
SERIKALI YASHUHUDIA MKATABA WA USD MILIONI 30 KUJENGA MINARA TANZANIA KATI YA TOA TANZANIA NA BII
Waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye(katikati) na balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Divid Concar (Kulia) wakishuhudia Mtendaji Mkuu wa TOA Tanzania Innosent Mushi wapili kushoto na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa British International Investment Sithembumenzi Vuma (wapili kulia) wakibadilishana hati za mikataba wa kuboresha huduma za mawasiliano nchini. Katika mkataba huo British…