Adam apigia hesabu mpya Tabora United

MSHAMBULIAJI wa Tabora United, Adam Adam amesema mashindano ya Tanzanite Pre-Season International Tournament yaliyoandaliwa na Fountain Gate na kufanyika kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati mkoani Manyara, yanawasaidia kuwaweka tayari kimwili na kimbinu kwa ajili ya hesabu mpya za msimu wa Ligi Kuu Bara inayotarajia kuanza Septemba 17. Nyota huyo wa zamani wa Azam, Tanzania…

Read More

Hukumu kesi ya ‘waliotumwa na afande’ Septemba 30

Dodoma. Hukumu ya kesi ya jinai ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam itatolewa Septemba 30, 2024. Kesi hiyo ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024, inawakabili washtakiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), MT 140105 Clinton Damas…

Read More

Mambo matatu ya kitasa kipya Yanga

Kuna mambo yataanza kuonekana msimu ujao pale Jangwani, ambapo mastaa kibao wamesajili na kuna dalili kwamba vita ya namba, lakini namna shoo za uwanjani zitakavyokuwa. Lakini, unaposoka hapa elewa kwamba ndani ya kikosi cha Yanga kuna nyota wawili wanaounda ule ukuta wa chuma…

Read More

Rais Samia aomboleza kifo cha mwasisi wa Chadema

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi baada ya kifo cha mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei (94). Mtei aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Januari 20, 2026 jijini Arusha, akiwa na umri wa miaka…

Read More

Wananchi Morogoro wapinguziwa mzigo vipimo vya CT-Scan

  WANANCHI wa Mkoa wa Morogoro, wameondokana na mzigo wa gharama za kufuata vipimo vya CT-Scan mikoa ya jirani, baada ya Serikali kufikisha huduma hiyo katika hospitali ya mkoa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Hayo yamebainishwa na Daktari Bingwa wa mionzi mkoani humo, Emmanuel Mkumbo, akielezea maboresho yaliyofanywa na Serikali ya Rais Samia Suluhu…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Azam kwa APR hatutawaelewa

AZAM FC imeanza vyema Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kushinda mechi ya awali ya raundi ya kwanza nyumbani dhidi ya APR ya Rwanda kwa bao 1-0. Kwa mashindano yanayochezwa kwa mtindo wa mtoano, huu ni ushindi muhimu sana kwa Azam, kwani unaiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele tofauti na watu wengi wanavyoamini. Ujue kuna…

Read More

Coastal, Azam nusu fainali ya kibabe FA

KESHO mchezo wa nusu fainali ya kwanza Kombe la Shirikisho utachezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza kati ya Coastal Union dhidi ya Azam FC, huku vita kubwa ikiwa ni kusaka nafasi ya kucheza Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao. Azam FC inakamata nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 60…

Read More

Vertex yaja na uwekezaji kiganjani

NA MWANDISHI WETU MTENDAJI Mkuu wa Vertex International Securities limited Mateja Mgeta amewataka watu kuwekeza kupitia huduma ya Vertex Mobile Trading App ambayo itawasaidia wananchi kufanya uwekezaji kwa wepesi kwa kuwa ni moja ya njia nyepesi kwa watumiaji. Mateja amebainisha hayo leo Jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Vertex Mobile Trading App yenye…

Read More