Wawili wakamatwa na Polisi tuhuma za mauaji ya mtoto wa miezi minne Bukoba

Renatha Kipaka, BUKOBA Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linawashikiria watuhumiwa wawili wa mauaji ya mtoto wa miezi minne yaliyotokea Novemba 9,2024 ,katika kijiji cha Itahwa Kata ya Kalabagaine wilayani Bukoba mkoani Kagera. Kamanda wa Polisi mkoani hapo Blasius Chatanda amesema,wakiwa katika maandalizi ya kutenda tukio hilo mmoja wa watuhumiwa hao aitwaye Maria Christian( 62)…

Read More

Utata kifo kada wa Chadema

Dar es Salaam. “Ni utata mtupu,” ndiyo maneno yanayoakisi tukio la kuuawa kwa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chadema, Ally Kibao lililotokea siku moja baada ya kukamatwa akiwa kwenye basi kwenda nyumbani kwao mkoani Tanga. Kinachojenga msingi wa utata ni mazingira ya kukamatwa kwake kulikofanyika Tegeta, mbele ya Jengo la Kibo Complex, jijini Dar es Salaam na watu…

Read More

Ramovic: Al Hilal hawatapumua | Mwanaspoti

YANGA chini ya bosi mpya, Sead Ramovic inarudi uwanjani kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa na mashabiki wa timu hiyo wanataka kuona kuna kitu gani kocha wao amekiongeza, lakini mwenyewe ametuma salamu akisema kwenye timu yake hataki kuona mpinzani anapumua na wataanza na Al Hilal. Akiwa amekaa na timu hiyo kwa siku nane tangu aanze…

Read More

Chongolo: Ajenda ya lishe iwe ya kudumu Songwe

Songwe. Mabaraza ya madiwani mkoani Songwe yametakiwa kubeba ajenda ya lishe kwenye vikao ili kukabiliana na tatizo la udumavu na utapiamlo kwa watoto chini ya miaka mitano unaoukabili mkoa huo. Wito huo umetolewa leo Juni 12 na mkuu wa mkoa huo Daniel Chongolo kutokana na takwimu kuonyesha kuwa asilimia 31.9 ya watoto chini ya umri…

Read More

M23, Rais Tshisekedi uso kwa uso Angola Machi 18

Luanda. Mazungumzo yanayolenga kurejesha amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kati ya viongozi wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23) na Rais Felix Tshisekedi yatafanyika Machi 18,2025. Taarifa ya kufanyika mazungumzo hayo, ilitolewa na Ikulu ya Angola jana jioni kuwa mazungumzo hayo yatafanyika Jijini Luanda nchini humo ambapo viongozi wa…

Read More