UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Rais kanyoosha mkono, tuupokee kwa kanuni hizi nane za maridhiano
Rais Samia Suluhu Hassan amelifungua rasmi bunge la 13 Jijini Dodoma na moja kati ya mambo ambayo yamenigusa kama raia mwema, ni kauli inayoashiria kukiri kuna mahali tumeteleza na akanyoosha mkono wa kutamani maridhiano ya kitaifa. Tukae kama watanzania kwa njia za amani, wananchi waweke hasira kando na mihemko, serikali iweke mbele dhamira iliyotajwa kwenye…