SERIKALI YASHUHUDIA MKATABA WA USD MILIONI 30 KUJENGA MINARA TANZANIA KATI YA TOA TANZANIA NA BII

Waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye(katikati) na balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Divid Concar (Kulia) wakishuhudia Mtendaji Mkuu wa TOA Tanzania Innosent Mushi wapili kushoto na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa British International Investment Sithembumenzi Vuma (wapili kulia) wakibadilishana hati za mikataba wa kuboresha huduma za mawasiliano nchini. Katika mkataba huo British…

Read More

WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI MKUU MWAKA HUU

Wadau mbalimbali na Watanzania wameombwa kujitokeza kwa wingi kudhamini Tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu litakalofanyika katika mikoa 26 nchini Akizungumza na waandishi wa Habari April 2,2025 jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion , Alex Msama amesema tamasha hilo halitakuwa na kingilo ili kila mtanzania aweze kushiriki kwenye kuliombea taifa huku maandilizi…

Read More

WIZARA YA FEDHA YAWANOA WAHARIRI MNYORORO WA UGAVI

Farida Mangube, Morogoro Wizara ya Fedha imetoa wito kwa taasisi za umma kuhakikisha fedha za serikali zinasimamiwa ipasavyo ili ziweze kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi. Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa wizara hiyo katika warsha ya siku moja ya kuwajengea uwezo juu ya Mnyororo wa ugavi wahariri wa vyombo vya habari, Naibu Katibu…

Read More

Kamati kuamua ishu ya straika Simba

BADO sakata la mshambuliaji Aisha Mnunka na klabu yake ya Simba halijamalizika na sasa kamati ya hadhi za wachezaji itakutana kumaliza ishu hiyo. Agosti Mosi, mwaka huu, Mwanaspoti iliripoti nyota huyo wa timu ya taifa (Twiga Stars) ametoroka kambini ikiwa ni siku chache tangu atoke kwenye majukumu ya taifa. Hata hivyo, baada ya sakata hilo,…

Read More

FYATU MFYATUZI: Uchakachuaji, sorry, uchaguzi, acha mafyatu waamue

Kila fyatu anajua. Kuna mnyukano na mtanange usio ulazima baina ya mafyatu wanaotaka kutufyatua ili tuwape unene watufyatue na wengine wanaotuaminisha kuwa hawatatufyatua kama hawa wanaowafyatua wao ili watufyatue sisi baada ya kuwapa kura za kutufyatua. Kwa sasa, Chakudema na Chakupindua wako pakanga wakifyatuana ili mwisho mmoja atufyatue na kuendelea kufyatua ulaji wa dezo. Ninachoona…

Read More

Rais Masisi wa Botswana akubali kushindwa uchaguzi

Gaborone. Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi amekubali kushindwa kwenye uchaguzi wa Oktoba 30, 2024 baada ya matokeo ya awali kuonyesha kuwa chama chake cha Botswana Democratic Party (BDP) kimepoteza wingi wa wabunge, ikiwa ni takriban miongo sita kikiwa madarakani. Kukubaliwa kwa Masisi kushindwa leo Ijumaa Novemba mosi, 2024 kumekuja kabla ya matokeo ya mwisho kutangazwa…

Read More

Kibarua kupigania marekebisho sheria ya NGos chawasubiri viongozi wapya

Dodoma. Wakati uongozi mpya wa Baraza la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), ukitarajiwa kupatikana kesho, kazi kubwa inayowasubiri ni kupigania marekebisho ya sheria, sera, kanuni ili kuondoa mianya iliyokuwa ikiwafanya wasitimize wajibu wao vizuri. Akizungumza leo Jumatatu Juni 24, 2024, Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Tanzania Bara, Beatrice Mayao amesema yapo mengi yaliyofanywa na…

Read More