RC PWANI AHIMIZA MAENDELEO ZAIDI MJI WA KIBAHA
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge akizungumza kwenye kikao hicho Baadhi ya Madiwani walishiriki kwenye kikao hicho. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mussa Ndomba akifafanua jambo. Na Khadija Kalili , Michuzi Tv MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge ametoa wito kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha kutobweteka na hati…
KALLEIYA AMEHIMIZA KUUNDA KAMATI ZA UCHUMI CCM KATA NA MATAWI ILI KUJIIMARISHA KIUCHUMI
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha April 24 Katibu wa CCM Wilaya Kibaha Mjini , mkoani Pwani, Issack Kalleiya amehimiza kuunda kamati za uchumi kila kata na matawi pamoja na kuanzisha vitenga uchumi ili kukiimarisha kiuchumi. Wito huo aliutoa alipokuwa kata ya Kongowe ,ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kutembelea kata 14 ,yenye malengo wa kujitambulisha…
bodi ya mikopo kutoa Bilioni 787 kwa wanafunzi “tunatoa miezi 3, waombe mkopo”
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Tanzania (HESLB) imefungua dirisha la kupokea maombi ya Mkopo kwa mwaka 2024/ 2025 kwa wanafunzi wa ngazi mbalimbali ya vyuo vikuu ambapo kiasi cha Shilingi Bilioni 787 kimetengwa kwa wanafunzi 224,056. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo Dkt. Bill Kiwia amesema uombaji wa Mikopo unaanza June 6, 2024…
Mawaziri washambulia hoja za kamati
Dodoma. Mawaziri wameshambulia kujibu hoja za wabunge, huku Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo akitaja mikakati ya kutatua changamoto ya ajali nchini. Hoja hizo zilitolewa na wabunge wakati wakiwasilisha na kuchangia taarifa za kamati za Kudumu za Viwanda, Biashara, Kilimo, Uvuvi na Mifugo na ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama…
TGNP YATOA MAFUNZO YA URAGHBISHI KWA WARAGHBISHI KUTOKA MKOANI DODOMA
Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umetoa mafunzo ya Uraghbishi kwa Waraghbishi kutoka ngazi ya jimii katika wilaya za Chemba, Kondoa TC, Kondoa DC, Mkoani Dodoma, Tanzania na maandalizi ya utekelezaji wa Uraghbishi katika ngazi ya jamii wenye lengo la kuimarisha uwezo na ujuzi wa Waraghbishi wa kutumia mbinu na nyenzo Shirikishi katika kuongoza na kuwezesha…
NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA AAGIZA UANDIKISHAJI WA WANACHAMA KUTOKA NGAZI YA SHINA HADI TAIFA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, John Mongella, ametoa maagizo maalum kwa viongozi wa chama hicho, akisisitiza umuhimu wa uandikishaji wa wanachama kuanzia ngazi ya shina hadi taifa. Mongella alitoa maagizo haya alipomtembelea Balozi wa Shina namba 3, Safina Masanja Kitundu, katika tawi la Buduhe, Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga. Mongella amesema kuwa CCM ni…
Youssouph Dabo apewa “THANK YOU”
Baada ya majadiliano makali kwenye kikao cha dharura, bodi ya Azam FC imefikia maamuzi ya kuliondoa benchi lote la ufundi chini ya kocha Yousouph Dabo. Muda wowote kuanzia sasa taarifa rasmi itatoka na kinachosubiriwa ni kumalizika kwa taratibu za kimikataba ili kila upande upate kinachostahili. Dabo ataondoka na wasaidizi wake watano ambao ni kocha msaidizi…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 17, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam June 17, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 17, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Bobi Wine atishia maandamamo akihujumiwa, aagiza kulinda kura Alhamisi
Uganda. Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Chama cha National Unity Platform (NUP) Robert Gyahulanyi maarufu Bobi Wine ameonya kuwa atatoa wito wa maandamano nchini Uganda iwapo Rais Yoweri Museveni atahujumu uchaguzi wa urais unaofanyika wiki hii. Uchaguzi Mkuu nchini humo unatarajiwa kufanyika Alhamisi wiki hii huku zaidi ya Waganda milioni 20 wakijiandaa kupiga kura, Bobi…