DKT. NCHEMBA: HAKUNA SEKTA ITAKAYOKOSA FEDHA KUTOKANA NA MABALILIKO YA SERA

Na. Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakutakuwa na sekta itakayokosa fedha kwa sababu ya mabadiliko ya sera ya baadhi ya mataifa zinazolenga kupunguza kuyasaidia mataifa yanayoendelea ikiwemo Tanzania. Hayo yamebainishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), wakati akijibu hoja za wabunge zilizojitokeza katika Bunge la…

Read More

MKURUGENZI AKANA MADAI YA KUTODHIBITI TELEGRAM BAADA YA KUKAMATWA UFARANSA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mkuu wa Telegram, Pavel Durov, amekana vikali madai ya kutokudhibiti matumizi mabaya ya programu yake, baada ya kukamatwa mnamo Agosti 25, 2024. Durov alikamatwa kwenye uwanja wa ndege kaskazini mwa Paris na baadaye kushtakiwa kwa madai ya kushiriki kuruhusu miamala haramu, ulanguzi wa dawa za kulevya, ulaghai, na kusambaza picha za unyanyasaji…

Read More

Profesa Kaushik aonya unywaji soda asubuhi, usiku

Dar es Salaam. Kama una ratiba za kunywa soda kila siku, hasa aina ya cola upo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kisukari, Profesa Kaushik Ramaiya amesema. Amesema kwa kawaida binadamu anatakiwa kula vijiko vitano vya sukari kwa siku, ila baadhi ya vyakula vina sukari iliyozidi mfano soda yenye ujazo wa mil 350 ina…

Read More

Chama, Dube na mifumo minne Yanga

Dar es Salaam. Vuta picha hapa kuna Clatous Chama kule Prince Dube katika kikosi cha Yanga chenye nyota wengine kama vile, Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli na Mudathir Yahya ambao waliwafanya Wananchi kutembea kifua mbele msimu uliopita na kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA). Chama ambaye mkataba wake…

Read More

Thank You! Ndoa ya Benchikha na Simba yatamatika

KLABU ya Simba muda wowote kuanzia sasa itatangaza kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Mualgeria, Abdelhak Benchikha ikiwa ni siku moja tangu atwae Kombe la Muungano lililohitimishwa jana visiwani Zanzibar. Simba ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0, lililofungwa na kiungo wa kikosi hicho, Babacar Sarr katika dakika ya 77…

Read More

Msingi Umewekwa kwa Uamsho wa Kikristo Barani Ulaya.

HITIMISHO lililofanikiwa la Semina ya Ulimwengu nchini Ufaransa.Unabii wa Ufunuo na Utimizo Wake Wafichuliwa… Zaidi ya Washiriki 7,000 Wakiwemo Wachungaji 1,000.Mwenyekiti Lee Man-hee. “Tambua Ufunuo na Uufundishe kwa Wumini wa Kanisa Lako”Wachungaji wa Ulaya Waliohudhuria: “Tunataka Kujifunza Ufunuo”… Matarajio ya Uamsho wa Kanisa Kupitia Mabadilishano ya Kuendelea “Mafundisho yanayofafanua Kitabu cha Ufunuo yalikuwa ya kina…

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AWASHUKURU RED CROSS NA TPA KWA MISAADA YA VIFAA SAIDIZI MAAFA KARIAKOO

NA. MWANDISHI WETU Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mheshimiwa Ummy Nderiananga amewashukuru wadau kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu (Red Cross Tanzania) pamoja na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA kwa kutoa misaada ya vifaa saidizi kwa ajili ya kuendelea kusaidia katika zoezi la uokoaji linaloendelea kufuatia…

Read More

TANZANIA YAJIPANGA NA MAAMUZI YA RAIS TRUMP KUHUSU ARV

  BOHARI  ya Dawa (MSD), imesema  kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza kutokana na uamuzi wa Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya kwa nchi za Afrika.  Mapema mwaka huu, mara baada ya kuapishwa Rais Trump alitangaza kusitisha misaada yote iliyokuwa ikitolewa na Shirika la Misaada la Marekani (USAID) ikiwamo…

Read More