STANBIC YAWEZESHA BIASHARA ZA BILIONI 200 KATI YA TANZANIA NA CHINA
Benki ya Stanbic Tanzania imewezesha miamala ya biashara yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 200 kati ya wafanyabiashara wa Tanzania na wenzao wa China katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, hatua inayoonesha mchango wake katika kukuza biashara ya kimataifa na uwekezaji nje ya nchi. Miamala hiyo imekuwa ikiwezeshwa tangu mwaka 2020 kufuatia ushirikiano kati…