Sarah awasha moto Msoga Marathoni
WAKATI Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete akiwaita wanariadha kujifua mjini Msoga na kuahidi kuwapa sapoti, mwanariadha maarufu nchini, Sarah Ramadhan ameibuka mshindi wa mbio za Msoga Marathoni zilizofanyika wikiendi iliyopita, huku akifuatiwa na mkali mwingine Failuna Abdi. Tuanze na JK. Rais Kikwete aliyeongoza mbio ya Msoga Half Marathoni iliyofanyika kwa mara…