Chukwu: Simba, Yanga zinaficha ukubwa wa Singida

KIUNGO wa Singida Black Stars, Morice Chukwu amesema licha ya ushindani kuwa mkubwa, lakini Singida Black Stars ni timu kubwa katika Ligi Kuu Bara, ila makali yake hayaonekani kwa sababu ya Simba na Yanga. Chukwu ambaye alitua Bongo kwa mara ya kwanza akiwa na kikosi cha Rivers United ya Nigeria katika michuano ya Kombe la…

Read More

Mataji yampa nguvu Rehema tenisi walemavu

MATAJI aliyoyapata Rehema Said katika mashindano ya kimataifa ya tenisi kwa walemavu 2025 (International Tennis Federation Wheelchair Tournament), yamempa nguvu mwanadada huyo katika kufanya makubwa zaidi katika michuano mingine ijayo. Mashindano hayo ya mwaka huu yalifanyikia jijini Nairobi, Kenya na Regema alishinda mataji matatu, moja ya binafsi na mengine mawili ya kushindana dhidi ya wachezaji…

Read More

Singida Black Srats itakula sana raha za Chama

SINGIDA Black Stars ilianza kwa kusuasua sana mashindano ya Kombe la Kagame yaliyomalizika Jumatatu wiki hii kwa fainali baina yao na Al Hilal ya Sudan. Na sio kama ilikuwa inacheza vibaya bali pale mbele haikuwa na mtu wa kulainisha. Pupa zilikuwa nyingi sana ilipokuwa inashambulia. Ilionekana wazi Mwamba wa Lusaka ambaye alisajiliwa lakini akachelewa kujiunga…

Read More

Mbeya City yarejea Bara kwa ushindi

BAO la Habib Kyombo dakika ya 56, limetosha kuipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya Fountain Gate katika mechi ya Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara. Kyombo alifunga bao hilo kwa penalti baada ya Riphat Khamis kuchezewa faulo ndani ya eneo la hatari na Mudrick Abdi wa…

Read More

Vijana wataka mambo manne wakiadhimisha siku yao

Dar es Salaam. Wakati dunia ikijiandaa kuadhimisha siku ya amani Septemba 21, 2025, nchini Tanzania vijana wameeleza nafasi yao katika kudumisha amani, huku mambo manne yakijadiliwa katika kongamano la maadhimisho hayo. Septemba 21 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya amani, hapa nchini maadhimisho hayo yameanza leo Septemba 18, 2025 kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali…

Read More

Mahakama yaamuru Ofisa Uhamiaji aliyefukuzwa kazi arejeshwe kazini

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Mwanza, imeamuru kurudishwa kazini kwa aliyekuwa Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Dominic Adam, aliyefukuzwa kazi kutokana na mashtaka ya kinidhamu yaliyohusiana na kughushi vibali na stakabadhi. Mahakama hiyo imeamuru arejeshwe kazini na kulipwa stahiki zake tangu alipofukuzwa kazi na iwapo ametimiza umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria alipwe stahiki…

Read More

Madaktari wa wahamiaji wanamaanisha uhaba nyumbani, wazalishaji wa juu wa majina, sasisho la haki za Nigeria, jua ‘dawa muhimu’ – maswala ya ulimwengu

Ripoti mpya ya shirika la afya la UN pia inaonyesha kuwa huko Ulaya mnamo 2023, medali sita kati ya 10 zilizofunzwa nje ya mkoa, wakati idadi hiyo ni kubwa zaidi kwa wauguzi. Kwa kuzingatia matokeo haya – na ukweli kwamba nchi nyingi za Magharibi na Kaskazini mwa Ulaya zinakuwa “zinategemea sana” wafanyikazi hawa wa kigeni…

Read More

Sh120 milioni kupoza maumivu kuungua Soko la Mashine Tatu

Wafanyabiashara 40 wa Soko la Mashine Tatu katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, waliopoteza bidhaa na mali zao kutokana na ajali ya moto, wamekabidhiwa Sh120 milioni ili kuwasaidia kujipanga upya na kurejesha biashara zao. Fedha hizo, zilizotolewa na kampuni ya bima ya Reliance kwa kushirikiana na Benki ya NMB, ni fidia inayolenga kuwasaidia kurejesha mitaji…

Read More

Ajali yaua watu tisa Dodoma, mtoto mchanga anusurika

Dodoma. Watu tisa akiwamo dereva wa basi la abiria la Kampuni ya Abuu Trans, wamefariki dunia huku wengine 16 wakijeruhiwa baada ya basi linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Kondoa, kupata ajali likitokea Kondoa kwenda Dodoma Mjini. Chanzo cha ajali hiyo kinaelezwa ni dereva wa Fuso kutaka kulipita basi bila kuchukua tahadhari na kusababisha…

Read More