MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU PEMBEJEO ZA KILIMO,KUKAMILISHA MIRADI

*Azungumzia kuhusu kutatua changamoto ya uhaba wa maji, agusia miundombinu ya barabara Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi Serikali katika miaka mitano ijayo itaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku sambamba na kutafuta masoko ya mazao ili wakulima wanufaike na jasho lao….

Read More

yanga yakwama kwa Mtibwa, Simba ishindwe yenyewe

Nuksi ya sare imeendelea kuiandama Yanga baada ya jana kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Huo umekuwa ni mchezo wa tatu mfululizo kwa Yanga kupata matokeo ya sare tasa katika mechi mbili zilizopita dhidi ya Azam FC na TRA Unted. Sare hiyo inaonekana kuwa na faida kwa Simba…

Read More

DKT.NCHIMBI ALIVYOHITIMISHA KAMPENI ZAKE MKOA WA NJOMBE

Matukio mbalimbali katika picha za mkutano wa hadhara wa kampeni wa Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika mjini Makambako, mkoani Njombe alipokuwa akihitimisha mikutano yake kampeni mkoani humo leo Septemba 24, 2025. Mara baada ya kuwahutubia Wanachi katika mkutano huo,Dkt.Nchimbi pia alitumia nafasi…

Read More

Minara mipya 600 ya simu kujengwa Tanzania

Dar es Salaam. Serikali inajiandaa kuanza ujenzi wa minara mipya 600 katika maeneo ya pembezoni mwa nchi, huku Kamati ya Bunge ya Miundombinu ikisisitiza usimamizi wa ubora wa miundombinu hiyo ili kuhakikisha inakidhi mahitaji ya wananchi. Agizo hili limetolewa kufuatia malalamiko ya minara isiyokuwa na ubora, ambayo husababisha kushindwa kutoa huduma bora, hasa katika maeneo…

Read More

Arajiga kuamua Dabi ya Kariakoo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemtangaza mwamuzi Ahmed Arajiga, kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii utakaozikutanisha Yanga dhidi ya Simba. Ofisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo, amesema Arajiga atakuwa mwamuzi wa kati katika mchezo huo utakaochezwa kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Ndimbo amesema Arajiga atasaidiwa…

Read More

Dkt. Mwinyi: CCM ni Mhimili wa Amani na Maendeleo

MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduz (CCM), Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka Wazanzibari kuendelea kukiunga mkono chama hicho akisisitiza kuwa ndicho mhimili wa amani ya Tanzania ikiwemo Zanzibar. Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo tarehe 17 Septemba 2025 katika Uwanja wa Kajengwa, Makunduchi, mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri…

Read More