
TBS kudhibiti wauza vipodozi, bidhaa mtandaoni
Dar es Salaam. Wakati wimbi la wafanyabiashara mtandaoni wakiwamo wa vipodozi likizidi kuongezeka, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema linaendekea na maboresho ili kuangalia namna gani wanaweza kuzidhibiti ubora wa bidhaa mtandaoni. Hilo limesemwa wakati ambao mitandaoni kumeibuka wimbi la wafanyabiashara hasa wa vipodozi ambao wamekuwa wakiandaa bidhaa kwa kuchanganya vitu mbalimbali na kuuza kwa…