Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 22, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
TAMASHA la Simba Day linaendelea kupamba moto Benjamin Mkapa ambako idadi kubwa ya mashabiki tayari imeshaingia kiwanjani huku kukiwa na sehemu chache za majukwaa ambazo watu hawajakaa bado. Licha ya sehemu hizo chache za majukwaa ambazo hazina mashabiki, nje kuna idadi kubwa ya mashabiki ambao wanaendelea kuingia. Idadi kubwa ya mashabiki waliopo ndani imeonekana kuwa…
Klabu ya Azam Fc imetangaza kumsainisha kiungo Faisal Salum ‘Feitoto’ nyongeza ya mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027. Mkataba wa awali wa nyota huyo wa zamani wa Young Africans Sc ulikuwa utamatike Juni 2026 lakini sasa kiungo huyo aliyekuwa akihusishwa kwenda Simba Sc ameongeza mwaka mmoja zaidi….
Katika enzi hii ya maendeleo ya kasi, ambapo miji inakua na teknolojia inachanja mbuga, vyoo vya kisasa vya kukaa vimeingia kwa kishindo katika nyumba nyingi za mijini. Vinang’aa, vinaonekana vya kuvutia, na vinatoa hali ya starehe isiyo na kifani. Kwa hakika ni alama ya maisha ya kisasa yenye hadhi. Hata hivyo, chini ya uso huo…
Jeshi la Marekani limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya boti za kijeshi za Iran zilizokuwa zikidaiwa kuweka mabomu ya majini katika Mlango wa Bahari wa Hormuz, hatua iliyokuja baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuionya Tehran kuondoa mabomu hayo mara moja. Katika video iliyotolewa na U.S. Central Command (CENTCOM) kwenye mtandao wa X, ndege…
Kwa masikitiko makubwa na huzuni nzito, tumepokea taarifa ya kifo cha Mwadhama Polycarp Cardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Marehemu alikuwa mchungaji mwaminifu na kiongozi mwenye hekima na busara, aliyeilitumikia Kanisa na Taifa kwa uaminifu mkubwa, akiacha alama isiyofutika katika mioyo ya wengi. Kwa niaba yangu binafsi na kwa…
Chato. Wakati Makamu wa Rais, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, amewasili wilayani Chato kwa ajili ya maadhimisho ya kumbukizi ya miaka mitano ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, hayati Dk John Magufuli, Watanzania wametakiwa kuendelea kumuenzi kwa kuwasaidia wenye uhitaji katika jamii. Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo yatakayofanyika kesho,…
Ramani ya Wanawake katika Siasa ya 2026 kutoka IPU na UN Women ilizinduliwa katika hafla ya CSW70, 11 Machi 2026. Credit: UN Women/Ryan Brown. Chanzo: IPU | Umoja Mpya wa Mabunge (IPU) – Takwimu za UN Women zinaonyesha wanawake wanasalia mbali na mamlaka sawa ya kisiasa, wakiwa na asilimia 22.4 tu ya nyadhifa za baraza…
Na.VERO IGNATUS ARUSHA Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imezindua mfumo wa maarifa (knowledge management system) unaolenga kuongeza ufanisi,uwazi,na weledi katika ukusanyaji wa mapato ,sambamba na kuboresha huduma kwa walipa kodi katika mazingira ya sasa ya biashara yenye ushindani mkubwa yanayochochewa na teknolojia na utandawazi. Yusuphu Mwenda ni Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
Last updated Sep 23, 2025 Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, ameaga rasmi klabu hiyo akieleza hisia zake nzito baada ya muda wake kumalizika Msimbazi. Katika ujumbe wake wa kuaga, Davids amesema tangu siku ya kwanza alipojiunga na Simba alihisi mapenzi makubwa ya klabu hiyo na mashabiki wake, ambao amewataja kama nguzo kubwa ya…