DKT. NCHEMBA: HAKUNA SEKTA ITAKAYOKOSA FEDHA KUTOKANA NA MABALILIKO YA SERA
Na. Peter Haule, WF, Dodoma Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakutakuwa na sekta itakayokosa fedha kwa sababu ya mabadiliko ya sera ya baadhi ya mataifa zinazolenga kupunguza kuyasaidia mataifa yanayoendelea ikiwemo Tanzania. Hayo yamebainishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), wakati akijibu hoja za wabunge zilizojitokeza katika Bunge la…