WAZIRI SILAA AITAKA POSTA KUONGEZA UFANISI NA UBORA WA HUDUMA

▪️Yatakiwa kuchangamkia fursa mpya za usafirishaji ▪️Yatakiwa kuhakikisha mifumo yake ya utendaji inasomana Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry William Silaa (Mb) amelitaka Shirika la Posta Tanzania kuongeza ufanisi na ubunifu katika utendaji wake ili kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi zinazokidgi matarajio yao. Ameyasema hayo leo tarehe 07 Oktoba, 2024…

Read More

‘Boni Yai’ adaiwa kukamatwa na Polisi, wenyewe wakana

Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisema kada wake aliyekuwa meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu ‘Boni Yai’ amekamatwa na Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi wa Kinondoni, Mtatiro Kitwinkwi amesema hana taarifa. Akizungumza na Mwananchi Kamanda Kitwinkwi kuhusu sakata hilo amesema: “Hapana, sina taarifa.”…

Read More

Jinsi Mmiliki wa Cambiaso alivyokamatwa akitoroka nchini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa namna mshtakiwa Kambi Zuberi Seif, alivyokamatwa akitoroka kwenda nchini Kenya kupitia mpaka wa Horohoro, uliopo mkoani Tanga. Kambi aliye mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy kilichopo Tuangoma Kigamboni, anadaiwa kukamatwa Horohoro na maofisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya( DCEA), baada ya kuweka mtego na…

Read More

Saido atoa masharti ya kutua KenGold

WAKATI mabosi wa KenGold wakipigia hesabu za kumsainisha aliyekuwa kiungo wa Yanga na Simba, Mrundi Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, nyota huyo ameweka masharti mapya kwa viongozi wa timu hiyo ya jijini Mbeya ili akaitumikie kwa miezi sita. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti ‘Saido’ anahitaji pesa ya usajili Sh50 milioni na mshahara wa Sh12…

Read More

Straika Fountain atamani bao moja tu!

MAISHA hayana usawa, kwani wakati washambuliaji wa timu nyingine za Ligi Kuu Bara hususan waliopo Simba, Yanga, Azam na Singida BS wakipigia hesabu kiatu cha mfungaji bora wa msimu, hali ni tofauti kwa Hashim Omary wa Fountain Gate anayetamani angalau afunge bao moja tu. Mshambuliaji huyo chipukizi, amesema kwa vile wameshindwa kufunga bao katika mechi…

Read More

Ahadi zilizovunjika, Tumaini Mpya – Wito wa kugeuza maneno kuwa vitendo – maswala ya ulimwengu

Maoni na James Alix Michel (Victoria, Seychelles) Jumanne, Novemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Victoria, Seychelles, Novemba 25 (IPS) – Wakati ulimwengu ulikusanyika huko Glasgow kwa COP26, mantra ilikuwa “kujenga nyuma bora.” Miaka miwili baadaye, huko Sharm El Sheikh, COP27 aliahidi “utekelezaji.” Mwaka huu, huko Belém, Brazil, COP30 ilifika na mzigo mzito: hatimaye…

Read More

Wazazi lawamani kuchukua baiskeli za wanafunzi za msaada

Geita.  Licha ya wanafunzi wa kike kuwezeshwa baiskeli kuhudhuria shule ili wasitembee umbali mrefu, imedaiwa kuwa wazazi na walezi hukwamisha jitihada hizo kwa kuzitumia kinyume na malengo. Akizungumza wakati akikabidhi baiskeli 550 kwa wanafunzi wa kike leo Ijumaa Aprili 26, 2024 zilizogharimu Sh180 milioni, Mkurugenzi wa Mradi wa Kuwawezesha Wasichana Rika Balehe Kuendelea na Masomo…

Read More

Baraza la Usalama lajadili kuongezeka kwa tishio la ugaidi barani Afrika – Masuala ya Ulimwenguni

Amina Mohammed ilikuwa akizungumza katika mkutano uliolenga kuimarisha mapambano dhidi ya ugaidi katika bara hilo, ulioitishwa na Algeria, rais wa Baraza kwa mwezi Januari. Alisisitiza kuwa Baraza lina jukumu muhimu katika kuunga mkono mipango ya Umoja wa Afrika (AU) ya kukabiliana na ugaidi, inayojikita katika uongozi wa Afrika na suluhu. Kuenea kwa mauti Bi. Mohammed…

Read More