UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Rais kanyoosha mkono, tuupokee kwa kanuni hizi nane za maridhiano

Rais Samia Suluhu Hassan amelifungua rasmi bunge la 13 Jijini Dodoma na moja kati ya mambo ambayo yamenigusa kama raia mwema, ni kauli inayoashiria kukiri kuna mahali tumeteleza na akanyoosha mkono wa kutamani maridhiano ya kitaifa. Tukae kama watanzania kwa njia za amani, wananchi waweke hasira kando na mihemko, serikali iweke mbele dhamira iliyotajwa kwenye…

Read More

Bwege apata janga jingine, asisitiza haki uchaguzi mkuu

Lindi. Imekuwa bahati mbaya kwa mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, mkoani hapa, Seleman Bungara maarufu ‘bwege’ kutokana kuvunjika mguu ikiwa ni wa pili baada ya awali kukatwa kwa sababu ya maradhi. Bwege aliyekuwa akisifika kuwasilisha hoja zake bungeni kwa njia vichekesho na utani amevunjika mguu jana Jumapili usiku nyumbani Kilwa Kivinje wakati akijiandaa kuingia…

Read More

Rekodi yamsubiri Mzize Ufaransa | Mwanaspoti

KIWANGO bora kinachoonyeshwa na mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kimezivutia timu mbalimbali kusaka saini yake, huku ikielezwa nyota huyo anayeongoza kwa mabao ya Ligi Kuu Bara akiwa na 13 anakaribia kujiunga na miamba kutoka Ufaransa. Meneja wa Habari wa Yanga, Ally Kamwe hivi karibuni alinukuliwa akieleza mshambuliaji huyo msimu ujao ataenda kucheza soka la Ufaransa…

Read More

RUVUMA YAFIKIWA ELIMU YA MAZINGIRA- MADINI YA URANIUM

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa elimu ya kimazingira na afya kwa vijiji viwili vya Mtonya na Mandela-Likuyu katika Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma kufuatia Mradi wa Uchimbaji wa Madini aina ya ‘Uranium’ unaotarajiwa kuanza hivi karibuni katika mgodi ulio karibu na vijiji hivyo. Elimu hiyo imetolewa kwa…

Read More

Wanawake wahamasishwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

Dar es Salaam. Wakati saa chache zimesalia kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, wanahakati wa Kituo cha Taarifa na Maarifa cha Mabwepande, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, wameendelea kuhamasisha ushiriki wa wanawake kwenye uchaguzi. Agness Benedicto, mwanaharakati wa Kituo cha Taarifa na Maarifa cha Mabwepande, ni mfano wa mafanikio ya juhudi hizo ambaye…

Read More

Bado Watatu – 54 | Mwanaspoti

AKANIULIZA: “Lakini bado umesema wazi kwamba katika uchunguzi wako wa alama za vidole hukugundua kwamba mshitakiwa aliwaua hao watu?”“Uchunguzi mwingine ndio ulionyesha hivyo.”“Mimi nimekuuliza kuhusu uchunguzi wako wewe.”“Mimi sikugundua kama mshitakiwa aliua.”“Asante sana.”Wakili akakaa na kusema kuwa amemaliza maswali yake.Nikiwa nimekaa katika safu ya mbele karibu na meza za mawakili, nilijiambia kwamba wakati mwingine maswali…

Read More