
Chukwu: Simba, Yanga zinaficha ukubwa wa Singida
KIUNGO wa Singida Black Stars, Morice Chukwu amesema licha ya ushindani kuwa mkubwa, lakini Singida Black Stars ni timu kubwa katika Ligi Kuu Bara, ila makali yake hayaonekani kwa sababu ya Simba na Yanga. Chukwu ambaye alitua Bongo kwa mara ya kwanza akiwa na kikosi cha Rivers United ya Nigeria katika michuano ya Kombe la…