TBS kudhibiti wauza vipodozi, bidhaa mtandaoni

Dar es Salaam. Wakati wimbi la wafanyabiashara mtandaoni wakiwamo wa vipodozi likizidi kuongezeka, Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema linaendekea na maboresho ili kuangalia namna gani wanaweza kuzidhibiti ubora wa bidhaa mtandaoni. Hilo limesemwa wakati ambao mitandaoni kumeibuka wimbi la wafanyabiashara hasa wa vipodozi ambao wamekuwa wakiandaa bidhaa kwa kuchanganya vitu mbalimbali na kuuza kwa…

Read More

Rukwa yazindua dawati maalumu uwezeshaji biashara

Rukwa. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro amesema uzinduzi wa dawati maalumu la uwezeshaji biashara ni hatua muhimu itakayowawezesha wafanyabiashara kuendesha shughuli zao kwa weledi na kuchangia ustawi wa Taifa. Akizungumza leo Alhamisi Septemba 18, 2025, katika viwanja vya ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Rukwa wakati wa uzinduzi wa dawati…

Read More

Chukwu: Simba, Yanga zinaficha ukubwa wa Singida

KIUNGO wa Singida Black Stars, Morice Chukwu amesema licha ya ushindani kuwa mkubwa, lakini Singida Black Stars ni timu kubwa katika Ligi Kuu Bara, ila makali yake hayaonekani kwa sababu ya Simba na Yanga. Chukwu ambaye alitua Bongo kwa mara ya kwanza akiwa na kikosi cha Rivers United ya Nigeria katika michuano ya Kombe la…

Read More

Mataji yampa nguvu Rehema tenisi walemavu

MATAJI aliyoyapata Rehema Said katika mashindano ya kimataifa ya tenisi kwa walemavu 2025 (International Tennis Federation Wheelchair Tournament), yamempa nguvu mwanadada huyo katika kufanya makubwa zaidi katika michuano mingine ijayo. Mashindano hayo ya mwaka huu yalifanyikia jijini Nairobi, Kenya na Regema alishinda mataji matatu, moja ya binafsi na mengine mawili ya kushindana dhidi ya wachezaji…

Read More

Singida Black Srats itakula sana raha za Chama

SINGIDA Black Stars ilianza kwa kusuasua sana mashindano ya Kombe la Kagame yaliyomalizika Jumatatu wiki hii kwa fainali baina yao na Al Hilal ya Sudan. Na sio kama ilikuwa inacheza vibaya bali pale mbele haikuwa na mtu wa kulainisha. Pupa zilikuwa nyingi sana ilipokuwa inashambulia. Ilionekana wazi Mwamba wa Lusaka ambaye alisajiliwa lakini akachelewa kujiunga…

Read More

Mbeya City yarejea Bara kwa ushindi

BAO la Habib Kyombo dakika ya 56, limetosha kuipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara. Kyombo alifunga bao hilo kwa penalti baada ya Riphat Khamis kuchezewa faulo ndani ya eneo la hatari na Mudrick Abdi wa…

Read More

Vijana wataka mambo manne wakiadhimisha siku yao

Dar es Salaam. Wakati dunia ikijiandaa kuadhimisha siku ya amani Septemba 21, 2025, nchini Tanzania vijana wameeleza nafasi yao katika kudumisha amani, huku mambo manne yakijadiliwa katika kongamano la maadhimisho hayo. Septemba 21 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya amani, hapa nchini maadhimisho hayo yameanza leo Septemba 18, 2025 kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali…

Read More

Mahakama yaamuru Ofisa Uhamiaji aliyefukuzwa kazi arejeshwe kazini

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mwanza, imeamuru kurudishwa kazini kwa aliyekuwa Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Dominic Adam, aliyefukuzwa kazi kutokana na mashtaka ya kinidhamu yaliyohusiana na kughushi vibali na stakabadhi. Mahakama hiyo imeamuru arejeshwe kazini na kulipwa stahiki zake tangu alipofukuzwa kazi na iwapo ametimiza umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria alipwe stahiki…

Read More