NIDA yapata mafanikio katika miaka 60 ya Muungano

*Ni katika kutoa vitambulisho Kwa idadi kubwa ya wananchi Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesema kuwa katika miaka 60 Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar mamlaka imepata mafanikio ya kutoa Vitambulisho Kwa idadi kubwa. Hayo ameyasema Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano Godfrey Tengeneza wakati akizungumza kuhusiana mafanikio ya…

Read More

EXIM BANK YASHEREKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Mkuu wa  Kitengo cha Hazina na Masoko  ya Dunia wa benki ya Exim Tanzania, Nelson Kishanda akizungumza na wafanyakazi wa benki hiyo katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2024 katika tawi la benki hiyo la Samora Avenue. Kushoto kwake ni Frank Matoro, Meneja Mkuu wa Huduma za Wateja. Wafanyakazi wa benki ya Exim…

Read More

Ahueni usafirishaji mizigo Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Malalamiko ya wafanyabiashara kuhusu mizigo yao kuchelewa kutokana na kukosa usafiri madhubuti, huenda yakapata jawabu baada ya ndege ya mizigo kuanza kuisafirisha kutoka Dubai kwenda moja kwa moja Zanzibar. Ndege ya Solit Air aina ya Boeing 728 yenye uwezo wa kubeba tani 20 za mizigo, imewasilia kwa mara ya kwanza leo Agosti 9, 2025…

Read More

Wataalamu wasisitiza Afrika kuunganisha nguvu kufungua fursa za nishati

Cape Town. Wataalamu wa nishati wamesisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kuunganisha nguvu kama mkakati muhimu wa kukabiliana na changamoto sugu za nishati na kufungua fursa zilizopo katika sekta hiyo. Wakizungumza katika Mkutano wa Nishati Afrika (Africa Energy Forum) unaoendelea jijini Cape Town, Afrika Kusini, ambao unahudhuriwa na washiriki takriban 6,000 wakiwemo viongozi kutoka sekta…

Read More

Bosi: Tatizo Geita Gold ni wachezaji

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Yefred Myenzi amesema timu hiyo kutofanya vizuri kwenye Ligi Kuu na kuwaweka kwenye presha ni kutokana na usajili mbovu wa wachezaji. Geita ambao huu ni msimu wao wa tatu Ligi Kuu, kwa sasa hawajawa na matokeo mazuri wakiwa nafasi mbili za mkiani wakikusanya pointi 25 wakisota kwa muda…

Read More

Mambo 10 ya kushangaza kuhusu mvua

Dar es Salaam. Unapohisi mpangilio ule ule wa matone ya mvua yakigonga ngozi yako, huenda usifikirie kuhusu sifa za kuvutia za mvua. Hata hivyo, mvua ni sehemu ya ajabu la dunia yetu ya asili inayoficha siri nyingi. Kwa mujibu wa Mtandao wa FoxWeather, mvua hupitia mabadiliko mbalimbali na hufuata mifumo fulani kutoka utengenezwaji wake juu…

Read More

Vinara uandishi kazi bunifu kujulikana Aprili 13

Dar es Salaam. Kilele cha shindano la Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya uandishi bunifu kinatarajiwa kufanyika Aprili 13 mwaka huu, ambapo waandishi 37 watachuana kuwania tuzo hiyo. Waandishi hao ni katika makundi manne ya kazi za fasihi ambayo ni ushauri, tamthiliya, riwaya na hadithi za watoto katika lugha ya Kiswahili. Mwenyekiti wa kamati…

Read More