DG RUWASA AAGIZA MAMENEJA MIKOA NA WILAYA KUJIKITA KWENYE UTOAJI HUDUMA YA MAJI KWA KUZIJENGEA UWEZO CBWSOs

Mkurugenzi Mkuu wa RUWASA, Wolta Kirita amewataka Mameneja wa Mikoa na Wilaya katika mikoa yote 25 inayohudumiwa na taasisi hiyo kuelekeza nguvu zaidi za kiutendaji katika kuvisimamia na kuvijengea uwezo Vyombo vya Utoaji Huduma ya Maji Ngazi ya Jamii (CBWSOs) ili viimarishe utoaji wa huduma hiyo kwa wananchi waishio vijijini na kuchangia uchumi wa nchi….

Read More

KONA YA MALOTO: Nauona upungufu Tume ya Uchunguzi Oktoba 29

Mohamed Bouazizi, alikuwa kijana mdogo nchini Tunisia. Familia yake maskini, kwa hiyo ikawa inamtegemea yeye. Akawa anajishughulisha na umachinga. Askari nao wakawa wakikutana naye wanamnyang’anya bidhaa zake. Baada ya kunyanyaswa sana na askari, Bouazizi alichoka, akaona ananynyasika kwa kiwango cha kumfika mwisho. Desemba 17, 2010, Bouazizi alijimwagia petroli na kujilipua kisha akazunguka mitaani akiteketea kwa…

Read More

Mikataba yamnyima  staa fura ya kucheza

WAKATI wachezaji wakiwa katika maandalizi ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, nyota wa mchezo nchini, Jimmy Brown, ametaja sababu zilizomfanya asicheze michuano hiyo msimu uliopita. Mchezaji huyo aliyewahi kuchezea Kurasini Heat, ABC, UDSM Outsiders, JKT na Ukonga Kings amesema kutoshiriki kwake kulitokana na kutokubaliana na utaratibu wa malipo…

Read More

Yanga yarejea kileleni, Depu aendelea kutupia

KIKOSI cha Yanga, kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo Jumanne Januari 27, 2026 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Ushindi huo ulioirudisha Yanga kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa kufikisha pointi 22, umetokana na mabao mawili…

Read More