafu wa Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Ally Mubarak…

Read More

2024 Ndio Mwaka Moto Zaidi Kuwahi Kurekodiwa – Masuala ya Ulimwenguni

Msichana mdogo akijaribu kuvuka barabara iliyofurika nchini Bangladesh kufuatia kimbunga Remal. Bangladesh ni mojawapo ya mataifa yanayoathiriwa zaidi na hali ya hewa duniani na inatarajiwa kuathiriwa pakubwa na ongezeko la joto duniani. Credit: UNICEF/Farhana Satu na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Ijumaa, Desemba 20, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Desemba 20 (IPS) –…

Read More

Tatizo la afya ya akili laongezeka Zanzibar

Unguja. Zaidi ya watu 5,000 wanakadiriwa kukabiliwa na tatizo la afya ya akili Zanzibar. Hata hivyo, kutokana na udhaifu wa usajili wa wagonjwa, idadi inaelezwa yaweza kuwa mara mbili zaidi. Hayo yamebainika leo Aprili 30, 2024 katika mkutano wa wauguzi na waandishi wa habari kuhusu kazi zitakazofanyika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wakunga…

Read More

ACT-Wazalendo yajizatiti kupigania Liganga-Mchuchuma | Mwananchi

Songea. Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kitaendelea kuuvalia njuga suala la Liganga na Mchuchuma ambao ni mradi wa kimkakati unaolenga kukuza uchumi wa viwanda kwa kuanzisha sekta za msingi zitakazosaidia sekta nyingine katika mnyororo wa thamani. Kimesisitiza hakitachoka kuupigania  mradi huo uanze kwa sababu una faida na manufaa yatakayowanufaisha wananchi wa Ruvuma, Njombe wanufaike na…

Read More