Udom yabuni mfumo wa kujipima changamoto afya akili

Dodoma. Mfumo unaotumia Akili Unde (AI), utakaomwezesha mtu kujipima na kubaini changamoto za afya akili kwa kutumia simu au kompyuta na kisha kupata ushauri wa kitaalamu, utazinduliwa Juni mwaka huu. Katika Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2022/23,  alisema utambuzi  wa wagonjwa unaofanywa unalenga zaidi watumiaji wa dawa za…

Read More

Sh800 milioni kujenga kiwanda cha cocoa Kyela

Mbeya. Wakati Chama Kikuu cha Ushirika (Kyela) kikitarajia kutumia zaidi ya Sh800 milioni kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata cocoa, wakulima wilayani humo wamesema hatua hiyo itafungua fursa za kiuchumi na uhakika wa bei. Pia, wamepongeza sera ya mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan aliyeahidi Serikali kuongeza nguvu katika ujenzi wa…

Read More

Senegal kuziba nafasi ya Congo Brazzaville mashindano ya CECAFA

Timu ya Taifa ya Senegal itashiriki Mashindano maalum ya CECAFA yatakayo husisha mataifa manne kabla ya mashindano ya CHAN yanayotarajiwa kuchezwa Julai 21-27, 2025 kwenye Uwanja wa Black Rhino, Karatu jijini Arusha. Senegal inachukua nafasi ya Congo Brazaville ambayo imekumbana na changamoto na kushindwa kufanya safari kama ilivyokuwa imepangwa awali. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

WAZIRI JAFO ASISITIZA TIJA KATIKA UTEKELEZAJI MIRADI

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji Naipanga Wilaya ya Nachingwea ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake Maalum Mkoani Lindi inayolenga kukagua utekekelezaji wa Miradi ya maendeleo katika Awamu ya Sita chini ya kauli mbiu isemayo “Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone”….

Read More

ishu ya Fadlu kuondoka iko hivi

BAADA ya dabi kumalizika na Simba kupoteza kwa mara ya sita mfululizo mbele ya Yanga, mjadala mkubwa kwa sasa ni kocha wa Wekundu wa Msimbazi, Fadlu Davids ikielezwa yupo mbioni kupigwa chini, lakini kumbe ukweli wa mambo wala sivyo ulivyo kama ilivyosambaa mtandaoni. Tangu jana jioni kumekuwa na taarifa kwamba huenda Fadlu asirejee na kikosi…

Read More

Tanzania nafasi ya 3 kwa tembo wengi barani Afrika

Imeelezwa kuwa Tanzania inaongoza kwa idadi kubwa ya simba, nyati, na chui huku ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na tembo wengi barani Afrika hivyo itachochea ongezeko la watalii na kufikia malengo ya serikali ya kufikisha idadi ya watalii milioni tano ifikapo 2025. Takwimu hizo zimetolewa na mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa wanyamapori Tanzania…

Read More

Nchi 16 zakutana Tanzania kujadili ubora wa elimu

Dar es Salaam. Wakati mataifa mbalimbali barani Afrika yakiendelea kufanya uwekezaji katika sekta ya elimu, wito umetolewa kwa nchi hizo kuweka mifumo itakayofanya elimu iendelee kutolewa hata yatakapotokea majanga. Wito huo umetolewa leo Jumanne, Novemba 12 2024 na wadau wakati wa mkutano wa kimataifa wa ubora wa elimu ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET)…

Read More