Chanika moto mkali Ligi ya Kriketi U19 

MICHUANO ya Kombe la TCA kwa vijana wa umri wa chini ya miaka 19 iliwasha moto kwenye viwanja viwili jijini Dar es Salaam ambako timu za Chanika Boys na Indian School zilitoka na ushindi mnono. Timu ya Chanika Boys ilionyesha ujasiri mkubwa baada ya kuifunga KSIJ Red kwa mikimbio 59 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja…

Read More

Kituo cha uwekezaji kuzinduliwa Arusha, Julai

Arusha. Serikali inatarajia kuzindua Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika Mkoa wa Arusha kufikia Julai Mosi, 2024 ili kuondoa urasimu wanaokumbana nao wawekezaji. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Apili 30, 2024 jijini Arusha na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo wakati akizungumza kwenye kongamanao la uwekezaji kwenye sekta ya…

Read More

Je! Ni watoto wangapi zaidi lazima wafe kabla ya ulimwengu kutenda? – Maswala ya ulimwengu

Juliette Touma, Mkurugenzi wa Mawasiliano kwa Wakala wa UN kwa Wakimbizi wa Palestina, Unrwaametembelea Gaza mara kadhaa wakati wa vita na amekuwa akitafakari juu ya watoto aliokutana nao huko na katika maeneo mengine ya migogoro. “Adamu amekuwa akilini mwangu hivi karibuni, zaidi kuliko kawaida. Nilikutana na Adamu miaka iliyopita katika mji wa bandari wa Yemeni…

Read More

Kisa Mpanzu… Simba wakuna vichwa

JANA Ellie Mpanzu hakuanza na wala hakuwa katika benchi la kikosi cha Simba kilichovaana na Ken Gold wakati wa pambano la Ligi Kuu Bara, tofauti na majigambo ya mabosi wa Msimbazi mwamba huyo angeanza kuonekana mara baada ya dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa, huku ikielezwa kilichomzuia. Simba ilimsajili Mpanzu tangu Septemba mwaka huu muda mchache…

Read More

Nsajigwa yeye ni Kapombe, Yao

KOCHA msaidizi wa Namungo FC, Shadrack Nsajigwa, amewataja Shomari Kapombe na Yao Kouassi Attohoula kuwa ndio mabeki bora wa kulia hivi sasa ndani ya Ligi Kuu Bara. Nsajigwa ambaye alishawahi kuwa nahodha wa Yanga na Taifa Stars, ameliambia Mwanaspoti kuwa mabeki hao anawaona wakipita nyayo aliyopita yeye kutokana na aina ya uchezaji wao. Mbali na…

Read More

TBS YATOA ELIMU MAONESHO YA SABA YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI SINGIDA

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendela kutoa elimu ya ubora wa bidhaa katika Maonesho ya saba ya Mifuko na Programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika katika viwanja vya Bombadier mkoani Singida. Akizungumza katika Maonesho hayo ambayo yameanza Septemba 8,2024 na kumalizika Septemba 14, 2024, Afisa mtoa elimu, Sileja Lushibika amesema TBS imeshiriki na kutoa elimu…

Read More