Kwa Mkapa kunanoga | Mwanaspoti

TAMASHA la Simba Day linaendelea kupamba moto Benjamin Mkapa ambako idadi kubwa ya mashabiki tayari imeshaingia kiwanjani huku kukiwa na sehemu chache za majukwaa ambazo watu hawajakaa bado. Licha ya sehemu hizo chache za majukwaa ambazo hazina  mashabiki, nje kuna idadi kubwa ya mashabiki ambao wanaendelea kuingia. Idadi kubwa ya mashabiki waliopo ndani imeonekana kuwa…

Read More

Vyoo vya kukaa raha, usasa lakini hatari

Katika enzi hii ya maendeleo ya kasi, ambapo miji inakua na teknolojia inachanja mbuga, vyoo vya kisasa vya kukaa vimeingia kwa kishindo katika nyumba nyingi za mijini. Vinang’aa, vinaonekana vya kuvutia, na vinatoa hali ya starehe isiyo na kifani. Kwa hakika ni alama ya maisha ya kisasa yenye hadhi. Hata hivyo, chini ya uso huo…

Read More

KATIBU MKUU RAMEPRO,BONIVENTURA MWALONGO SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MAREHEMU KARDINALI PENGO

Kwa masikitiko makubwa na huzuni nzito, tumepokea taarifa ya kifo cha Mwadhama Polycarp Cardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Marehemu alikuwa mchungaji mwaminifu na kiongozi mwenye hekima na busara, aliyeilitumikia Kanisa na Taifa kwa uaminifu mkubwa, akiacha alama isiyofutika katika mioyo ya wengi. Kwa niaba yangu binafsi na kwa…

Read More

Ni Nchi 1 pekee kati ya 7 Zinazoongozwa na Mwanamke– kwa vile Nguvu ya Kisiasa Ulimwenguni Inabaki Kutawaliwa na Wanaume – Masuala ya Ulimwenguni.

Ramani ya Wanawake katika Siasa ya 2026 kutoka IPU na UN Women ilizinduliwa katika hafla ya CSW70, 11 Machi 2026. Credit: UN Women/Ryan Brown. Chanzo: IPU | Umoja Mpya wa Mabunge (IPU) – Takwimu za UN Women zinaonyesha wanawake wanasalia mbali na mamlaka sawa ya kisiasa, wakiwa na asilimia 22.4 tu ya nyadhifa za baraza…

Read More

TRA YAZINDUA YAZINDUA MFUMO MPYA WA MAKUSANYO YA MAPATO

Na.VERO  IGNATUS ARUSHA   Mamlaka ya Mapato  nchini (TRA) imezindua mfumo wa maarifa (knowledge management system) unaolenga kuongeza ufanisi,uwazi,na weledi katika ukusanyaji wa mapato ,sambamba na kuboresha huduma kwa walipa kodi katika mazingira ya sasa ya biashara yenye ushindani mkubwa yanayochochewa na teknolojia na utandawazi. Yusuphu Mwenda ni Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

Read More