Sarah awasha moto Msoga Marathoni

WAKATI Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete akiwaita wanariadha kujifua mjini Msoga na kuahidi kuwapa sapoti, mwanariadha maarufu nchini, Sarah Ramadhan ameibuka mshindi wa mbio za Msoga Marathoni zilizofanyika wikiendi iliyopita, huku akifuatiwa na mkali mwingine Failuna Abdi. Tuanze na JK. Rais Kikwete aliyeongoza mbio ya Msoga Half Marathoni iliyofanyika kwa mara…

Read More

Dk Mwigulu akutana na zigo la kero Mbeya

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba  amekutana na kero mbalimbali zilizowasilishwa na baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Mbeya, zikiwamo changamoto katika mfumo wa utoaji wa haki, upatikanaji wa huduma bora za afya na maji. Kero nyingine zilizowasilishwa ni masuala ya ardhi, mikopo, michango shuleni, ushuru na kufungwa kwa biashara. Wananchi hao waliwasilisha…

Read More

Kumekucha CDF Trophy 2024 | Mwanaspoti

MSIMU wa tisa wa mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF Trophy 2024) utaanza Ijumaa ya wiki hii, huku wadhamini wakuu, Benki ya NMB ikitangazwa kumwaga Sh35 milioni. Mashindano hayo ya siku tatu yatafanyika kuanzia Oktoba 4-6, kwenye viwanja wa Gofu vya Klabu ya Lugalo, jijini Dar es Salaam ikishirikisha wachezaji mbalimbali…

Read More

Wasiojulikana wavamia makaburi Morogoro, waiba misalaba

Morogoro. Watu wasiofahamika wamevunja na kuondoka na misalaba iliyowekwa kwenye makaburi ya Kola, mkoani Morogoro. Hatua hiyo imesababisha ndugu wa marehemu waliozikwa kwenye makaburi hayo kushindwa kuyatambua, huku wengine wakiingia hasara ya kuweka misalaba mingine. Hii ni mara ya pili kutokea kwa matukio hayo ya kuvunjwa na kuibwa kwa misalaba na baadhi ya watu wanadai…

Read More

Ushirikiano duni kwenye kilimo, chanzo migogoro ya familia

Iringa. Dawati la jinsia Mkoa wa Iringa limesisitiza kuwa kuimarisha ushirikiano wa kifamilia ni njia madhubuti ya kupunguza migogoro na vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii za wakulima. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Desemba 30, 2025, na Mkuu wa Dawati la Jinsia Mkoa wa Iringa, Elizabeth Swai. Swai alikuwa akizungumza na wakulima kwenye mdahalo…

Read More